Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Kushambuliwa kwa Mbowe: Polisi wasema wanaendelea na Uchunguzi, wapiga marufuku tukio hilo kufanywa la kisiasa. CHADEMA yamuhusisha Mchungaji Mashimo

Nakumbuka Kule South, mambo ya aina hii yalipozidi, na wao ANC waligeuz mwenendo
Sasa hapa TZ sijui kwa nini hiki chama cha watu wasiojulikana kinaharakisha mtindo huu mbaya.

THE TURN TO SABOTAGE BY
THE CONGRESSMOVEMENT IN
SOUTH AFRICA*

Before the 1960s, the African National Congress (ANC) and its
allies were officially committed to the use of exclusively nonviolent
means in the struggle against apartheid in South Africa.
But in December 1961 a new organization, Umkhonto we Sizwe
(‘Spear of the Nation’), announced its launch with a wave of
bombings of unoccupied government installations. In the
manifesto they released at the time of these first attacks, the
commanders of the new body declared that ‘The government
policy of force, repression and violence will no longer be met
with non-violent resistance only!’ Though Umkhonto (MK)
described itself as a ‘new, independent body’, it had been
founded by Nelson Mandela of the ANC and Joe Slovo of the
South African Communist Party (SACP), with the authorization
of both bodies. Ten months after the first bombings, the ANC’s
national conference formally recognizedMKas the ‘military wing
of our struggle’.1
Why did leaders of the ANC and its allies in the broader
Congress movement 2 abandon their exclusive reliance on
nonviolent means in the struggle against apartheid?
 
Nakumbuka Kule South, mambo ya aina hii yalipozidi, na wao ANC waligeuz mwenendo
Sasa hapa TZ sijui kwa nini hiki chama cha watu wasiojulikana kinaharakisha mtindo huu mbaya.

THE TURN TO SABOTAGE BY
THE CONGRESSMOVEMENT IN
SOUTH AFRICA*

Before the 1960s, the African National Congress (ANC) and its
allies were officially committed to the use of exclusively nonviolent
means in the struggle against apartheid in South Africa.
But in December 1961 a new organization, Umkhonto we Sizwe
(‘Spear of the Nation’), announced its launch with a wave of
bombings of unoccupied government installations. In the
manifesto they released at the time of these first attacks, the
commanders of the new body declared that ‘The government
policy of force, repression and violence will no longer be met
with non-violent resistance only!’ Though Umkhonto (MK)
described itself as a ‘new, independent body’, it had been
founded by Nelson Mandela of the ANC and Joe Slovo of the
South African Communist Party (SACP), with the authorization
of both bodies. Ten months after the first bombings, the ANC’s
national conference formally recognizedMKas the ‘military wing
of our struggle’.1
Why did leaders of the ANC and its allies in the broader
Congress movement 2 abandon their exclusive reliance on
nonviolent means in the struggle against apartheid?
KWA TZ BADO MAPEMA SANA MKUU
 
What if Lissu angekufa, ina maana uchunguzi usingefanyika ?

Muwe na aibu mnapotetea ujinga wa serikali yenu
Procedures za tukio la mtu akiwa amekufa na akiwa hai ni vitu viwili tofauti na huwezi ku-apply kwa aliyekufa kwa mtu aliyehai na vice versa ... this is not rocket science knowledge
 
Mashimo akamatwe na wamzibue mashimo hayo waone kilichomo maana kelele si za bure
 
Mimi nina mashaka Inawezekana hizi ni njama ndani ya chama kumpoteza Mbowe ili kuwapokonya watu wa Kilimanjaro Chama chao.
We jamaa sisi wa kilimanjaro unatuonea sana donge yaani ulitamani tuwe magoigoi kama wewe. Ila fahamu sisi sio magoigoi kama wewe mlamba viatu wa lumumba.
 
" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.

Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
 
" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.

Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
"Maanake inasemekana Jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali"
Hii sentensi ilikuwa na haja gani yeye kuiongea Kama hana uhakika?
 
What goes around comes around, kuna siku inakuja watawala watatawaliwa kwa fikra zao, hakuna marefu yasiyokuwa na mwisho, kama si wao basi kizazi Chao hakiwezi kukwepa malipo ya udhalimu huu.
 
wewe unayejificha kwenye keyboard kwa kusema kitu ambcho huna ushahidi nacho, siyo Muoga! hebu fanya ujasiri uende hadharani utaje huyo unayemtuhumu kwa jina lake halisi kuwa ndo kahusika ili tukuone we ni jasiri zaidi yake!
Hakuna taarifa nimeisoma nikiumia Kama hii ya Mbowe leo, kuna jitu lioga Kama jiwe ?
 
" Sasa jambo lenyewe (Mbowe kuvamiwa) lina hadithi nyingi ya jinsi lilivyotokea maanake inasemekana jana mpaka saa sita usiku alikuwa mahali, inaniwia ugumu kusema chochote kwa hatua hii lakini...eeh! niseme tu kwamba msichukulie kama watu wanavyoongea, watakaosema hali halisi ni vyombo vya usalama na niwaombe vyombo hivyo vitoe taarifa mapema iwezekanavyo, waeleze ilitokea nini isiwe ni kazi yangu...wanavyozidi kuchelewa hadithi zinakuwa nyingi "-Spika Job Ndugai.

Siku zote Mwizi huwa na Kiherehere kingi tu cha Kujitetea na Unafiki uliokomaa kwa waliomshtukia au wale ambao wanataka Kumuadhibu akome.
Naliangalia jambo hili kwa mtizamo tofauti.Nahisi na narudia kuwa nahisi ya kuwa huu unaweza ukawa mchezo wa kuumbuana.Nahisi ya kuwa udhaifu wa kibinadamu umetumika ili kumuumbua au kumdhalilisha Mbowe.Aidha Mbowe asizungumze lolote kwani akizungumza maelezo yatakayofuata yatamvua nguo.Nahisi tu na naendelea kuhisi.
 
Back
Top Bottom