cmoney
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 3,570
- 5,508
unamjua GADO?huyo kosa lake liko wazi kabisa maana aliandika hadi jina la mama kama watu watakuwa hawaja edit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unamjua GADO?huyo kosa lake liko wazi kabisa maana aliandika hadi jina la mama kama watu watakuwa hawaja edit
Kwa ngazi aliyopo anaamini yeye sasa ni msaidizi wa munguMama unachemsha, jiangalie usianguke
USHAWAHI SIKIA CHOCHOTE KUHUSU BLACK SITES MZEE BABA ZA WAMAREKANI...ukijifanya mjuaji hamna taasisi ambayo haitakunyosha...Fanya kazi acha siasa majitaka RIPMAGUFURIWakati wa Mkapa sikuwa na upeo wa kufuatilia mambo ya siasa siwezi kumuhukumu.
Kuanzia kwa Kikwete ndio nilianza kuona mchezo wa kuteka na kupiga wale walioonekana "wasumbufu" kwa serikali, Dr. Ulimboka.
Magufuli ndio akaja kuweka msingi rasmi wa haya matendo, wengi walitekwa, kutwswa, na kuuwawa wakati wa utawala wake.
Rais Samia nae hana muda mrefu madarakani lakini inaonekana muendelezo wa haya matukio unaendelea pale alipoishia mtangulizi wake
Watanzania tuliamini kuwa sasa tumepata muarobaini wakutuponyesha vidonda kumbe ni yaleyale tuHawawezi kufanya kitu ambacho boss wao hakipendi,ukiona yanaendelea Yale Yale ya awamu ya 5 jua boss wao wa Sasa hivi amebariki.
TATIZO NI YY MWENYEW ANAYAJUA HAYO KMA YANAMCHAFULIA?Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.
Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Walimwengu ndiyo wabayaTanzania, Nchi Ngumu Sana Hii
Ccm hovyooohuyo kosa lake liko wazi kabisa maana aliandika hadi jina la mama kama watu watakuwa hawaja edit
View attachment 1962295
My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Mama kumbe ni dhaifu kiasi hicho?Kamati kuu nzima inakaa kujadili upumbavu kama huu badala ya kuwashughulikia wanaomuhujumu mama?
View attachment 1962347
HahahaMy Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
Nimeshangaa sana, nilitalajia kamati kuu iwe ya kuwashughulikia wote wanaosabotage serikali yake lakini matokeo yake press release ndio hiyo unabaki unashangaa.Mama kumbe ni dhaifu kiasi hicho?
Sasa kama yeye ndio rais na hawezi kugundua hayo kumbe tumepigwaNimeshangaa sana, nilitalajia kamati kuu iwe ya kuwashughulikia wote wanaosabotage serikali yake lakini matokeo yake press release ndio hiyo unabaki unashangaa.
Njooni mnikamate[emoji35]Kiongozi wao ni yupi naye akamatwee
USSR
Hii ni kutokea Kenya na Uganda, watanzania wako nyuma ya darasa wanachungulia wasikie "pu" wanaumwaga mdogomdogo.View attachment 1962295
My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Hii hoja sikubaliani nayo na ni potofu, haiwezekani rais ktk nchi ambayo katiba imemuweka awe anaabudiwa eti awe tena anaburuzwa na watu wengine, hichi ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa.Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.
Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Sasa hapa Magufuli hayupo hatutasikia sana malalamiko.View attachment 1962295
My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.