Kushabikia Mpira wa Tanzania Inatakiwa Uwe Mjinga kidogo

Kushabikia Mpira wa Tanzania Inatakiwa Uwe Mjinga kidogo

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Habari wanajukwaa.

Nataka niseme hiki kitu leo sitaki kuonekana kama natukana watu la hasha ila leo wacha niseme kitu.
Kwa mda Mrefu nimekua naona mambo yanayoendelea kwenye ushabiki wa Mpira wa Bongo hakika yana sikitisha mpaka nikafikia hatua ya kusema hii kauli kua KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO INATAKUWA UWE MJINGA.
1:Hivi niulize Leo Nani hajui Ubora wa CSKA MOSCOW? Simba ilicheza nao ila Watani wakasema Team hovyohovyo mara kuna vita kule😂😂🙌

2:Simba Wakatoa Mfungaji Bora wa goli la CAF Mashabiki wa Simba wakaibeba Ile Tuzo as If ni ya Team go back Messi kabeba World Cup umeona Mashabiki wa PSG wakipiga Mapambio??😂😂
3:Ikaja Issue ya Feisal na Yanga Watu wakatoa Maneno sana huku haijulikani issue ipo vipi...At the End Yanga wakashinda Case na Ligi wanaendelea Kushinda Match zao😂

4:Simba Ni Team Iliyo na mafanikio Makubwa Kwenye Michuano ya Nje ila haiishi kusemea Yanga kua watatoka mapema kuliko kusema Wenyewe wamejipanga Vipi kufika Mbali zaidi😂

5:Halaf Team ya Simba imeachwa Point 6 clear halaf inafuraha kubwa kuliko Yanga😂 hivi utakua na Akili kweli kama unawaza Yanga atapoteza Match 2??

6:Simba ina shinda goli nyingi sana Match zake na ndio ina wastan wa magoli mengi ila Yanga aanshinda goli 1 au 2 ila anaambiwa kanunua Match😂😂

Kuna Vitu Vingi vinakera sana kwenye soka la Bongo hadi watu wengine humu wanakera yani imekua Jamii Forum Jukwaa la Sport kama MAGAZETI tu watu wanaleta Thread za Hisia sana ndio maana nikasema KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO LAZIMA UWE MJINGA KIDOGO.
 
Tusipangiane maisha, acha tuendelee na magazeti yetu uliyoyasema wewe tafuta jambo lenye akili huku kwenye mpira tumejaa wajinga tupu
 
Tusipangiane maisha, acha tuendelee na magazeti yetu uliyoyasema wewe tafuta jambo lenye akili huku kwenye mpira tumejaa wajinga tupu
Mpira wa Tanzania na ndio maana hutakuja muona mchambuzi makini amekijika katika maswala ya Bongo BIG NO.
Kwa sababu Watu kama nyie hamuelezwi kitu mkaelewa.
 
Habari wanajukwaa.
Nataka niseme hiki kitu leo sitaki kuonekana kama natukana watu la hasha ila leo wacha niseme kitu.
Kwa mda Mrefu nimekua naona mambo yanayoendelea kwenye ushabiki wa Mpira wa Bongo hakika yana sikitisha mpaka nikafikia hatua ya kusema hii kauli kua KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO INATAKUWA UWE MJINGA.
1:Hivi niulize Leo Nani hajui Ubora wa CSKA MOSCOW? Simba ilicheza nao ila Watani wakasema Team hovyohovyo mara kuna vita kule😂😂🙌
2:Simba Wakatoa Mfungaji Bora wa goli la CAF Mashabiki wa Simba wakaibeba Ile Tuzo as If ni ya Team go back Messi kabeba World Cup umeona Mashabiki wa PSG wakipiga Mapambio??😂😂
3:Ikaja Issue ya Feisal na Yanga Watu wakatoa Maneno sana huku haijulikani issue ipo vipi...At the End Yanga wakashinda Case na Ligi wanaendelea Kushinda Match zao😂
4:Simba Ni Team Iliyo na mafanikio Makubwa Kwenye Michuano ya Nje ila haiishi kusemea Yanga kua watatoka mapema kuliko kusema Wenyewe wamejipanga Vipi kufika Mbali zaidi😂
5:Halaf Team ya Simba imeachwa Point 6 clear halaf inafuraha kubwa kuliko Yanga😂 hivi utakua na Akili kweli kama unawaza Yanga atapoteza Match 2??
6:Simba ina shinda goli nyingi sana Match zake na ndio ina wastan wa magoli mengi ila Yanga aanshinda goli 1 au 2 ila anaambiwa kanunua Match😂😂
Kuna Vitu Vingi vinakera sana kwenye soka la Bongo hadi watu wengine humu wanakera yani imekua Jamii Forum Jukwaa la Sport kama MAGAZETI tu watu wanaleta Thread za Hisia sana ndio maana nikasema KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO LAZIMA UWE MJINGA KIDOGO.
Mkuu samahani wewe pia ni juha wa soja la bongo, kama unabisha soma vizuri hoja namba 5 uliyoiandika.

