Kusema Ukweli Rais Samia amemzidi mbali sana Hayati Dr. Magufuli

Kusema Ukweli Rais Samia amemzidi mbali sana Hayati Dr. Magufuli

Bush Dokta

JF-Expert Member
Joined
Apr 11, 2023
Posts
24,831
Reaction score
45,154
Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.

Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.

Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.

Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.

Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.

Jpili njema wadau
 
Naunga mkono.

Ukiwa na kiongozi mwenye hofu ya kweli kwa Mungu, kamwe hawezi kuonea watu Wala hawezi kudhulumu watu.

Rais, Dkt Mama Samia ni mtu mwadilifu na mwenye hofu ya ukweli kwa Mungu wake.

Lau kama viongozi wetu wengine wanaweza kufuata nyayo zake japo kwa asilimia 90 basi Nchi yetu itapaa zaidi.

Uadilifu wa dhati sio UNAFIKI
 
1000% i agree Tanzania yote na dunia nzima inajua hilo, JPM has been out classed, out performed in just two years, nasema hadi Mama Samia akifikisha miaka 6 madarakani, aiseee tutaona makubwa sana, nasema ukweli 100% toka rohoni, moyoni na mwilini mwangu. Mungu amlinde sana huyu Mama yetu, hakika huyu ni Mama kwa vitendo. Eeehh Mwenyezi Mungu tusikie maombi yetu, Amen amen..!!
 
Naunga mkono.

Ukiwa na kiongozi mwenye hofu ya kweli kwa Mungu, kamwe hawezi kuonea watu Wala hawezi kudhulumu watu.

Rais, Dkt Mama Samia ni mtu mwadilifu na mwenye hofu ya ukweli kwa Mungu wake.

Kama viongozi wetu wengine wanaweza kufuata nyayo zake japo kwa asilimia 90 basi Nchi yetu itapaa zaidi.

Uadilifu wa dhati sio UNAFIKI
Wewe ni yule Mataga wa zamani au akaunti imeahakiwa?!
 
Naunga mkono.

Ukiwa na kiongozi mwenye hofu ya kweli kwa Mungu, kamwe hawezi kuonea watu Wala hawezi kudhulumu watu.

Rais, Dkt Mama Samia ni mtu mwadilifu na mwenye hofu ya ukweli kwa Mungu wake.

Kama viongozi wetu wengine wanaweza kufuata nyayo zake japo kwa asilimia 90 basi Nchi yetu itapaa zaidi.

Uadilifu wa dhati sio UNAFIKI
Sahihi kabisa. Tunaamini Rais anapitia nyakati ngumu sana kufanya mabadiliko haya. Mungu amsaidie sana
 
1000% i agree Tanzania yote na dunia nzima inajua hilo, JPM has been out classed, out performed na Mama yetu Samia Suluhu Hassan, nasema ukweli 100% toka rohoni, moyoni na mwilini mwangu. Mungu amlinde sana huyu Mama, hakina huyu ni Mama kwa vitendo.
Ameeni ameeni Mtumishi. Mungu wa mbinguni atapokea dua za mtumishi wake
 
Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.

Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.

Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.

Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.

Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.

Jpili njema wadau
SIku nyingine ni vyema kulinganisha vitu vinavyofanana makundi.
Sasa ona unalinganisha kiumbe mtu na kiumbe shetani.
Joni ni kundi la shetani.
 
1000% i agree Tanzania yote na dunia nzima inajua hilo, JPM has been out classed, out performed in just two years, nasema hadi Mama Samia akifikisha miaka 6 madarakani, aiseee tutaona makubwa sana, nasema ukweli 100% toka rohoni, moyoni na mwilini mwangu. Mungu amlinde sana huyu Mama yetu, hakika huyu ni Mama kwa vitendo. Eeehh Mwenyezi Mungu tusikie maombi yetu, Amen amen..!!
🤣🤣🤣🤣Bila aibu
 
Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.

Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.

Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.

Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.

Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.

Jpili njema wadau
Nyie watu ni short sighted.
 
Back
Top Bottom