Kusema ukweli VPL ni kama iliisha tarehe 3 Julai 2021 mbele ya Rais Samia

Kusema ukweli VPL ni kama iliisha tarehe 3 Julai 2021 mbele ya Rais Samia

Dah vyura mnajua kuhadithia ndoto kiukweli
kwani Kaizer chiefs na Al-Ahly walikuwa wa ngapi kwenye makundi yao na Simba alikuwa namba gani kwenye kundi lake? Nani kafika stage gani kwenye Champions? jamani kupenda kubaya wacha kuwe kubaya!!!
 
Suppose timu ambayo haikuchukua ubingwa kwenye ligi yake ikapewa nafasi ya kushiriki African champions na ikachukua ubingwa wa champions league, na timu ambayo iliyochukua ubingwa kwenye ligi yake lakini ikaishia hatua za awali za champions league, ipi ni timu bora?
Unajijibu mwenyewe hapo,jamaa alikuambia ubora wa timu unapimwa kwa kupata mataji na wewe unazungumza hilo hilo.
 
Timu zetu 4 kufanikiwa kwenda kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao ni kama vile yamemaliza kiu ya kuwa bingwa kwa msimu huu. Mshindi wa kwanza na wapili wa VPL hawana tofauti kubwa maana tofauti kati ya zawadi ya mashindi wa kwanza na pili hairushi roho washindi wa pili, ni ndogo sana.

Kilishorusha roho watu wengi nchini ni kile kilichotokea tarehe 3 July mbele ya mgeni rasmi Rais Samia. Aliyefurahi siku ile ndiye mshindi wa msimu. Maana ni bahati kubwa Mama Samia kuhudhuria tukio kama lile.

Mechi zilizobakia ni muhimu kwa timu zinazokataa kushuka daraja na washindi wa tatu na nne.

Head to head ndiyo mpango mzima msimu huu.
Mmajua sana kujipa matumaini
 
Suppose timu ambayo haikuchukua ubingwa kwenye ligi yake ikapewa nafasi ya kushiriki African champions na ikachukua ubingwa wa champions league, na timu ambayo iliyochukua ubingwa kwenye ligi yake lakini ikaishia hatua za awali za champions league, ipi ni timu bora?
Nimesoma maneno matatu tu nikaishia hapo wewe ni utopolo, hii akili unaikuta dimbwini tu
 
Alafu tunalalamikia TFF kuwa inaua mpira wa Tanzania ilhali mashabiki wenyewe ndy kama hawa wenye maono ya kushinda mechi moja kwa msimu.

Sasa wakina Ronaldo na Messi kuna faida gani kwao kupambana kutwaa ubingwa mfano wa UCL ambapo zawadi yake ya ubingwa ni kama $ 75m, ukiigawa hii kwa kikosi kizima cha Juve au Barca utaona kila mchezaji atapa dola 2.5m kwa mwaka. Wakati messi yeye kwa mwaka anaingiza peke yake dola 71m?

Ukiwa bingwa jua ya kwamba Kuna kitu kikubwa sana unaongeza ambacho ni value kwa team yako mbali na hilo unaweka historia. Hakuna atakaekumbuka kama Yanga ilishika nafasi ya pili na ikashiriki CAF champions league kwa msimu wa 2020-2021, ila itakumbukwa Simba kwa kuwa bingwa na kushiriki champions league.

Mwisho elewa kitu kimoja ambacho ni muhimu sana na hata viongozi wako wanajua hilo, ya kuwa shabaha ya team kubwa yyt duniani ni kuwa bingwa/ kushinda makombe katika big tournaments. Ndy maana hata nyinyi kila siku mnapiga kelele za kuwa bingwa wa Mapinduzi ilhali ni kombe lisilo na impact yyt, lakn mnatusumbua kweli kwelu.
usidanganye, thamani ya ubingwa ni matokeo ya baada ya kuutwaa ubingwa.
 
kwani Kaizer chiefs na Al-Ahly walikuwa wa ngapi kwenye makundi yao na Simba alikuwa namba gani kwenye kundi lake? Nani kafika stage gani kwenye Champions? jamani kupenda kubaya wacha kuwe kubaya!!!
Unataka kusema nini ewe utopolo mbobev? Kutuaminisha kwamba eti nyie kimakima fc! Zomeazomea fc kama alivyosemaga yule kocha wenu kipenzi eymel nandivyo mlivyothibitisha katabia kenu kwakumzomea katibu mkuu wa tff siku ile yamkutano mkuu!
Ebu subiri tarhe 25 ndo mtajua kumbe hakuna timu pale mnajazwa upepo tu.
 
Simba ilimaliza msimu ilipotolewa na kaizer.Utopolo imemaliza msimu baada ya kuifunga simba, ndio hivyo kila mmoja na malengo yake.
 