Kwanini huyi Yanga asifungwe wakati tunaamini kwenye mpira lolote linaweza kutokea
 
Habari wanajukwaa.
Nataka niseme hiki kitu leo sitaki kuonekana kama natukana watu la hasha ila leo wacha niseme kitu.
Kwa mda Mrefu nimekua naona mambo yanayoendelea kwenye ushabiki wa Mpira wa Bongo hakika yana sikitisha mpaka nikafikia hatua ya kusema hii kauli kua KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO INATAKUWA UWE MJINGA.
1:Hivi niulize Leo Nani hajui Ubora wa CSKA MOSCOW? Simba ilicheza nao ila Watani wakasema Team hovyohovyo mara kuna vita kule😂😂🙌
2:Simba Wakatoa Mfungaji Bora wa goli la CAF Mashabiki wa Simba wakaibeba Ile Tuzo as If ni ya Team go back Messi kabeba World Cup umeona Mashabiki wa PSG wakipiga Mapambio??😂😂
3:Ikaja Issue ya Feisal na Yanga Watu wakatoa Maneno sana huku haijulikani issue ipo vipi...At the End Yanga wakashinda Case na Ligi wanaendelea Kushinda Match zao😂
4:Simba Ni Team Iliyo na mafanikio Makubwa Kwenye Michuano ya Nje ila haiishi kusemea Yanga kua watatoka mapema kuliko kusema Wenyewe wamejipanga Vipi kufika Mbali zaidi😂
5:Halaf Team ya Simba imeachwa Point 6 clear halaf inafuraha kubwa kuliko Yanga😂 hivi utakua na Akili kweli kama unawaza Yanga atapoteza Match 2??
6:Simba ina shinda goli nyingi sana Match zake na ndio ina wastan wa magoli mengi ila Yanga aanshinda goli 1 au 2 ila anaambiwa kanunua Match😂😂
Kuna Vitu Vingi vinakera sana kwenye soka la Bongo hadi watu wengine humu wanakera yani imekua Jamii Forum Jukwaa la Sport kama MAGAZETI tu watu wanaleta Thread za Hisia sana ndio maana nikasema KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO LAZIMA UWE MJINGA KIDOGO.
Naomba nitie neno kwenye huu uzi.

Nikiri kusema siyo Tanzania tu. Bali ni Dunia nzima. Angalia mataifa ya Amerika kusini(Huku kuna machizi wa Soka kabisa), North Africa, Hata baadhi ya mataifa ya Ulaya na Asia.

So, Kwanini ipo hivi? Ushabiki au mapenzi ya mpira wa miguu ni more emotional than Logical investment.

So, kama tunavyotambua popote ambapo hisia itazidi logic, suala la Facts kamwe hutalipata kabisa. So sina tatizo kabisa na Die hard fans.

Sasa tofauti yetu na wao ipo kwenye professionalism.

Huku kwetu ukitoa jina au cheo chake, Ni ngumu sana kutofautisha kati ya kiongozi na shabiki. Kumkuta Kiongozi mkubwa, Msemaji wa timu au Mchambuzi anaropoka mambo ya kishabiki ni kawaida sana. Hapa bado tuna mengi ya kujifunza.

Ila hizo point ulizotaja zina walakini,hazina uhusiano wa kutokua shabiki mwenye akili nyingi au kidogo. Nakuja kueleza why?
 
