Kushambuliwa Tundu Lissu: Mwigulu aahidi vyombo vya dola vitawatia mbaroni watu wasiojulikana!

Kushambuliwa Tundu Lissu: Mwigulu aahidi vyombo vya dola vitawatia mbaroni watu wasiojulikana!

Hivi yule aliyemnyooshea bastola jamaa yao alishakamatwa?
 
Mwigulu hajawagomea Chadema kwa sababu mbili; kwanza, hayo mamlaka ya kutoa maamuzi hana...ayatoe wapi? Pili, hata kama angekuwa nayo, hawagomei Chadema, anawagomea raia wapenda haki wa nchi wanaotaka kuona haki inatendeka. Labda nimuulize mtoa mada je katika hii katuni, nafasi ya Mwigulu iko wapi?

udikteta1-jpg.596531



..Mbona hii haki haikudaiwa kibiti?...
 
Kuna tofauti ya kuchunguza na kubaini nani mtuhumiwa na tofaiti ya kumtafuta alienainika kuwa ndo mtuhumiwa..uchunguzi ulibaini Osama ndo mlipuzi na ikachukua mda mrefuta kumtafuta Osama.uchunguzi haukumaliza muda mrefu kubaini aliehusika Ni nani ila ilichukua muda kumpata Osama.
. Cc mwigulu chemba
 
Hivi Kibiti kuna watuhumiwa wanashiliwa na polisi wakisubiri upelellezi kukamilika ili kesi zianze? Nipe updates mkuu
Jana tu Naibu waziri Masauni alikuwa Rufiji akikagua eneo itakapojengwa ofisi ya kanda maalumu ys kipolisi. Watuhumiwa wote wameshatiwa mbaroni mkuu!
 
Kama serekali imehusika itawakamata kina nan? Mpaka leo hata mtu mmoja hajajulikana na hakuna mtu anaesumbukia hilo swala. Ngoja niganye uchunguzi mwenyewe
 
Mkuu lakini jeshi lako limetuhumiwa kuhusika na shambulio hilo?? Na mienendo yake ndio msingi wa tuhuma hizi, bado huoni kuwa Jeshi lako haliaminiki na watz???
Na watu mitaani wameenda mbali zaidi wakisema nyie na mkuu mnajua kilichotokea?? Nawaza tu kwa sauti kubwa msije kunitafuta na mimi kupitia watu wasiojulikana.
 
Moja kati ya 'WANASIASA HALISI' (Uwezo wa kusema uongo na kuutetea) ni Mwigulu.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kama alishindwa kumkamata yule Wa tukio la Nappe, anawezaje kuwakamata hawa! atutolee upumbavu wake
 
Amesema watoto wao ndio watakaohukumu! Lini?
O Bin Laden alijulikana, Mwigulu anawajua wasiojulikana?
Kama hawajui atawapataje?
Kama anawajua kwanini hawakamati?
 
Back
Top Bottom