Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Amebaki Kulwa Jilala tuMataga wote wamepiga U turn wakati huu,kama unabisha muulize Magonjwa Mtambuka,Stroke,Comte,Cocochannel na wengineo[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amebaki Kulwa Jilala tuMataga wote wamepiga U turn wakati huu,kama unabisha muulize Magonjwa Mtambuka,Stroke,Comte,Cocochannel na wengineo[emoji1732][emoji1732][emoji1732]
Pia atapiga u turn muda sio mrefu,labda tu awe ndio umojaparty yenyewe 😂😂😂Amebaki Kulwa Jilala tu
😅😅🤣🤣🤣🤣Bila aibu
Wako wanazi wenye shingo ngumu akina Jilala, USSR, Nigrastrat tract na TroikerMataga wote wamepiga U turn wakati huu,kama unabisha muulize Magonjwa Mtambuka,Stroke,Comte,Cocochannel na wengineo🤸🤸🤸
😅😅😅Pia atapiga u turn muda sio mrefu,labda tu awe ndio umojaparty yenyewe 😂😂😂
😅😅😅sawaMi naskizia mwezi huu watano kuna Waziri wake aliadi Treni ya mwendo kasi itaanza maramoja.
Ndo niko hapa kuumpa heko mama.
Sasa watalinganaje wakati magu aliibuka tu bila kupikwa na mama kaingia kimpango kamili? Mama ni mlima Kilimanjaro na magu ni kichuguu.Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.
Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.
Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.
Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.
Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.
Jpili njema wadau
Sa
Sasa watalinganaje wakati magu aliibuka tu bila kupikwa na mama kaingia kimpango kamili? Mama ni mlima Kilimanjaro na magu ni kichuguu.
Hala sijawahi kuona rais mkristo wa nchi hii aliyemaliza muda wake au kuondoka madarakani kivyovyote asifunikwe na mwislamu aliyemfuatia!
Nyerere nchi ilimshinda watu wakawa wanakabiliwa na njaa hadi wakavaa magunia kwa ukosefu wa nguo.
Alipokuja mzee ruksa waty wakashiba.
Mkapa aliingia akauza kila kitu cha nchi kwa fujo na ajira zikawa za taabu.
Alipoingia mzee wa msoga ukihitimu chuo unapangiwa kazi moja kwa moja.
Magu kaingia ikawa tafrani. Ajira zero, mishahara haipandi, madaraja wafanyakazi hawapandi.
Wasiojulikana wakawa kazini kutesa watu. Mama kuingia nchi imepona.
Mwislamu anaamia bila shaka kuwa ataulizwa kwa anayotendea watu wa chini yake ndoa maana wanakuwa na huruma na uadilifu kwa wanyonge.
Umeme sio sawa na wasiojulikana.Makamba akirejesha umeme nitakuja ku comment thread hii
Sawa pamoja na hayo tuendelee kutafakariKwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.
Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.
Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.
Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.
Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.
Jpili njema wadau
Sujazungumza kuwa umeme ni tatizo. Tumezoea awamu hii ya 6 kuwa ni haki yetu kukatiwa umeme. Ila nimeandika kuwa umeme ukirudi nitachangia mada hii maana sina hakika chaji siku ya keshoUmeme sio sawa na wasiojulikana.
Asante sana Mkuu.Sujazungumza kuwa umeme ni tatizo. Tumezoea awamu hii ya 6 kuwa ni haki yetu kukatiwa umeme. Ila nimeandika kuwa umeme ukirudi nitachangia mada hii maana sina hakika chaji siku ya kesho
Sawa pamoja na hayo tuendelee kutafakari
- TAMISEMI: Gari lililohusika katika ajali ya Naibu Waziri Dugange lilikuwa binafsi na siyo la Serikali
- Maharagande: Naibu Waziri TAMISEMI Ajiuzulu
- Naibu Waziri anapopata ajali then Viongozi wakuu wa Wizara na nchi Kwa ujumla wasitoe pole Kwa familia siyo afya. Kuna fumbo
- POLISI: Acheni UONGO na UPOTOSHAJI, Naibu Waziri Dugange hakuwa na mwanamke kwenye gari
😅😅😅Kwa kweli amemzidi,mama wa watu hatulii mara Marekani mara uingereza mara Dubai mara Uarabuni kwa kweli kongole kwake