Kusema za ukweli naichukia Arusha na Kilimanjaro pamoja na Mbeya

Kusema za ukweli naichukia Arusha na Kilimanjaro pamoja na Mbeya

20241025_155223.jpg
 
Wakuu sijui ndiyo uchawi au ndiyo wivu au sijui nini wakuu najikuta naichukia mikoa tajwa hapo juu Kilimanjaro,Arusha pamoja na Mbeya sijui kwanini japo watu wake wengi nimeishi nao vizuri tu ila najikuta naichukia hiyo mikoa mpaka najishangaa shida nini?

Yaani nikisikia mtu mbele yangu anaisifia hiyo mikoa natamani kumpiga kofi na kiukweli nikipita hiyo mikoa najihisi kinyaa na kichefu sasa nimejiuliza kuna shida gani Mimi

Nimeishi vizuri sana na watu wa mikoa hiyo ni watu wazuri kiukweli ila shida inakuja kuhusu mikoa yao imenifanya nini na ukiniuliza shida nini siwezi kukuambia sina jibu kabisa huu unaweza kuwa ni ugonjwa wa akili?
Una mapepo nenda kwa mwamposa 🤣
Na hiyo ndo mikoa inayotembelewa na wageni wengi wakija nchin
 
Wakuu sijui ndiyo uchawi au ndiyo wivu au sijui nini wakuu najikuta naichukia mikoa tajwa hapo juu Kilimanjaro,Arusha pamoja na Mbeya sijui kwanini japo watu wake wengi nimeishi nao vizuri tu ila najikuta naichukia hiyo mikoa mpaka najishangaa shida nini?

Yaani nikisikia mtu mbele yangu anaisifia hiyo mikoa natamani kumpiga kofi na kiukweli nikipita hiyo mikoa najihisi kinyaa na kichefu sasa nimejiuliza kuna shida gani Mimi

Nimeishi vizuri sana na watu wa mikoa hiyo ni watu wazuri kiukweli ila shida inakuja kuhusu mikoa yao imenifanya nini na ukiniuliza shida nini siwezi kukuambia sina jibu kabisa huu unaweza kuwa ni ugonjwa wa akili?
Lakini uyasemayo yana ukweli ndani yake nimeshashuhudia chuki za wazi wazi za watu wa kanda ya ziwa juu ya mikoa ya kaskazini, mbeya na iringa labda kwa vile hzo sehemu zinabaridi 😄 lakin siku tukipata kiongoz akatoka kanda ya ziwa mikoa tajwa lazima iteseke sana sijui waliwafanyiaga nini hawa watu wana chuki ya asil hata mtoto mdogo akizaliwa tu mwanza au shy atajikuta anaichukia arusha na klm 😄 labda kulishawah kuwa na vita before you never know
 
Back
Top Bottom