Kusema Ukweli Rais Samia amemzidi mbali sana Hayati Dr. Magufuli

Kusema Ukweli Rais Samia amemzidi mbali sana Hayati Dr. Magufuli

Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.

Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.

Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.

Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.

Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.

Jpili njema wadau
International state figure and Women inspiration
 
Utawala wa mama naona ni wa haki na usawa, hamna kujuana kujuana hasa mfano kwa ajira watu wamepata bila connection bu juhud na maarifa yao

Services are well japo si asilimia zote ila kuna ahueni

Mzunguko wa hela umeongezeka

.Mama katupa hadhi wente degree zetu maana huko nyuma tuliambiwa tujiajiri sad enough wanabeba wa dioloma
 
Inabidi awamu zijazo akija mgombea urais anasemea kuhusu wanyonge tusimchague 😂😂😂😂 maana tutarud kwenye umachinfa tena
 
Inabidi awamu zijazo akija mgombea urais anasemea kuhusu wanyonge tusimchague 😂😂😂😂 maana tutarud kwenye umachinfa tena
😅😅😅wanatuita wanyonge huku wao wanaishi kama Malaika
 
Utawala wa mama naona ni wa haki na usawa, hamna kujuana kujuana hasa mfano kwa ajira watu wamepata bila connection bu juhud na maarifa yao

Services are well japo si asilimia zote ila kuna ahueni

Mzunguko wa hela umeongezeka

.Mama katupa hadhi wente degree zetu maana huko nyuma tuliambiwa tujiajiri sad enough wanabeba wa dioloma
Kuna ahueni kubwa sana
 
1000% i agree Tanzania yote na dunia nzima inajua hilo, JPM has been out classed, out performed in just two years, nasema hadi Mama Samia akifikisha miaka 6 madarakani, aiseee tutaona makubwa sana, nasema ukweli 100% toka rohoni, moyoni na mwilini mwangu. Mungu amlinde sana huyu Mama yetu, hakika huyu ni Mama kwa vitendo. Eeehh Mwenyezi Mungu tusikie maombi yetu, Amen amen..!!
Maendeleo gani hayo we mbwiga? Nifanye jambo?
 
Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.

Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.

Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.

Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.

Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.

Jpili njema wadau
Wewe kweli bush dokta,yaani umlinganishe Samia na Magufuli kwa namna hiyo,
 
Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.

Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.

Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.

Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.

Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.

Jpili njema wadau
Yaani amemzidi Kwa mbali mno. Ni mbingu na ardhi.

Na kama waroho wa madaraka wa CCM wasipomtikisa Kwa uchu wao, Samia possibly akawa Rais Bora kuliko watangulizi wake wote.
 
Yaani amemzidi Kwa mbali mno. Ni mbingu na ardhi.

Na kama waroho wa madaraka wa CCM wasipomtikisa Kwa uchu wao, Samia possibly akawa Rais Bora kuliko watangulizi wake wote.
You nailed it
 
Back
Top Bottom