Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Chadema sisa imewashinda sasa wanatafuta visingizio,
Eti mwenyekiti ashushwe kisha dereva asijue kama bosi wake ameingia ndani salama?
Na kama derva aliondoka mapema kabla mbowe hajaingia ndani basi huyo deleva anajua kinachoendelea.
Unamfahamu UVCCM anaitwa Heri Denis James? Ushawahi kumsikia kauli zake? Kama hujawahi kumsikia, mcheki youtube. Ndo utaamini kwamba CCM inahitaji mabadiliko ya ndani kwanza kabla ya kuwanyooshea wapinzani kidole
 
""Wewe unaisumbua sana Serikali, tunakushughulikia tuone kampeni utafanyaje.""
nimenukuuu kutoka juu hapo
 
[emoji23][emoji1787][emoji2960]
a9868a767d072d04683d769372a2934e.jpg
 
Utashangaa hata Mnyika mwenyewe anatembea kaning'iniza kengele tu hadi kesho pamoja na matukio yote haya.

Nilifikiri tayari wamelipa uzito suala la usalama wao like ulinzi binafsi 24hr na CCTV cameras zao binafsi kwenye makazi yao.

Au wanasubiri mpaka waanze kukatwa vichwa ama kuliwa boga ndo wajifunze?
 
Unamfahamu UVCCM anaitwa Heri Denis James? Ushawahi kumsikia kauli zake? Kama hujawahi kumsikia, mcheki youtube. Ndo utaamini kwamba CCM inahitaji mabadiliko ya ndani kwanza kabla ya kuwanyooshea wapinzani kidole

Eleza yanayohusu maswali yangu, hayo ya UVCCM, leta uzi wake
Tunataka majibu ya kipigo cha mbowe,

Taarifa ya katibu mkuu haielezei alikuwa anatoka wapi muda huo usiku wala alikuwa na nani, sasa kama chama hakitoi taarifa tosherezi ina maana hayo mashambulizi ya mbowe yalikuwa ya kihuni tu
Labda amebamizwa na mume wa mtu.
 
Wasiojulikana wenyewe ni hao unaowaona na comments za ajabu ajabu zisizokuwa na kichwa chembe miguu, wala chembe moja ya ubinadamu.

Tunawashukuruni kwa kujitambulisha.

Hata mkikaa kimya sasa mmeshafahamika.
 
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, Gilles Muroto amesema leo alfajiri walipokea taarifa kutoka kwa Mbunge wa Viti Maaalum, akiwa na Dereva wa Mbowe, Wilhad Urassa (34) kuwa Mwenyekiti huyo wa CHADEMA wakati akipandisha ngazi kuelekea ndani kwake inadaiwa alishambuliwa na watu 3

Kamanda Muroto amesema “Inadaiwa watu hao 3 waliokuwa wamevaa jackets (makoti) walimshambulia kwa kumkanyaga na kumpiga mateke hasa mguu wake wa kulia. Kutokana na taarifa hizo majeruhi alipelekwa katika Hospitali ya Ntyuka anakopatiwa matibabu na hali yake inaendelea vizuri.”

Ameeleza, “Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi bila kuacha chochote ili kupata ukweli na usahihi wa tukio hilo. Tukio hili lisitumike kisiasa au kwa njia yoyote ya kujiongezea umaarufu kwa mtu au watu na ni marufuku kuingilia uchunguzi huo.”

Amesisitiza kuwa eneo lile lina Walinzi na Majirani watafanya uchunguzi kujua ukweli wa tukio. Pia, amewaonya Wafuasi wa CHADEMA wanaohamasishana kukutana kwani Jeshi la Polisi lipo macho na yeyote anayefanya mikusanyiko isiyo halali atashungulikiwa kweli kweli

Aidha, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Polisi wanapofanya Uchunguzi hawapaswi kufunga milango ya uchunguzi na kuliita hili ni tukio la kawaida kwasababu viashiria vinaonesha tukio hili lina muelekeo wa kisiasa

Mnyika amesema kati ya watu waliokuwa wanamshambulia Mbowe wapo waliosikika wakisema “Wewe unaisumbua sana Serikali, tunakushughulikia tuone kampeni utafanyaje.” Ametoa wito kwa Polisi na vyombo vya Usalama kuchunguza tukio hilo kwa mapana ili waliohusika wachukuliwe hatua

Amesema siku chache kabla ya Mbowe kushambuliwa, katika mitandao ya Kijamii kulisambaa video ya mtu anayejiita Mchungaji wa Kitaifa, Mchungaji Mashimo akisema “Kuna tukio litatokea mbele kwa Kiongozi wa Upinzani kushambuliwa” na kati ya majina aliyoyataja, jina Freeman Mbowe lilikuwepo. Ametoa wito kwa Polisi wamkamate ili aleeze hizo kauli zake.
Sijawahi kuitamani siasa nasikia kweli kuna hela hapana acha niendelee kuwashabikia porojo za nugaz na kanara naona kwangu ni burudani tosha.

Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
 
Kapigwa miguuni tu yaani hata usoni hawajamgusa kuogopa kumharibia sura.hawa ni vibaka tu.
 
Baada ya Lisu kuongea CCM WALICHUKIA SANA ,wakapanga kumshambulia Mbowe ili habari za Lisu zisipate headline ...
Magufuli na chama chake ni kama kina laana ya wazee.
 
Kamanda wa Polisi Mkoani Dodoma, Gilles Muroto amesema leo alfajiri walipokea taarifa kutoka kwa Mbunge wa Viti Maaalum, akiwa na Dereva wa Mbowe, Wilhad Urassa (34) kuwa Mwenyekiti huyo wa CHADEMA wakati akipandisha ngazi kuelekea ndani kwake inadaiwa alishambuliwa na watu 3

Kamanda Muroto amesema “Inadaiwa watu hao 3 waliokuwa wamevaa jackets (makoti) walimshambulia kwa kumkanyaga na kumpiga mateke hasa mguu wake wa kulia. Kutokana na taarifa hizo majeruhi alipelekwa katika Hospitali ya Ntyuka anakopatiwa matibabu na hali yake inaendelea vizuri.”

Ameeleza, “Jeshi la Polisi linafanya uchunguzi bila kuacha chochote ili kupata ukweli na usahihi wa tukio hilo. Tukio hili lisitumike kisiasa au kwa njia yoyote ya kujiongezea umaarufu kwa mtu au watu na ni marufuku kuingilia uchunguzi huo.”

Amesisitiza kuwa eneo lile lina Walinzi na Majirani watafanya uchunguzi kujua ukweli wa tukio. Pia, amewaonya Wafuasi wa CHADEMA wanaohamasishana kukutana kwani Jeshi la Polisi lipo macho na yeyote anayefanya mikusanyiko isiyo halali atashungulikiwa kweli kweli

Aidha, Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema Polisi wanapofanya Uchunguzi hawapaswi kufunga milango ya uchunguzi na kuliita hili ni tukio la kawaida kwasababu viashiria vinaonesha tukio hili lina muelekeo wa kisiasa

Mnyika amesema kati ya watu waliokuwa wanamshambulia Mbowe wapo waliosikika wakisema “Wewe unaisumbua sana Serikali, tunakushughulikia tuone kampeni utafanyaje.” Ametoa wito kwa Polisi na vyombo vya Usalama kuchunguza tukio hilo kwa mapana ili waliohusika wachukuliwe hatua

Amesema siku chache kabla ya Mbowe kushambuliwa, katika mitandao ya Kijamii kulisambaa video ya mtu anayejiita Mchungaji wa Kitaifa, Mchungaji Mashimo akisema “Kuna tukio litatokea mbele kwa Kiongozi wa Upinzani kushambuliwa” na kati ya majina aliyoyataja, jina Freeman Mbowe lilikuwepo. Ametoa wito kwa Polisi wamkamate ili aleeze hizo kauli zake.
SASA NDIO MNATENGEZA UPINZANI WA KWELI .
 
Ushangae wachunguzi ndio haohao washambuliaji. Hamna kitu hapo ni sinema nyingine akina Mroto wameanzisha.
 
Nakumbuka Kule South, mambo ya aina hii yalipozidi, na wao ANC waligeuz mwenendo
Sasa hapa TZ sijui kwa nini hiki chama cha watu wasiojulikana kinaharakisha mtindo huu mbaya.

THE TURN TO SABOTAGE BY
THE CONGRESSMOVEMENT IN
SOUTH AFRICA*

Before the 1960s, the African National Congress (ANC) and its
allies were officially committed to the use of exclusively nonviolent
means in the struggle against apartheid in South Africa.
But in December 1961 a new organization, Umkhonto we Sizwe
(‘Spear of the Nation’), announced its launch with a wave of
bombings of unoccupied government installations. In the
manifesto they released at the time of these first attacks, the
commanders of the new body declared that ‘The government
policy of force, repression and violence will no longer be met
with non-violent resistance only!’ Though Umkhonto (MK)
described itself as a ‘new, independent body’, it had been
founded by Nelson Mandela of the ANC and Joe Slovo of the
South African Communist Party (SACP), with the authorization
of both bodies. Ten months after the first bombings, the ANC’s
national conference formally recognizedMKas the ‘military wing
of our struggle’.1
Why did leaders of the ANC and its allies in the broader
Congress movement 2 abandon their exclusive reliance on
nonviolent means in the struggle against apartheid?
 
Back
Top Bottom