Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Mimi nina mashaka Inawezekana hizi ni njama ndani ya chama kumpoteza Mbowe ili kuwapokonya watu wa Kilimanjaro Chama chao
 
Mashetani na maibilisi ya uovu sasa yanahangaika baada ya kutekeleza udhalimu wao!!

Kwenye nyumba za ibada na mitaani tunakoishi nayo yanaonekana ni binadamu kumbe ni mashetani!
 
Police wako wachache hayo ya kusema mtashughulikia watu na kuwajaza hofu hayana maana hamuoni mfano wa maandamano ya marekani ambapo kuna wakati ilibidi polisi hata kupiga magoti na kujoin na Protestors pamoja na Rais kutoa order ila still haikuweza kuwa implemented mana utaua wangapi sasa kama watu wakiamua? NGUVU YA UMMA sio mchezo mambo ya vitisho itafika threshold na people will get tired, mbu anaputua kwenye Kende zako huwezi kupiga kofi kubwa hapo ndio unaona sio kila tatizo linahitaji nguvu kusolve ila busara sioni sababu hata ya RPC kuwahusisha wafuasi wa chadema
 
Leo chadema wamethibitisha kua muda wote walikua Wana wahadaa watu kua Serikal ilitoa ulinzi na camera eneo la tukio ambalo alishambuliwa Tundulisu

Leo katibu mkuu wa chadema John Mnyika amewambia waandish wa habari kua Baada ya tukio la shambulio la Tundulisu Dodoma serekal na Bunge vilikaa na kupanga ulinzi kwenye majengo yote ya serekal na kufunga CCTV camera na kuahid kuhakikisha ulinzi wa viongozi Jijin Dodoma. Na kuhoji Kwanini Serikal ili ahid ulinzi wa viongozi lakini Mh Mbowe kavamiwa Tena eneo la serekal?

My point Kama chadema wanajua kabisa kua kipind anashambuliwa Tundulisu hapakua na Ulinzi
Kwann wanailaum Serikal na kigezo Cha kutokua na security camera ndio ushaid kwao? Je tuseme chadema tukio walilipanga wao kwa udhaifu wa kutokua na Camera semehem ambayo ilistai kua na camera?

Kama mmnajua wakat anashambuliwa Tundulisu hapakua na mlinzi Kwann mnasema ulinzi ulitolewa?

Inaonekana hili tukio limekufurahisha sana kiasi cha kuongeza ugali kwenye familia yako.
 
Tundu lissu mwenyewe hakutaka uchunguzi ufanyike mana alikimbia yeye pamoja na shahidi namba moja ( dereva ) ulitaka Askari waanzie wapi uchunguzi kama mashahidi wote hawataki kutoa ushurikiano?

Wangekufa kusingekuwa na uchaguzi?
 
Wewe hangaika tu utakipata unacho kitafuta ,kuwa mkini tu kuna vitu vyenye ncha kali vime simama sawa sawa.
 
Leo chadema wamethibitisha kua muda wote walikua Wana wahadaa watu kua Serikal ilitoa ulinzi na camera eneo la tukio ambalo alishambuliwa Tundulisu

Leo katibu mkuu wa chadema John Mnyika amewambia waandish wa habari kua Baada ya tukio la shambulio la Tundulisu Dodoma serekal na Bunge vilikaa na kupanga ulinzi kwenye majengo yote ya serekal na kufunga CCTV camera na kuahid kuhakikisha ulinzi wa viongozi Jijin Dodoma. Na kuhoji Kwanini Serikal ili ahid ulinzi wa viongozi lakini Mh Mbowe kavamiwa Tena eneo la serekal?

My point Kama chadema wanajua kabisa kua kipind anashambuliwa Tundulisu hapakua na Ulinzi
Kwann wanailaum Serikal na kigezo Cha kutokua na security camera ndio ushaid kwao? Je tuseme chadema tukio walilipanga wao kwa udhaifu wa kutokua na Camera semehem ambayo ilistai kua na camera?

Kama mmnajua wakat anashambuliwa Tundulisu hapakua na mlinzi Kwann mnasema ulinzi ulitolewa?


Punguza porojo
Usiipindishe taarifa
 
Jaribu kuandamana kwa kuamini polisi ni wachache utapunguziwa mkono ibaki na mmoja
Police wako wachache hayo ya kusema mtashughulikia watu na kuwajaza hofu hayana maana hamuoni mfano wa maandamano ya marekani ambapo kuna wakati ilibidi polisi hata kupiga magoti na kujoin na Protestors pamoja na Rais kutoa order ila still haikuweza kuwa implemented mana utaua wangapi sasa kama watu wakiamua? NGUVU YA UMMA sio mchezo mambo ya vitisho itafika threshold na people will get tired, mbu anaputua kwenye Kende zako huwezi kupiga kofi kubwa hapo ndio unaona sio kila tatizo linahitaji nguvu kusolve ila busara sioni sababu hata ya RPC kuwahusisha wafuasi wa chadema
 
Haiwezi kuingia akili kuwa hata kipindi Cha alipoumizwa tundu na sasa kaumizwa mbowe hakuna ulinzi
 
Mashetani na maibilisi ya uovu sasa yanahangaika baada ya kutekeleza udhalimu wao!!

Kwenye nyumba za ibada na mitaani tunakoishi nayo yanaonekana ni binadamu kumbe ni mashetani!
Shetani lingine bila aibu liliingia madhabauni na kumsingizia Mh. Makonda!
 
