Kusema Ukweli Rais Samia amemzidi mbali sana Hayati Dr. Magufuli

Kusema Ukweli Rais Samia amemzidi mbali sana Hayati Dr. Magufuli

Asiwafunge macritics wake amfungulie Dawa Juma hii ndio Democracy.
View attachment 2613139

Haha huyo sijui Dawa Juma yaani kwa kujua kwangu ki Sukuma cha kubahatisha mtazamo wake ni kama watu wengi tu ambao kipindi cha Muheshimiwa Ngosha hawakuwa na cha kupoteza sana, lakini kwa kada ya wafanyakazi hasa serikalini na wajasiriamali wanao taka kukuza biashara zao na wale wafanya Biashara wakubwa ndo wanajua hasa uharibifu uliofanyika na hii ndo kada ya kusukuma maendeleo ni kama alikuwa anakindhana na dhana yake TZ ya viwanda kwa namna ya kuendesha mambo

Huyu sijui Dawa Juma ni kutafuta tu umaarufu kwa ujumbe wake wa Sabuni na mafuta ya kula yashuke bei
 
Haha huyo sijui Dawa Juma yaani kwa kujua kwangu ki Sukuma cha kubahatisha mtazamo wake ni kama watu wengi tu ambao kipindi cha Muheshimiwa Ngosha hawakuwa na cha kupoteza sana, lakini kwa kada ya wafanyakazi hasa serikalini na wajasiriamali wanao taka kukuza biashara zao na wale wafanya Biashara wakubwa ndo wanajua hasa uharibifu uliofanyika na hii ndo kada ya kusukuma maendeleo ni kama alikuwa anakindhana na dhana yake TZ ya viwanda kwa namna ya kuendesha mambo

Huyu sijui Dawa Juma ni kutafuta tu umaarufu kwa ujumbe wake wa Sabuni na mafuta ya kula yashuke bei
😃😃😃
 
Huyu sijui Dawa Juma ni kutafuta tu umaarufu kwa ujumbe wake wa Sabuni na mafuta ya kula yashuke bei
Je kufikisha ujumbe kwa Riasi kuwa hali ya maisha imekuwa ngumu ndio kufungwa miaka sita?

Please free Dawa Juma.
 
😂😂😂 machawa bhana japo jpm alikua zuzu mmoja tu ila huyu samia ana hofu ya msoga hana jipya anachezewa kama mjinga mjinga hana kauli hajui hata nn kinaendelea nchini
 
😂😂😂 machawa bhana japo jpm alikua zuzu mmoja tu ila huyu samia ana hofu ya msoga hana jipya anachezewa kama mjinga mjinga hana kauli hajui hata nn kinaendelea nchini
Una ushahidi na haya?
 
Nhiiii.....upuuzi tupu unaendelea sasa..
 
Kwa sasa jinsi Nchi inavyoongozwa kwa utulivu na amani huku tukishuhudia maendeleo kede kede, ajira za hapa na pale, miundo mbinu, wafanykazi kuboreshewa maslahi yao.

Si hivyo tu hata majaji wetu wa mahakama wanapumua sasahivi. Wanalala kwa amani bila simanzi ya kubambikia mtanzania mwenzao kesi.
Huduma za afya tunaona uzuri wake.

Rais Samia hajasahau kuwa mstakabari wa Nchi ni pamoja na siasa safi, uhuru wa kutoa maoni, uwazi na sheria bora. Katiba Mpya pia iko mbioni.

Haya yoote yanafanyika kwa pamoja synchronously.

Heshima kwako na team yako ya Ushauri hapo White House.

Jpili njema wadau

Mkumbushe tu mama kuwa watoa huduma za kijamii kwa taasisi za serikali ndio shida waungu watu wao sisi wateja ndio twateseka
 
Mkumbushe tu mama kuwa watoa huduma za kijamii kwa taasisi za serikali ndio shida waungu watu wao sisi wateja ndio twateseka
Mdogo mdogo watabadilika. Tuko kwenye mageuzi ya Kitaifa
 
Mdogo mdogo watabadilika. Tuko kwenye mageuzi ya Kitaifa

Hapana aiseee ivi ushawahi ingia kwenye ofisi za umma mzee yani watu badala ya kukuhudumia ndio kwanza wengine wanapiga story na wengine kusikiliza music kwa komputer za ofisi yani ni shida mzee
 
Hapana aiseee ivi ushawahi ingia kwenye ofisi za umma mzee yani watu badala ya kukuhudumia ndio kwanza wengine wanapiga story na wengine kusikiliza music kwa komputer za ofisi yani ni shida mzee
Sasa hiyo ni shida ya Rais au ni ubovu wa jamii zetu zisizopenda kufa ya kazi kwa umahili na ufanisi?
 
Sasa hiyo ni shida ya Rais au ni ubovu wa jamii zetu zisizopenda kufa ya kazi kwa umahili na ufanisi?

Kipindi cha Magufuli hapakuwa na iyo hali mzee tusisingizie ubovu wa jamii zetu ni wenye mamlaka ndio alaumiwe
 
Back
Top Bottom