Kushabikia Mpira wa Tanzania Inatakiwa Uwe Mjinga kidogo

Kushabikia Mpira wa Tanzania Inatakiwa Uwe Mjinga kidogo

Habari wanajukwaa.

Nataka niseme hiki kitu leo sitaki kuonekana kama natukana watu la hasha ila leo wacha niseme kitu.
Kwa mda Mrefu nimekua naona mambo yanayoendelea kwenye ushabiki wa Mpira wa Bongo hakika yana sikitisha mpaka nikafikia hatua ya kusema hii kauli kua KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO INATAKUWA UWE MJINGA.
1:Hivi niulize Leo Nani hajui Ubora wa CSKA MOSCOW? Simba ilicheza nao ila Watani wakasema Team hovyohovyo mara kuna vita kule[emoji23][emoji23][emoji119]

2:Simba Wakatoa Mfungaji Bora wa goli la CAF Mashabiki wa Simba wakaibeba Ile Tuzo as If ni ya Team go back Messi kabeba World Cup umeona Mashabiki wa PSG wakipiga Mapambio??[emoji23][emoji23]
3:Ikaja Issue ya Feisal na Yanga Watu wakatoa Maneno sana huku haijulikani issue ipo vipi...At the End Yanga wakashinda Case na Ligi wanaendelea Kushinda Match zao[emoji23]

4:Simba Ni Team Iliyo na mafanikio Makubwa Kwenye Michuano ya Nje ila haiishi kusemea Yanga kua watatoka mapema kuliko kusema Wenyewe wamejipanga Vipi kufika Mbali zaidi[emoji23]

5:Halaf Team ya Simba imeachwa Point 6 clear halaf inafuraha kubwa kuliko Yanga[emoji23] hivi utakua na Akili kweli kama unawaza Yanga atapoteza Match 2??

6:Simba ina shinda goli nyingi sana Match zake na ndio ina wastan wa magoli mengi ila Yanga aanshinda goli 1 au 2 ila anaambiwa kanunua Match[emoji23][emoji23]

Kuna Vitu Vingi vinakera sana kwenye soka la Bongo hadi watu wengine humu wanakera yani imekua Jamii Forum Jukwaa la Sport kama MAGAZETI tu watu wanaleta Thread za Hisia sana ndio maana nikasema KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO LAZIMA UWE MJINGA KIDOGO.
Naomba urafiki na wewe First Born maana naona una akili timamu kuliko Mazuzu wengi waliojazana timu za Kariakoo.
 
Mkuu samahani wewe pia ni juha wa soja la bongo, kama unabisha soma vizuri hoja namba 5 uliyoiandika.

Kwanini huyi Yanga asifungwe wakati tunaamini kwenye mpira lolote linaweza kutokea
Ofcourse lolote linaweza Tokea kwenye Mpira, ila sio kuweka 100% kua atafungwa kwenye mpira hilo halipo hua tunasema siku zote shinda Match zako halaf upande wa Pili utasema ashinde na yeye Match zake au utasema Lolote litatokea sio kusema Atapigwa Noo.
Yan ni sawa na saiv unasema Aseno atapoteza Match had Man U ampate😂😂
Utachekesha ila utasema Man U ashinde Match zake tuone inaishia wapi sio kujipa 100% kua Man u atamfikia Aseno.
Hicho cha kujipa 100% Watanzania Ndio tunacho na tunakua tunabisha huku tumetoa Macho yote.
 
Naomba nitie neno kwenye huu uzi.

Nikiri kusema siyo Tanzania tu. Bali ni Dunia nzima. Angalia mataifa ya Amerika kusini(Huku kuna machizi wa Soka kabisa), North Africa, Hata baadhi ya mataifa ya Ulaya na Asia.

So, Kwanini ipo hivi? Ushabiki au mapenzi ya mpira wa miguu ni more emotional than Logical investment.

So, kama tunavyotambua popote ambapo hisia itazidi logic, suala la Facts kamwe hutalipata kabisa. So sina tatizo kabisa na Die hard fans.

Sasa tofauti yetu na wao ipo kwenye professionalism.

Huku kwetu ukitoa jina au cheo chake, Ni ngumu sana kutofautisha kati ya kiongozi na shabiki. Kumkuta Kiongozi mkubwa, Msemaji wa timu au Mchambuzi anaropoka mambo ya kishabiki ni kawaida sana. Hapa bado tuna mengi ya kujifunza.

Ila hizo point ulizotaja zina walakini,hazina uhusiano wa kutokua shabiki mwenye akili nyingi au kidogo. Nakuja kueleza why?
Nashukuru kwa mawazo yako mkuu.
Ila huo umbumbu sisi tunao sana ushabiki wetu unajanja janja sana hadi kwa wachambuzi wetu.
Nakubaliana na wewe kwenye Die Hard Fans ila huku Bongo wapo wachache sana ukiwa Die Hard Fan ina maanisha uwe mtu wa Team yako sio wa Maneno neno sana hadi kwenye maswala yasiyo kuhusu.
 
Mengi uliyoandika hayana mashiko. Inawezekana kweli mashabiki ni wajinga ila sio kwa hoja zako zote. Baada ya WC pale PSG Messi kapokelewa kwa heshima na klabu. Si PSG tu bali Man city kwa Alvarez na Man U kwa Martinez kote klabu na mashabiki wamejivunia hayo mafanikio yao ya WC .

Hoja nyingine ya kutoiwazia Yanga kufungwa mechi 2 hii hoja inakuweka na wewe ni shabiki mjinga. Inawezekana kweli ni ngumu yanga kufungwa mechi 2 ila kuiwazia kufungwa hizo mechi sio ujinga sababu matokeo ya mpira ni baada ya dakika tisini na kama unaamini kwa yanga haipo hivyo basi ndio ujinga wenyewe.
Umeelewa nilivyosema Team kama Team inafanya hivo hio ipo sawa.. ila sio Nyie mashabiki kutengeneza kampeni kama Tuzo yenu umenielewa??
 