Sawa, mtani hapigwi wala kushitakiwa. Lakini huoni aibu kuo kuna timu bado inacheza viporo huku baadhi ya timu tayari zimeshuka daraja na nyingine zimebakisha mechi 1. Hata kama hakuna ushahidi lakini haya mazingira pia huyaoni?
Mtani hakuna timu iliyobakisha mechi moja. Hata hivyo, viporo vyangu havijasababisha mtu ashuke daraja. Kwani hauamini ule usemi maarufu "KILA MTU ASHINDE MECHI ZAKE" ?
 
Sherehe ilikwisha siku ile bro. Kila timu kwenye league ina malengo 5, kupata zawadi ya mshindi na fedha, kupata nafasi ya kushiriki mashindano ya kimataifa, kuwafurahisha mashabiki wake kwa kumfunga mpinzani wake mkuu na kujitangaza. Siku ile yote yalitimia mbele ya mgeni rasmi.

Siku ile, Wachezaji walipata pesa kuliko za mshindi wa league, walijihakikishia kishiriki mashindano ya kimataifa, mashabiki walifirahi sana, na walifanya hivyo mbele ya camera na Rais wa nchi akiwepo na watu wengi uwanjani, majumbani na kimataifa wakiangalia. Kuna nini tena hapo?
hamna kitu Tena apo,umeeleza ukweli na Wana Simba wanalitambua hili.
 
Yaani mitandao ni mizuri Sana.
Mtu anakula kiporo chake gesi inajaa tumboni na ushuzi anakuja tu jf ana post uharo maisha yanasonga.
Si kosa lako, hasira z 3/ 7 bado unazo.
 
Simba ilimaliza msimu ilipotolewa na kaizer.Utopolo imemaliza msimu baada ya kuifunga simba, ndio hivyo kila mmoja na malengo yake.
Kilichobaki subiri mashindano ya CAF yaanze ndo utajua kuwa ligi iliisha 3/7
 
Mkuu mbona umeweka standards za timu yako kwenye viwango vya chini sana ?
Yaani wewe ukimfunga mtani, ukapata zawadi ya mshindi wa pili, ukapata na nafasi ya kushiriki mashindano ya kimataifa unaona inatosha ?

Kama ni hivyo, kuna timu ilisema itachukua ubingwa mara kumi mfululizo, naliona hili likitimia maana wengine mmeridhika na hayo mliyoyataja.

Mtakua washindi wa pili kwa miaka 10 mfululizo, what a lovely success for you.
Unachanganya mambo, mimi nimelenga msimu huu tu ambao timu zetu 4 zitashiriki mashindano ya CAF, hakuna aliyesema kuwa bingwa sio muhimu. Huwezi kushiriki CAF kamba sio mshindi kwenye ligi yako, hiyo inajulikana tayari.

Narudia tena kwa faida yako, msimu huu Simba na Yanga zitashiriki zote CAF, hivyo furaha pekee kubwa kwa timu hizi ni ile ya 3/7 ambayo ilihudhuriwa na kutazamwa na watu wengi duniani na mbele ya viongozi wakuu wa kitaifa.

Hata simba wakitwaa ubingwa wataonekana wehu kama watagalagala na kusumbua watu mitaani kwa furaha kisa ubingwa. Nadhani hata wao wanajua kuwa ubingwa wao mwaka huu wausherehekee kimyakimya kwa kufanya maandalalizi makubwa kwa mechi ya 25/7 na mashindano ya CAF yajao ambayo Yanga pia imo.

Nadhani Simba na TFF walipanga kinyemela kuwakabidhi Simba kombe la VPL tarehe 3/7 ndio maana ya mbwembwe za kumsumbua namba 01.
 
Timu zetu 4 kufanikiwa kwenda kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao ni kama vile yamemaliza kiu ya kuwa bingwa kwa msimu huu. Mshindi wa kwanza na wapili wa VPL hawana tofauti kubwa maana tofauti kati ya zawadi ya mashindi wa kwanza na pili hairushi roho washindi wa pili, ni ndogo sana.

Kilishorusha roho watu wengi nchini ni kile kilichotokea tarehe 3 July mbele ya mgeni rasmi Rais Samia. Aliyefurahi siku ile ndiye mshindi wa msimu. Maana ni bahati kubwa Mama Samia kuhudhuria tukio kama lile.

Mechi zilizobakia ni muhimu kwa timu zinazokataa kushuka daraja na washindi wa tatu na nne.

Head to head ndiyo mpango mzima msimu huu.
Mshindi ni yule anaebeba kombe, wengine takataka
 
Kwa hiyo mshindi wa Pili atachukua kombe? Vp atacheza club Bingwa Africa?

Pathetic
 
Unachanganya mambo, mimi nimelenga msimu huu tu ambao timu zetu 4 zitashiriki mashindano ya CAF, hakuna aliyesema kuwa bingwa sio muhimu. Huwezi kushiriki CAF kamba sio mshindi kwenye ligi yako, hiyo inajulikana tayari.

Narudia tena kwa faida yako, msimu huu Simba na Yanga zitashiriki zote CAF, hivyo furaha pekee kubwa kwa timu hizi ni ile ya 3/7 ambayo ilihudhuriwa na kutazamwa na watu wengi duniani na mbele ya viongozi wakuu wa kitaifa.

