MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Umri nao ni namba tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha yani zuchu awe na miaka 23 hahaha hata usoni tuu kudanganya awezi hahaha zuchu ni zaidi ya 30View attachment 2822187
Wasanii wana kitu cha kujifunza kutoka kwa Zuchu. Bata kidogo na misaada kidogo.
Wakati akisherekea kutimiza miaka 23 ya kuzaliwa,Zuchu amemtuma chawa baba Levo maeneo ya zanzibar kupeleka kompyuta 5 kwenye shule yake ya zamani zikawasaidie katika uchapaji wa mitihani.
Happy birthday Zuchu.
Msikilize muhusika achana na googleMbona kule google wanatuambia vingine sa?
View attachment 2822190
[emoji23][emoji23][emoji23] hatariii tupu.Kalikuwa kanauzaga duka moja hapo studio kinondoni,eti leo kawa star
Sema kuna siku nlikaona mitaa ya mbezi beach kakaniamkiaa
Ova
Kakubwa mbona asitake kujishusha[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mie najua ni mkubwa.Kakubwa mbona asitake kujishusha
Umri
Ova
Ndiyo hapo,wakati uzee una heshimaWatu hawapendi uzee. Ni pale unapokosa baby face sasa hata useme una miaka 10 watu wanakukataa
😂 kibibi kizee hicho haniiiMbona kule google wanatuambia vingine sa?
View attachment 2822190
😂😂😂Labda miaka 23 tangu atolewe bikra
Hahahahahahaha we mshenzi kweli kweli. Kwamba nini? Dah!Labda miaka 23 tangu atolewe bikra
Dah! Bro,basi tu. Kina nyie na GENTAMYCINE mngekuwa na group linalojulikana watu wakawa wanajichekea tu. Kwa majibu ya ovyo hamjambo aiseAdanganye asidanganye atajiujua yeye.Mm najua umri wa my wife wangu sasa hilo gume gume umri wake utakusaidia nn[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mweeeee.Msikilize muhusika achana na google
😂😂 Kabisa.😂 kibibi kizee hicho haniii
Hebu hawa nao waache kutudanganya...View attachment 2822187
Wasanii wana kitu cha kujifunza kutoka kwa Zuchu. Bata kidogo na misaada kidogo.
Wakati akisherekea kutimiza miaka 23 ya kuzaliwa,Zuchu amemtuma chawa baba Levo maeneo ya zanzibar kupeleka kompyuta 5 kwenye shule yake ya zamani zikawasaidie katika uchapaji wa mitihani.
Happy birthday Zuchu.
Huwa wanabaki hapo kwa mda mrefu sana nadhani ndio umri KE anakuwa anavutia hata asipojiremba😂😂 Kabisa.
Japo huwa nawazaga kwa nini umri wa miaka 23 -26 huwa unapendwa sana?
Yaani mpaka ukute mdada anavuka hapo basi ni kipengele. 😂