Unajua soko kubwa la izo mambo ni bara la Africa .... Hii inaonyesha waafrika tunawaza nn.
Huwa nataman watu wafikirie in a long term nn kitafuata , najikuta waafrika asilimia kubwa hatuishi kwa Kutizama mbele nahivo tunapelekwa tu matokeo yake wWanawake hawaoni hawaoni tena uhitaji wa Kua na mwenzi ,,vivo ivo kwa mwanamme, nakwasababh nikitu unachokitumia muda unaotaka tumeishia kua mazuzu ya sex kitu ambacho ni hatari....
Haijalishi wee ni singo au sio singo ,matumizi ya hizi mambo ni Ulimbukeni .