Habari wanajukwaa.
Nataka niseme hiki kitu leo sitaki kuonekana kama natukana watu la hasha ila leo wacha niseme kitu.
Kwa mda Mrefu nimekua naona mambo yanayoendelea kwenye ushabiki wa Mpira wa Bongo hakika yana sikitisha mpaka nikafikia hatua ya kusema hii kauli kua KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO INATAKUWA UWE MJINGA.
1:Hivi niulize Leo Nani hajui Ubora wa CSKA MOSCOW? Simba ilicheza nao ila Watani wakasema Team hovyohovyo mara kuna vita kule😂😂🙌
2:Simba Wakatoa Mfungaji Bora wa goli la CAF Mashabiki wa Simba wakaibeba Ile Tuzo as If ni ya Team go back Messi kabeba World Cup umeona Mashabiki wa PSG wakipiga Mapambio??😂😂
3:Ikaja Issue ya Feisal na Yanga Watu wakatoa Maneno sana huku haijulikani issue ipo vipi...At the End Yanga wakashinda Case na Ligi wanaendelea Kushinda Match zao😂
4:Simba Ni Team Iliyo na mafanikio Makubwa Kwenye Michuano ya Nje ila haiishi kusemea Yanga kua watatoka mapema kuliko kusema Wenyewe wamejipanga Vipi kufika Mbali zaidi😂
5:Halaf Team ya Simba imeachwa Point 6 clear halaf inafuraha kubwa kuliko Yanga😂 hivi utakua na Akili kweli kama unawaza Yanga atapoteza Match 2??
6:Simba ina shinda goli nyingi sana Match zake na ndio ina wastan wa magoli mengi ila Yanga aanshinda goli 1 au 2 ila anaambiwa kanunua Match😂😂
Kuna Vitu Vingi vinakera sana kwenye soka la Bongo hadi watu wengine humu wanakera yani imekua Jamii Forum Jukwaa la Sport kama MAGAZETI tu watu wanaleta Thread za Hisia sana ndio maana nikasema KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO LAZIMA UWE MJINGA KIDOGO.
-Nimekuja kueleza why?
1. Unataka shabiki wa Yanga asifie kile kinachofanyika na simba? Yaani shabiki wa Arsenal asifie kila kinachofanywa na Man United? Okay, Unasikia kule duniani kinachozungumzwa na Fans wa Ronaldo kuhusu Messi, Vice versa?

2. Kuhusu Sakho, Haya mafanikio ameyapata akiwa Simba. Chukua mfano wa Top Scorer or mchezaji bora. Haya ni mafanikio ya Mchezi ambayo yapo affiliated na Timu husika. Hii fans lazima watambe.

3. Yaani unataka issue ya Haaland fans wa Man City wasiizungumzie? Issue ya Rashford pale Man U fans wakae kimya. Impossible.
4- Nimechagua kukaa kimya.
5. Na mashaka sana kuhusu ujuzi wako katika soka. Point 6, unataka Simba wa-give up.
6. No comment. Ni tuhuma nzito sana hizo. Swali magoli yanapatikanaje? Na kwa weledi wangu katika soka, Timu zinanunua Ushindi. Ila hakuna timu itakubali kuuza mechi yake at same time umfunge goal sita. So kama ni goli Moja or mbili jaribuni kuwa sikiliza wanaotaoa hoja hizo, wanaweza kuwa na point.

Changamoto tuliyonayo fans, Ni ku-attack subject, no matter. Yaani katika hii mada naweza ambiwa Meno yangu ni Machafu😂
 
Mengi uliyoandika hayana mashiko. Inawezekana kweli mashabiki ni wajinga ila sio kwa hoja zako zote. Baada ya WC pale PSG Messi kapokelewa kwa heshima na klabu. Si PSG tu bali Man city kwa Alvarez na Man U kwa Martinez kote klabu na mashabiki wamejivunia hayo mafanikio yao ya WC .

Hoja nyingine ya kutoiwazia Yanga kufungwa mechi 2 hii hoja inakuweka na wewe ni shabiki mjinga. Inawezekana kweli ni ngumu yanga kufungwa mechi 2 ila kuiwazia kufungwa hizo mechi sio ujinga sababu matokeo ya mpira ni baada ya dakika tisini na kama unaamini kwa yanga haipo hivyo basi ndio ujinga wenyewe.
 
Back
Top Bottom