antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Kama aliweza kujua kabla kuwa Mbowe atashambuliwa, anaeza pia kujua washambuliajiMhhh mimi naangalia kwa upande huu mwingine wa mashimo. Sio kwamba mashimo alilijua hili either direct au indirect na akafanya kutangaza ili aonekane ana maono ya kinabii kukuza jina lake na kujipatia wafuasi/waumini? Basi akamatwe yy kwanza kama kweli wanachunguza kesi hii.
Kwanini hajatumbuliwa??Huyu Muroto si ndiye aliyeshindwa kueleza tukio la Sheikh hadi leo
Si huyu ambaye hajui nani alimshambulia TL
Si huyu asiyejua Camera zipo wapi
Leo anafanya uchunguzi halafu anahitimisha kuwa siyo tukio la kisiasa hata uchunguzi haujaanza!!!
Hivi kwanini hakai kimya? Kila anapoongea Kamanda Muroto, kinachofuata ni kutia shaka na kuipaka serikali matope
Pascal Mayalla JokaKuu
Utawala huu umekuwa wa kishenzi sana, tulipofikia hakuna tofauti na ule utawala dhalimu wa Dikteta Nduli Idd Amin. Magufuli atambue tu kwamba hata yeye hatoishi milele, na huenda kifo chake kikawa ni SHEREHE KWA WENGI.Mimi nina mashaka Inawezekana hizi ni njama ndani ya chama kumpoteza Mbowe ili kuwapokonya watu wa Kilimanjaro Chama chao.
Amini nakwambia Mashimo hatokamatwa wala kuhojiwa.Mhhh mimi naangalia kwa upande huu mwingine wa mashimo. Sio kwamba mashimo alilijua hili either direct au indirect na akafanya kutangaza ili aonekane ana maono ya kinabii kukuza jina lake na kujipatia wafuasi/waumini? Basi akamatwe yy kwanza kama kweli wanachunguza kesi hii.
Ukishaandika "mungu" inayoanza na "m" ndogo maana yake ni shetani.Mtumishi wa mungu amefunuliwa!naomba msimshambulie kabisa!!!mngechukua tahadhari kabla!!!
Scenarios za mashambulio yote mawili ( Tuñdu Lissu na hili la Mbowe Jana) yanafanana....
Obvious, wapangaji na watekelezaji ni walewale. Eneo la shambulizi ni lilelile. Walengwa ni wa chama kilekile walichoahidi kuwa ifikapo 2020 lazima kiwe kimefutwa...
Tofauti yake ni silaha tu zilizotumika. Tundu Lissu ni SMG na AK47. Huyu (Mbowe) naona walitumia nondo na mipini kuvunjia nyonga na miguu....
Ishu ya mtu kurudi kwake saa 6 usiku haiwezi kuwa ajenda ukizingatia yeye ni kiongozi mkubwa mwenye mambo mengi ya kushughulikia. Narudia tena "muda mtu kurudi nyumbani kwake" is not an issue to dabate.....
Ambacho ni hakika bila kuacha chembe yoyote ya mashaka ni kuwa , matukio haya inaratibiwa na kutekelezwa na viongozi wakubwa ndani ya serikali na CCM kwa baraka za jumba jeupe...
Kwa hiyo kama ilivyokuwa kwa Tundu Lissu, tusitegemee taarifa yoyote sensible and meaningful toka polisi hata kama watatumia karne nzima kuchunguza...
Na hii haina maana kuwa polisi nao watakuwa wanahusika direct kama Jeshi la polisi kuulinda (cover up) uhalifu huu....
Ni kwa sababu wanaowalipa mshahara ndiyo wahusika na ndiyo wao wataandaa taarifa ya uchunguzi (na basically imeshaandaliwa) na polisi wao wataisoma tu public, na hapo ndipo kila mtu atakapo shangaa huu mchezo unavyochezwa....
Hawa polisi wetu uwezo wa kufanya kazi yao "professionally" wanao tena ndani ya muda mfupi sana. Tatizo wameingiliwa na siasa za wanasiasa wenye mamlaka ambao wanaamua hata hatima yao hawa polisi kwamba awe na kazi ama afukuzwe kazi....
Hawa ni watu wa kupokea na kutii amri tu ama "order", hawana namna, nao wana familia eti. Wafanyeje. tusiwalaumu....
Na ndiyo maana ya Lissu jana ktk hotuba yake kutangaza nia ya kugombea Urais, kasema, tukimpa ridhaa ya kuiongoza Tanzania, moja ya shida atakayoishughulikia haraka ni kufanya mageuzi makubwa (big reforms) kwenye miundo ya majesho yetu yote ili kuyafanya yatekeleze wajibu wake kikamilifu na independently bila kuyahusisha na siasa kwa misingi ya haki, sheria na katiba...
Mfano, tunategemea nini kama Rais Magufuli huyu aneteua mkuu wa Majeshi ama IGP ama RPC ama OCD kada mtiifu wa chama kilicho madarakani?
Hakuna " positive" cha kutegemea bali ni taabu tu na majanga kama haya...!!!
Umetumia muda na kalamu kumimina mawazo yako hapa, muda unatoa ushahidi usio na shaka kuhusu tukio la Mbowe. Na kadri muda utakapo endelea ni wajinga tuu ndio hawato weza kujua ukweli na uwongo uliosemwa kuhusu tukio hili. Weka akiba ya maneno.
Nkurunzinza amekufa huku!" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.
Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
Ogopa sana kifutu,SUMU YAKE KALI!" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.
Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
The biggest benefit from our exchanges, I read how you think and present your literacy writings.Unasema;
"....Ni wajinga tu ambao hawatoweza kuujua "UKWELI na UONGO" uliosemwa juu ya tukio hili..."
Hujaeleweka, sijakuelewa hapo
å Je, sio kuwa kila mtu anataka kujua ukweli juu ya tukio hili?
å Sio hili tu mpaka la Tundu Lissu hapo mwaka 2017...
## Sasa iweje iwe ni ujinga mtu kutaka kuujua ukweli?
Ndugai anashangilia Mbowe kupigwa hata atakapo pata madhara yeye kuna watu watashangilia. Kwa hiyo ni vizuri anashangilia mapema akiwa fit maana kuna watu wanamsubiri waje washangilie." Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.
Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
Cha msingi watihumiwa wakamatwe.
[/QUOTE sasa konyagi itakamatwa vp maana tunaambiwa Mwamba alikula Bapa ile mbaya
Katika maofisa wa polisi watakaofungwa jela Murroto yumo
" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.
Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
Hakuna taarifa nimeisoma nikiumia Kama hii ya Mbowe leo, kuna jitu lioga Kama jiwe ?
Cha msingi watihumiwa wakamatwe.
Very low!Mimi nina mashaka Inawezekana hizi ni njama ndani ya chama kumpoteza Mbowe ili kuwapokonya watu wa Kilimanjaro Chama chao.