ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Sawa ila ndio keshamzidi hivyo,saizi Nyumba za Wageni zinajaa kuanzia Kijijini Hadi Jijini , uchumi mambo safi Huduma za jamii mambo safiKwenye kuruhusu matendo ya kifisadi na wizi.à
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa ila ndio keshamzidi hivyo,saizi Nyumba za Wageni zinajaa kuanzia Kijijini Hadi Jijini , uchumi mambo safi Huduma za jamii mambo safiKwenye kuruhusu matendo ya kifisadi na wizi.à
International state figure and Women inspirationKwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.
Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.
Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.
Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.
Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.
Jpili njema wadau
Itakua unaroho mbaya, mbinafsi na mchoyo, ubataka kila mtu awe machinga kama wewe 😂😂😂Nonsense. Ni moja ya utawala wa hovyo kabisa.
Si ndio hivyo mama yako anahaingaika kujipambanua kama kazi yakeSi aliacha vitu alivyofanya ambavyo nyie mnaita Legasi?
😅😅😅wanatuita wanyonge huku wao wanaishi kama MalaikaInabidi awamu zijazo akija mgombea urais anasemea kuhusu wanyonge tusimchague 😂😂😂😂 maana tutarud kwenye umachinfa tena
Kuna ahueni kubwa sanaUtawala wa mama naona ni wa haki na usawa, hamna kujuana kujuana hasa mfano kwa ajira watu wamepata bila connection bu juhud na maarifa yao
Services are well japo si asilimia zote ila kuna ahueni
Mzunguko wa hela umeongezeka
.Mama katupa hadhi wente degree zetu maana huko nyuma tuliambiwa tujiajiri sad enough wanabeba wa dioloma
Hawa watu ni wa ajabu sana.Itakua unaroho mbaya, mbinafsi na mchoyo, ubataka kila mtu awe machinga kama wewe 😂😂😂
We mwongo. Tz tuliluwepo sote na tumeshuhudia uharibifu mkubwaHkn Kama jpm ,mam Yuko vzr ila jpm ni Bora zaid
Maendeleo gani hayo we mbwiga? Nifanye jambo?1000% i agree Tanzania yote na dunia nzima inajua hilo, JPM has been out classed, out performed in just two years, nasema hadi Mama Samia akifikisha miaka 6 madarakani, aiseee tutaona makubwa sana, nasema ukweli 100% toka rohoni, moyoni na mwilini mwangu. Mungu amlinde sana huyu Mama yetu, hakika huyu ni Mama kwa vitendo. Eeehh Mwenyezi Mungu tusikie maombi yetu, Amen amen..!!
Ndio maana yakeKwenye kusafiri au ? [emoji2369]
Wewe kweli bush dokta,yaani umlinganishe Samia na Magufuli kwa namna hiyo,Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.
Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.
Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.
Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.
Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.
Jpili njema wadau
Ndio maana yake
Wewe umemlinganisha vipi?Wewe kweli bush dokta,yaani umlinganishe Samia na Magufuli kwa namna hiyo,
Ye ni Mama, nani kama Mama?Sasa ndio hata walevi wamchezee?
Hakuna kama mamaYe ni Mama, nani kama Mama?
Yaani amemzidi Kwa mbali mno. Ni mbingu na ardhi.Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.
Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.
Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.
Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.
Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.
Jpili njema wadau
You nailed itYaani amemzidi Kwa mbali mno. Ni mbingu na ardhi.
Na kama waroho wa madaraka wa CCM wasipomtikisa Kwa uchu wao, Samia possibly akawa Rais Bora kuliko watangulizi wake wote.