Habari wanajukwaa.

Nataka niseme hiki kitu leo sitaki kuonekana kama natukana watu la hasha ila leo wacha niseme kitu.
Kwa mda Mrefu nimekua naona mambo yanayoendelea kwenye ushabiki wa Mpira wa Bongo hakika yana sikitisha mpaka nikafikia hatua ya kusema hii kauli kua KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO INATAKUWA UWE MJINGA.
1:Hivi niulize Leo Nani hajui Ubora wa CSKA MOSCOW? Simba ilicheza nao ila Watani wakasema Team hovyohovyo mara kuna vita kule[emoji23][emoji23][emoji119]

2:Simba Wakatoa Mfungaji Bora wa goli la CAF Mashabiki wa Simba wakaibeba Ile Tuzo as If ni ya Team go back Messi kabeba World Cup umeona Mashabiki wa PSG wakipiga Mapambio??[emoji23][emoji23]
3:Ikaja Issue ya Feisal na Yanga Watu wakatoa Maneno sana huku haijulikani issue ipo vipi...At the End Yanga wakashinda Case na Ligi wanaendelea Kushinda Match zao[emoji23]

4:Simba Ni Team Iliyo na mafanikio Makubwa Kwenye Michuano ya Nje ila haiishi kusemea Yanga kua watatoka mapema kuliko kusema Wenyewe wamejipanga Vipi kufika Mbali zaidi[emoji23]

5:Halaf Team ya Simba imeachwa Point 6 clear halaf inafuraha kubwa kuliko Yanga[emoji23] hivi utakua na Akili kweli kama unawaza Yanga atapoteza Match 2??

6:Simba ina shinda goli nyingi sana Match zake na ndio ina wastan wa magoli mengi ila Yanga aanshinda goli 1 au 2 ila anaambiwa kanunua Match[emoji23][emoji23]

Kuna Vitu Vingi vinakera sana kwenye soka la Bongo hadi watu wengine humu wanakera yani imekua Jamii Forum Jukwaa la Sport kama MAGAZETI tu watu wanaleta Thread za Hisia sana ndio maana nikasema KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO LAZIMA UWE MJINGA KIDOGO.
Hiyo namba moja ni kwamba CSKA Moscow walikuwa serious na mchezo kama vile wachezaji mechi ya mashindano?
 
Umejiandikia mashudu tu mzee baba huo muda bora ungeenda kunywa maji tu
 
Habari wanajukwaa.

Nataka niseme hiki kitu leo sitaki kuonekana kama natukana watu la hasha ila leo wacha niseme kitu.
Kwa mda Mrefu nimekua naona mambo yanayoendelea kwenye ushabiki wa Mpira wa Bongo hakika yana sikitisha mpaka nikafikia hatua ya kusema hii kauli kua KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO INATAKUWA UWE MJINGA.
1:Hivi niulize Leo Nani hajui Ubora wa CSKA MOSCOW? Simba ilicheza nao ila Watani wakasema Team hovyohovyo mara kuna vita kule[emoji23][emoji23][emoji119]

2:Simba Wakatoa Mfungaji Bora wa goli la CAF Mashabiki wa Simba wakaibeba Ile Tuzo as If ni ya Team go back Messi kabeba World Cup umeona Mashabiki wa PSG wakipiga Mapambio??[emoji23][emoji23]
3:Ikaja Issue ya Feisal na Yanga Watu wakatoa Maneno sana huku haijulikani issue ipo vipi...At the End Yanga wakashinda Case na Ligi wanaendelea Kushinda Match zao[emoji23]

4:Simba Ni Team Iliyo na mafanikio Makubwa Kwenye Michuano ya Nje ila haiishi kusemea Yanga kua watatoka mapema kuliko kusema Wenyewe wamejipanga Vipi kufika Mbali zaidi[emoji23]

5:Halaf Team ya Simba imeachwa Point 6 clear halaf inafuraha kubwa kuliko Yanga[emoji23] hivi utakua na Akili kweli kama unawaza Yanga atapoteza Match 2??

6:Simba ina shinda goli nyingi sana Match zake na ndio ina wastan wa magoli mengi ila Yanga aanshinda goli 1 au 2 ila anaambiwa kanunua Match[emoji23][emoji23]

Kuna Vitu Vingi vinakera sana kwenye soka la Bongo hadi watu wengine humu wanakera yani imekua Jamii Forum Jukwaa la Sport kama MAGAZETI tu watu wanaleta Thread za Hisia sana ndio maana nikasema KUSHABIKIA MPIRA WA BONGO LAZIMA UWE MJINGA KIDOGO.
Wewe mjinga sana kwani kununua mechi mpaka ufunge magoli 100?Kununua mechi muhimu point 3 goli zozote zile
 
Hii imakala umeandika Umevaa Nguo rangi gani!? Nyekundu na Nyeupe au Kijani na Njano!?

Jitambukishe kisha tuone nanmna ya kukusaidia
 
Hapo kwny namba 5 ...unataka tulie mkuu?.sisi tuna furaha na timu yetu [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Mtoa mada ni utopwinyo unatuonea gere furaha yetu
Boraa umesema wee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpira wa Tanzania na ndio maana hutakuja muona mchambuzi makini amekijika katika maswala ya Bongo BIG NO.
Kwa sababu Watu kama nyie hamuelezwi kitu mkaelewa.
Yani na wewe hapo unataka watanzania tukuelewe...ah hatujafikia ujinga mkubwa kiasi hicho
 
Back
Top Bottom