Kusema za ukweli naichukia Arusha na Kilimanjaro pamoja na Mbeya

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Wakuu sijui ndiyo uchawi au ndiyo wivu au sijui nini wakuu najikuta naichukia mikoa tajwa hapo juu Kilimanjaro,Arusha pamoja na Mbeya sijui kwanini japo watu wake wengi nimeishi nao vizuri tu ila najikuta naichukia hiyo mikoa mpaka najishangaa shida nini?

Yaani nikisikia mtu mbele yangu anaisifia hiyo mikoa natamani kumpiga kofi na kiukweli nikipita hiyo mikoa najihisi kinyaa na kichefu sasa nimejiuliza kuna shida gani Mimi

Nimeishi vizuri sana na watu wa mikoa hiyo ni watu wazuri kiukweli ila shida inakuja kuhusu mikoa yao imenifanya nini na ukiniuliza shida nini siwezi kukuambia sina jibu kabisa huu unaweza kuwa ni ugonjwa wa akili?
 
Yajs mikoa yako pendwa
 
Uichukia je wewe mkoa wako wa asili ni upi?
 
Wala haina shida,maana wapo watu wanaoishi
 
Kacheki akili kama ipo sawa na kama upo sawa basi ni viwu tu unakusumbua.
Ukiendelea ivo either uwe mwehu kabisa au Mchawi
 
Tatizo

Ili uwachukize Mwanamke wa kichaga jaribu hii!/Ili demu wa kichaga akuelewe tekeleza huu ujumbe kwa asilimia 100

Shemeji nimeipata ile namba ya mtaalamu Yule aliye nisaidia shida zangu hii hapa 0617146864 mpgie mzee atakusaidia matatizo ulio nieleza malipo baada ya tiba
 
ivi ntotoo NSENGE, na ntotoo NJINGA boya yupi!? kweli weye ni bazinkuundu,
in makonde slang.
 
Hapo Anza na
1.Arusha
2.Kilimanjaro
3.Mbeya
Ukweli nakuunga mkono
Kwa tz mkoa ni Mwanza na Dar
 
Ni wivu uliochanganyika na ukabila utasumbuka sana mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…