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, Gilles Muroto amesema leo alfajiri walipokea taarifa kutoka kwa Mbunge wa Viti Maaalum, akiwa na Dereva wa Mbowe, Wilhad Urassa (34) kuwa Mwenyekiti huyo wa CHADEMA wakati akipandisha ngazi kuelekea ndani kwake inadaiwa alishambuliwa na watu 3

Kamanda Muroto amesema “Inadaiwa watu hao 3 waliokuwa wamevaa jackets (makoti) walimshambulia kwa kumkanyaga na kumpiga mateke hasa mguu wake wa kulia. Kutokana na taarifa hizo majeruhi alipelekwa katika Hospitali ya Ntyuka anakopatiwa matibabu na hali yake inaendelea vizuri.”

Ameeleza, “Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi bila kuacha chochote ili kupata ukweli na usahihi wa tukio hilo. Tukio hili lisitumike kisiasa au kwa njia yoyote ya kujiongezea umaarufu kwa mtu au watu na ni marufuku kuingilia uchunguzi huo.”

Amesisitiza kuwa eneo lile lina Walinzi na Majirani watafanya uchunguzi kujua ukweli wa tukio. Pia, amewaonya Wafuasi wa CHADEMA wanaohamasishana kukutana kwani Jeshi la Polisi lipo macho na yeyote anayefanya mikusanyiko isiyo halali atashungulikiwa kweli kweli

Aidha, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Polisi wanapofanya Uchunguzi hawapaswi kufunga milango ya uchunguzi na kuliita hili ni tukio la kawaida kwasababu viashiria vinaonesha tukio hili lina muelekeo wa kisiasa

Mnyika amesema kati ya watu waliokuwa wanamshambulia Mbowe wapo waliosikika wakisema “Wewe unaisumbua sana Serikali, tunakushughulikia tuone kampeni utafanyaje.” Ametoa wito kwa Polisi na vyombo vya Usalama kuchunguza tukio hilo kwa mapana ili waliohusika wachukuliwe hatua

Amesema siku chache kabla ya Mbowe kushambuliwa, katika mitandao ya Kijamii kulisambaa video ya mtu anayejiita Mchungaji wa Kitaifa, Mchungaji Mashimo akisema “Kuna tukio litatokea mbele kwa Kiongozi wa Upinzani kushambuliwa” na kati ya majina aliyoyataja, jina Freeman Mbowe lilikuwepo. Ametoa wito kwa Polisi wamkamate ili aleeze hizo kauli zake.
Eneo ni lilelile la Area D wakati ni uleule wa kikao cha Bunge! Je, dereva wa Mbowe hahitajiki kuhojiwa? Na Mbowe naye hahitajiki kupeleka malalamiko polisi?
 
Leo wakati Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika akiongea amesema kuwa serekal inatakiwa iwafanyie uchunguzi baadhi ya watu ambao tayari walikua wameshatoa kauli mbaya juu ya kiongozi wao Mbowe kwa kudai kua maneno waliyo ongea yanaendana na tukio.

Pia, Chadema wamesema Polisi TANZANIA wamkamate Mashimo ili wamuhoji sababu anaweza kusaidia katika uchunguz. Hili ni sawa ila hili apa linafikirisha.

Ameweza kumtaja Mchungaji Mashimo ili akamatwe ahojiwe Kama kutoa ushirikiano kwa Polis Ila kakataa kuwataja aliokuwa nao Mbowe ili Polisi isiwahoji, sasa niwaulize chadema mnataka polisi ifanikishe au ifeli?

Kwanini waliokuwa pamoja na Mbowe muwafiche Kuna Sir gani na je wakat mwenyekit Mbowe anashambuliwa wao walikua wanafanya Nini?

Kwani hamuoni kuna umuhimu wa kuwaleta au kuwataja wale waliokuwa na MBOWE ili wahojiwe, waweza kulisaidia jeshi la Polisi?

Kwanini Mashimo ametajwa na hakuwepo eneo la tukio ila waliokuwepo wamefichwa? Mkiulizwa sababu et mnafanya uchunguzi. Uchunguzi gan huo? Hamtak kuonyesha ushirikiano kwa Polis wakiacha kufatilia Mambo yenu mnasema wanatumika, why?

 
Mashetani na maibilisi ya uovu sasa yanahangaika baada ya kutekeleza udhalimu wao!!

Kwenye nyumba za ibada na mitaani tunakoishi nayo yanaonekana ni binadamu kumbe ni mashetani!
Hawata pata furaha kamwe
 
Pia, amewaonya Wafuasi wa CHADEMA wanaohamasishana kukutana kwani Jeshi la Polisi lipo macho na yeyote anayefanya mikusanyiko isiyo halali atashungulikiwa kweli kweli
Kwa Policcm kuzuia mikusanyiko ya CHADEMA ni muhimu zaidi kwao kuliko kupambana na majambazi/wauwaji.
Nadhani sasa inatosha.AMEN
 
Hakuna shaka yoyote katika hili kwamba waliohusika ni watu wasiojulikana. Hawa watu walimsubiri katika ngazi inayoelekea nyumbani kwake, nyumba ambazo zipo ndani ya Uzio na getini kuna walinzi, nyumba za viongozi wakubwa, hakuna kibaka wala jambazi mwenye ujasiri huo.
 
Pia, amewaonya Wafuasi wa CHADEMA wanaohamasishana kukutana kwani Jeshi la Polisi lipo macho na yeyote anayefanya mikusanyiko isiyo halali atashungulikiwa kweli kweli
Kwa Policcm kuzuia mikusanyiko ya CHADEMA ni muhimu zaidi kwao kuliko kupambana na majambazi/wauwaji.
Nadhani sasa inatosha.AMEN
 
Back
Top Bottom