Kushikiliwa kwa Fwema: Umoja wa wachora katuni waonya

Kushikiliwa kwa Fwema: Umoja wa wachora katuni waonya

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
20211004_080823119641.jpg


My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?

My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
 
Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.

Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
 
Ni wale waliojipanga kumchafulia raisi Samia Suluhu,tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.
Ni bora Raisi Samiha naye akawabana makorodani wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Hivi unafikiri ile kauli yake ya "LAZIMA NIHESHIMIWE" aliwekewa tu kinywani?
 
View attachment 1962295

My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?

My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Mama unachemsha, jiangalie usianguke
 
View attachment 1962295

My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?

My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Kuna uzi ulipostiwa jana kuwa huenda tukawa na Awamu ya 7 mpaka kufikia 2025. Naona Uliondolewa hadi sasa sijui lengo au maudhui ya mleta uzi.
 
Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.

Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Hawawezi kufanya kitu ambacho boss wao hakipendi,ukiona yanaendelea Yale Yale ya awamu ya 5 jua boss wao wa Sasa hivi amebariki.
 
Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.

Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Kamati kuu nzima inakaa kujadili upumbavu kama huu badala ya kuwashughulikia wanaomuhujumu mama?

IMG-20211004-WA0001.jpg
 
Wakati wa Mkapa sikuwa na upeo wa kufuatilia mambo ya siasa siwezi kumuhukumu.

Kuanzia kwa Kikwete ndio nilianza kuona mchezo wa kuteka na kupiga wale walioonekana "wasumbufu" kwa serikali, Dr. Ulimboka.

Magufuli ndio akaja kuweka msingi rasmi wa haya matendo, wengi walitekwa, kutwswa, na kuuwawa wakati wa utawala wake.

Rais Samia nae hana muda mrefu madarakani lakini inaonekana muendelezo wa haya matukio unaendelea pale alipoishia mtangulizi wake, hii precedence haionekani kwisha hivi karibuni.

Chanzo cha haya inaonekana sio kiongozi, ni tatizo la kimfumo ndio maana kila kiongozi anaekuja anarithishwa ukatili wa wenzake, wengi tunaishia kuwalaumu viongozi hapa ndipo tunapokosea.

Katiba Mpya itakapopatikana ikaleta usawa kati ya raia wa nchi hii, na ikaonesha majukumu ya Rais alie madarakani utekelezaji wake na mipaka yake, na hatua gani atachukuliwa akivunja haki za kiraia wakati wa utawala wake, ndicho kitakachokuja kutunusuru na huu ukandamizaji usiokwisha.
 
View attachment 1962295

My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?

My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Watanzania waliowengi ni wanafiki wakubwa.
 
Kiongozi wao ni yupi naye akamatwee

USSR
Rejea maneno ya Kikwete mwana CCM mwenzio. Tena CCM kweli kweli sio nyie mnaosubiri teuzi.
Kikwete alimaanisha ' hatuwezi kutegemea polisi kutuweka Madarakani Ila Sera nzuri na utawala bora'
Lkn pia muuaji Idd Amin alikiri kabisa kwamba "you can't kill everybody"
 
Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.

Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Hivi unafikiri hilo jambo limefanyika kwa bahati mbaya?
 
View attachment 1962295

My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?

My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Mlishabgilia kifo cha Dkt Magufuli. Mlisema ohh Mama anaupiga mwingi hahahhahahah

Urais ni taasisi na siyo mtu. Nadhani sasa akili zinawakaa sawa.

Huwezi kuwa unadhalilisha taasisi ya urais kiasi hicho. Na badooo!
 
Back
Top Bottom