"Maanake inasemekana Jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali"
Hii sentensi ilikuwa na haja gani yeye kuiongea Kama hana uhakika?
Kwani Ndugai alikuwa kaombwa kutoa maelezo kwenye swala hili?" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.
Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
Chadema lazima wahakikishe Mbowe anatibiwa kwa gharama yoyote, hata kama ni kukausha account za Chama. Haiwezekani Bungeni zitolewe taarifa za eti "alianguka akitoka kulewa" mara "aliendaje kituo cha afya badala ya Hospitali" aaah, wanaongea sana hawa watu!!Naliangalia jambo hili kwa mtizamo tofauti.Nahisi na narudia kuwa nahisi ya kuwa huu unaweza ukawa mchezo wa kuumbuana.Nahisi ya kuwa udhaifu wa kibinadamu umetumika ili kumuumbua au kumdhalilisha Mbowe.Aidha Mbowe asizungumze lolote kwani akizungumza maelezo yatakayofuata yatamvua nguo.Nahisi tu na naendelea kuhisi.
Na ndicho ninachosema.Kuna dalili ya kuumbuana ingawa wanasahau ya kuwa hakuna uhalai wa kumpiga hata mgoni wako sembuse mlevi!Chadema lazima wahakikishe Mbowe anatibiwa kwa gharama yoyote, hata kama ni kukausha account za Chama. Haiwezekani Bungeni zitolewe taarifa za eti "alianguka akitoka kulewa" mara "aliendaje kituo cha afya badala ya Hospitali" aaah, wanaongea sana hawa watu!!
Kumbe hata wwe ushamjua mhusika sisi tupo gizani badowewe unayejificha kwenye keyboard kwa kusema kitu ambcho huna ushahidi nacho, siyo Muoga! hebu fanya ujasiri uende hadharani utaje huyo unayemtuhumu kwa jina lake halisi kuwa ndo kahusika ili tukuone we ni jasiri zaidi yake!
Kwani Ndugai alikuwa kaombwa kutoa maelezo kwenye swala hili?
Mbona anazidi kujishusha daraja?
Mbona mimi sijaona tatizo hapo
Ati yamepangwa na ikulu,aise,umeandika utumbo sana,anyway, TL ni dikteta ambaye akiishika nchi,tutaisha,na jamaa ukimwangalia,ni kama kichaa hivi.Scenarios za mashambulio yote mawili ( Tuñdu Lissu na hili la Mbowe Jana) yanafanana....
Obvious, wapangaji na watekelezaji ni walewale. Eneo la shambulizi ni lilelile. Walengwa ni wa chama kilekile walichoahidi kuwa ifikapo 2020 lazima kiwe kimefutwa...
Tofauti yake ni silaha tu zilizotumika. Tundu Lissu ni SMG na AK47 na za kuulia tembo. Huyu (Mbowe) naona walitumia na nondo na mipini kuvunjia nyonga na miguu....
Ishu ya mtu kurudi kwake saa 6 usiku haiwezi kuwa ajenda ukizingatia yeye ni kiongozi Mkubwa mwenye mambo mengi ya kushughulikia...
Mimi nina uhakika, matukio haya yanaratubiwa na viongozi wakubwa ndani ya serikali na CCM kwa baraka za Ikulu...
Tusitegemee taarufa sensible and meaningful toka polisi...
Na hii haina maana kuwa polisi nao watakuwa wanahusika direct kama Jeshi la polisi...
Ni kwa sababu wanaowalipa mshahara ndiyo wahusika na ndiyo wao wataandaa (na basically imeshaandaliwa) na polisi wao wataisoma tu public, na ndipo kila mtu atakapo shangaa huu mchezo unavyochezwa....
Hawa polisi wetu uwezo wa kufanya kazi yao "professionally" wanao tena ndani ya muda mfupi sana. Tatizo wameingiliwa na siasa za wanasiasa wenye mamlaka ya kuamua hata hatima yao hawa polisi....
Hawa ni watu wa kupokea na kutii amri tu ama sema "order", hawana namna, tusiwalaumu....
Na ndiyo maana ya Lissu Jana kusema, tukimpa ridhaa ya kuingoza JMT, moja ya shida atakayoishughulikia ni kufanya mageuzi makubwa (big reforms) kwenye miundo ya majesho yetu ili kuyafanya yatekeleze wajibu independently kwa misingi ya haki, sheria na katiba...
Hivi tunategemea nini kuteua mkuu wa Majeshi ama IGP ama RPC ama OCD kanda mtiifu wa chama kilicho madarakani?
Ni majanga kama haya...!!!
[emoji48][emoji34][emoji35]VIDEO: NDUGAI DHIDI YA SHAMBULIO LA LISSU.
Ati yamepangwa na ikulu,aise,umeandika utumbo sana,anyway, TL ni dikteta ambaye akiishika nchi,tutaisha,na jamaa ukimwangalia,ni kama kichaa hivi.
Kwa hiyo kwa kuwa Lissu yupo Ubelgiji haiwezekani kufanyika uchunguzi ?Procedures za tukio la mtu akiwa amekufa na akiwa hai ni vitu viwili tofauti na huwezi ku-apply kwa aliyekufa kwa mtu aliyehai na vice versa ... this is not rocket science knowledge
Ukitaka kujua ni kiasi gani alivyo jasiri, basi wape uwanja sawa hao wawili wapambane bila ya hayo mabunduki na matakataka mengine yaliyonyuma ya huyo unayemwona wewe kuwa ni jasiri.wewe unayejificha kwenye keyboard kwa kusema kitu ambcho huna ushahidi nacho, siyo Muoga! hebu fanya ujasiri uende hadharani utaje huyo unayemtuhumu kwa jina lake halisi kuwa ndo kahusika ili tukuone we ni jasiri zaidi yake!
Lijualikali kasemaje ?Kwa kauli ya Mh Lijua likali, tarifa hizi zinatutatanisha aisee,