sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,057
- 719
Hahaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna asojulikana,wanajulikana tu sema hawajaamua kuwatafuta.Kwani " wanajulikana?"
Mwigulu hajawagomea Chadema kwa sababu mbili; kwanza, hayo mamlaka ya kutoa maamuzi hana...ayatoe wapi? Pili, hata kama angekuwa nayo, hawagomei Chadema, anawagomea raia wapenda haki wa nchi wanaotaka kuona haki inatendeka. Labda nimuulize mtoa mada je katika hii katuni, nafasi ya Mwigulu iko wapi?
![]()
Jana tu Naibu waziri Masauni alikuwa Rufiji akikagua eneo itakapojengwa ofisi ya kanda maalumu ys kipolisi. Watuhumiwa wote wameshatiwa mbaroni mkuu!Hivi Kibiti kuna watuhumiwa wanashiliwa na polisi wakisubiri upelellezi kukamilika ili kesi zianze? Nipe updates mkuu
It is like asking him to take a razor blade and cut his own throat. That will never happen!!!Exactly.
How can you allow one of the suspects to do the investigation?
Hamorapa alivuruga ushahidi kamera zote zilimuelekea yeye wakamsahau Mr Kapelo!Hivi yule aliyemnyooshea bastola jamaa yao alishakamatwa?
Mkuu " wanajulikana " kesi zao ziko mahakamani!Hakuna asojulikana,wanajulikana tu sema hawajaamua kuwatafuta.
Walivyo wa term kuwa "wasiojulikana" ndo wanaongeza [emoji91] kwenye mafuta
Kesi kama hizo,kupeleka mahakaman ni UTASH wa mhusika (Jamhuri)Mkuu " wanajulikana " kesi zao ziko mahakamani!
Hata huyu mhe . anawafahamu ila anatetea tumbo.Inaelekea waliomdhuru Lissu wanafahamika na hakuna wa kuwachukulia hatua.