Bome-e
JF-Expert Member
- Jan 3, 2014
- 17,179
- 26,188
Sheria inasema hupaswi kumshikilia mtu zaidi ya 48 hours bila kumfungulia mashtaka!Kwanini jeshi LA polisi limekuwa likifanya litakavyo?Kwanini wanavunja sheria?Huyo kosa lake liko wazi kabisa maana aliandika hadi jina la mama kama watu watakuwa hawaja edit