Hata simba wakitwaa ubingwa wataonekana wehu kama watagalagala na kusumbua watu mitaani kwa furaha kisa ubingwa. Nadhani hata wao wanajua kuwa ubingwa wao mwaka huu wausherehekee kimyakimya kwa kufanya maandalalizi makubwa kwa mechi ya 25/7 na mashindano ya CAF yajao ambayo Yanga pia imo.

Nadhani Simba na TFF walipanga kinyemela kuwakabidhi Simba kombe la VPL tarehe 3/7 ndio maana ya mbwembwe za kumsumbua namba 01.
Bingwa ni cumulative winner of the whole process. Nashangaa unaposema kwamba Simba watasherekea ubingwa kimya kimya kwa sababu katika msimu husika hakumfunga Yanga. Maajabu. Nakumbuka msimu uliopita Yanga alipata pointi 4 kwa Simba kama ilivyo kwa msimu huu, lakini watu walisherekea ubingwa kwa shangwe kubwa.
Kuna kupoteza pambano na kushindwa vita, Simba imepoteza pambano lakini imeshinda vita.
Hapa ndio tunarudi kwenye mentality ya timu ndogo kumfunga timu kubwa, wakati mentality ya timu kubwa ni kuchukua mataji.

Hilo la TFF kutaka kuikabidhi kombe Simba "kinyemela" siku ya Julai 3 mimi sijui, huenda wewe unafahamu zaidi.
Lakini cha muhimu ni kwamba timu inaweza kukabidhiwa kombe katika mevhi yoyote ile endapo itakua imetawazwa kuwa mabingwa. Na hilo bado halijatokea, hayo mengine mimi sina ushahidi nayo hivyo nisingependa kuyajadili.
 
Timu zetu 4 kufanikiwa kwenda kushiriki mashindano ya CAF msimu ujao ni kama vile yamemaliza kiu ya kuwa bingwa kwa msimu huu. Mshindi wa kwanza na wapili wa VPL hawana tofauti kubwa maana tofauti kati ya zawadi ya mashindi wa kwanza na pili hairushi roho washindi wa pili, ni ndogo sana.

Kilishorusha roho watu wengi nchini ni kile kilichotokea tarehe 3 July mbele ya mgeni rasmi Rais Samia. Aliyefurahi siku ile ndiye mshindi wa msimu. Maana ni bahati kubwa Mama Samia kuhudhuria tukio kama lile.

Mechi zilizobakia ni muhimu kwa timu zinazokataa kushuka daraja na washindi wa tatu na nne.

Head to head ndiyo mpango mzima msimu huu.
Una wazimu wewe sio bure. UBINGWA 4 yrs consecutively USIWE NA RAHA? Acha ubwege kbsaa
 
Bingwa ni cumulative winner of the whole process. Nashangaa unaposema kwamba Simba watasherekea ubingwa kimya kimya kwa sababu katika msimu husika hakumfunga Yanga. Maajabu. Nakumbuka msimu uliopita Yanga alipata pointi 4 kwa Simba kama ilivyo kwa msimu huu, lakini watu walisherekea ubingwa kwa shangwe kubwa.
Kuna kupoteza pambano na kushindwa vita, Simba imepoteza pambano lakini imeshinda vita.
Hapa ndio tunarudi kwenye mentality ya timu ndogo kumfunga timu kubwa, wakati mentality ya timu kubwa ni kuchukua mataji.

Hilo la TFF kutaka kuikabidhi kombe Simba "kinyemela" siku ya Julai 3 mimi sijui, huenda wewe unafahamu zaidi.
Lakini cha muhimu ni kwamba timu inaweza kukabidhiwa kombe katika mevhi yoyote ile endapo itakua imetawazwa kuwa mabingwa. Na hilo bado halijatokea, hayo mengine mimi sina ushahidi nayo hivyo nisingependa kuyajadili.
Msimu uliopita Yanga ilipoteza VPL na FA, ilikosa mashindano yote ya CAF, hivyo hata kumfunga Simba haikuwa Na maana sana, lakini mwaka huu kumfunga simba kuna maana kwelikweli kwakuwa imemminya Simba Na CAF itashiriki. Hivi mbona hamuelewi?
 
KWA MAWAZO HAYA YA MLETA UZI, KWANINI SIMBA ISICHUKUE UBINGWA MIAKA KUMI MFURULIZO
 
KWA MAWAZO HAYA YA MLETA UZI, KWANINI SIMBA ISICHUKUE UBINGWA MIAKA KUMI MFURULIZO
Msimu umekwisha, timu zinasajili Na kujitathimini wapi zilikosea, lakini kwenye tathimini yao hakuna timu ambayo haitamtaja Karia, Bodi ya ligi, TFF, waamuzi Na ratiba kwenye visiki vyao vya 2020/21. Ni kweli kama TFF itabakia kama ilivyo basi Simba itachukua miaka 8 back to back.

Mpaka Leo simba inacheza viporo wakati timu nyingine zimeshashuka daraja, huu ni ushahidi wa upuuzi.
 
Back
Top Bottom