Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

wewe unayejificha kwenye keyboard kwa kusema kitu ambcho huna ushahidi nacho, siyo Muoga! hebu fanya ujasiri uende hadharani utaje huyo unayemtuhumu kwa jina lake halisi kuwa ndo kahusika ili tukuone we ni jasiri zaidi yake!
we kenge acha kutisha watu
 
Chakushangaza wabunge umeshawapa airtime kuzungumza against Mbowe hukohuko ambako wewe ni kiongozi
 
Kwa jinsi hali ilivyo Hakuna namna tena viongozi ambao usalama Upo mashakan kuna haja ya kuwa na walinzo binafsi
 
Huyo spika ni moja ya wapambe tu wa tukio, Muhusika mkuu mbona anajulikana.

Uzuri hapa duniani huwa hatuishi milele na hivi nyeo vya duniani huwa ni vya kupita na Mwenyezi Mungu huwa hadhihakiwi!!
 
Hakuna taarifa nimeisoma nikiumia Kama hii ya Mbowe leo, kuna jitu lioga Kama jiwe ?

Wewe ni moja ya wake zake nini? Pole sana
Kama jana ulikuwa nae kwenye pombe kisha ukamkacha badala ya kumfikisha home shauri yako,
nasikia alijipongeza sijui kwa raha au kwa kutuliza mawazo maana kamanda katangaza apitishwe eti ndo anaweza kupamnana na JPM ,

wakati anapanda ngazi kaporomoka, kulingana na kilevi akawa anaona watu wanamkanyaga, kumbe ni njozi tu.
Mpeni pole apone halaka.🤣🤣🤣
 
Kwa jinsi hali ilivyo Hakuna namna tena viongozi ambao usalama Upo mashakan kuna haja ya kuwa na walinzo binafsi
Walinzi binafsi ni wazo zuri ila kila mtu akiwa na ulinzi- huko ndiko tumefikia watanzania?

Haya mambo ni mageni sana katika nchi yetu!!
 
viongozi ambao usalama Upo mashakan kuna haja ya kuwa na walinzo binafsi

Mbowe anao walinzi binafsi siku nyingi tu, swali muhimu walikuwa wapi wakati bosi wao anashambuliwa?!
 
Huo ni USHUHUDA kuwa matakataka yao yameshindwa kumchafua Mbowe wala kuiua CHADEMA.
Ndio maana sasa 'wagonjwa' waliobakizwa bungeni kwa kazi hiyo, wako busy kushirikiana na SPIKA dhaifu kuokoteza vineno.
We shall overcome. Amen
 
Huu mpango utakuwa umesukwa ndani ya Chadema,kutafta sympathy kwenye uchaguzi,ila wajinga utasikia wanaropoka tu.
Wewe kama siyo kiwele invata wa facebook ni kundi moja lake wanaotafuta teuzi achana na ukada kwenye maisha ya mtu
 
Mi sikuwepo wakati wa Ben kama ilikua hivyo kwanini hawajamkamata kubenea? ndo maana nimesema waanze na huyoo mashimo
 
Kwani Ndugai alikuwa kaombwa kutoa maelezo kwenye swala hili?
Mbona anazidi kujishusha daraja?
Hii ni kazi ya wahuni ambao wanadhani wanaihami serikali ya awamu ya tano kwa maslahi yao binafsi, kumbe wanaichafua na kuibomoa vibaya sana. Serikali hii ni ya ccm; siyo ya mtu mmoja wala kikundi cha watu. Hiki ni chama ambacho Watanzania wengi wanajua siyo cha kihuni. Ila tusubiri kuona kama ccm ya sasa imeharibikiwa kiasi hiki.
 
Inasikitisha sana
 
Huyu Muroto si ndiye aliyeshindwa kueleza tukio la Sheikh hadi leo
Si huyu ambaye hajui nani alimshambulia TL
Si huyu asiyejua Camera zipo wapi

Leo anafanya uchunguzi halafu anahitimisha kuwa siyo tukio la kisiasa hata uchunguzi haujaanza!!!

Hivi kwanini hakai kimya? Kila anapoongea Kamanda Muroto, kinachofuata ni kutia shaka na kuipaka serikali matope

Pascal Mayalla JokaKuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…