ThugMaster
JF-Expert Member
- Aug 24, 2015
- 1,594
- 2,234
Mwenye picha ya hilo li Samantha nione walau lina fananaje, hii dunia inapo elekea sasa duuu...,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Huyo Samantha hawezi mfikia mwanamke bana sababu bado kuna vingi ambavyo mwanamke anaweza vifanya ila ilo toy haliwezi. Huo ndio ukweli.Ladies sio rahisi kussuport maana wanajua Samntha ndo challenge yao
-Yeye hadangi
-Hapigi vizinga
-Hahitaji Peruvian & Brazilian Hair
-Hana haja na iphone X
[emoji16][emoji16]
Mwenye picha ya hilo li Samantha nione walau lina fananaje, hii dunia inapo elekea sasa duuu...,
Hahahaaa. Aya rafiki anza kushawishika tu kwa kweli.Unaanza kunishawishi [emoji16][emoji16]
Hahahaaa. Aya rafiki anza kushawishika tu kwa kweli.
Hahaaaa. Nimecheka sana hii picha.
Hahaaaa. Nimecheka sana hii picha.
Vp ile miguo ya kimahab* amemezeshwa au ndio inakuwa Show ya kimya kimya.
Ndio rafiki.Ulimanisha miguno au??
Ndio rafiki.
Hahahaaa. Umeona sasa rafiki.Tuwasubiri wenye Samantha maghetoni [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Umeona sasa rafiki.
Midoli sio bwana rafiki kwani mchezo wa kulalia upande mmoja hapana asieee.
Raha ya ule mchezo kila mmoja ashughulike anavyojua yeye hadi mkitoka hapo mnasema kweli shughul* imefanyika. [emoji85] [emoji85]
Hahahaaa. Ndio utulivu unatakiwa hapo rafiki.Nimekuelewa Rafiki
Ila kupata ambaye ametulia (ambaye tutaridhiana kwamB kweli show imefanyika) ni issue hadi ufahamu unahama unamfikiria Samantha ... ambaye nadhani hana hisia yoyote [emoji848]
Hivi ka samantha hakapigagi vizinga kale?
Hata kucheat hakajui kwani?Kanaanzaje mkuu
Alafu kenyewe hakana mambo za kwamba nipo period [emoji16][emoji23][emoji23]
Hata kucheat hakajui kwani?
mmmh.., ama kweli kama ndio globalization yenyewe hii acha nibaki na kirambasi changu tuu...,