KIXI
JF-Expert Member
- Mar 3, 2015
- 1,955
- 2,465
Wewe Tahira1000% i agree Tanzania yote na dunia nzima inajua hilo, JPM has been out classed, out performed in just two years, nasema hadi Mama Samia akifikisha miaka 6 madarakani, aiseee tutaona makubwa sana, nasema ukweli 100% toka rohoni, moyoni na mwilini mwangu. Mungu amlinde sana huyu Mama yetu, hakika huyu ni Mama kwa vitendo. Eeehh Mwenyezi Mungu tusikie maombi yetu, Amen amen..!!