Kushikiliwa kwa Fwema: Umoja wa wachora katuni waonya

Kushikiliwa kwa Fwema: Umoja wa wachora katuni waonya

Wakati wa Mkapa sikuwa na upeo wa kufuatilia mambo ya siasa siwezi kumuhukumu.

Kuanzia kwa Kikwete ndio nilianza kuona mchezo wa kuteka na kupiga wale walioonekana "wasumbufu" kwa serikali, Dr. Ulimboka.

Magufuli ndio akaja kuweka msingi rasmi wa haya matendo, wengi walitekwa, kutwswa, na kuuwawa wakati wa utawala wake.

Rais Samia nae hana muda mrefu madarakani lakini inaonekana muendelezo wa haya matukio unaendelea pale alipoishia mtangulizi wake
USHAWAHI SIKIA CHOCHOTE KUHUSU BLACK SITES MZEE BABA ZA WAMAREKANI...ukijifanya mjuaji hamna taasisi ambayo haitakunyosha...Fanya kazi acha siasa majitaka RIPMAGUFURI
 
Hawawezi kufanya kitu ambacho boss wao hakipendi,ukiona yanaendelea Yale Yale ya awamu ya 5 jua boss wao wa Sasa hivi amebariki.
Watanzania tuliamini kuwa sasa tumepata muarobaini wakutuponyesha vidonda kumbe ni yaleyale tu
 
Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.

Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
TATIZO NI YY MWENYEW ANAYAJUA HAYO KMA YANAMCHAFULIA?
 
View attachment 1962295

My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?

My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.

Tuungane sote kuupinga udhwalimu wote. Hii nusu nusu inawaacha wengi wengine kwenye ma basement ya majumba ya wadhwalimu humu humu mijini:

IMG_20210930_170832_807.jpg


Wako wapi Lijenje Urio Ben Azory na wote wasielezewa waliko hali walichukuliwa na polisi?
 
Mama kumbe ni dhaifu kiasi hicho?
Nimeshangaa sana, nilitalajia kamati kuu iwe ya kuwashughulikia wote wanaosabotage serikali yake lakini matokeo yake press release ndio hiyo unabaki unashangaa.
 
Nimeshangaa sana, nilitalajia kamati kuu iwe ya kuwashughulikia wote wanaosabotage serikali yake lakini matokeo yake press release ndio hiyo unabaki unashangaa.
Sasa kama yeye ndio rais na hawezi kugundua hayo kumbe tumepigwa
 
CCM ilipofikia sasa haitishwi na chochote !! cha msingi wachora katuni wote choreni kuipamba ama sivyo yatakutamo tu.
 
View attachment 1962295

My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?

My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Hii ni kutokea Kenya na Uganda, watanzania wako nyuma ya darasa wanachungulia wasikie "pu" wanaumwaga mdogomdogo.
 
Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.

Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Hii hoja sikubaliani nayo na ni potofu, haiwezekani rais ktk nchi ambayo katiba imemuweka awe anaabudiwa eti awe tena anaburuzwa na watu wengine, hichi ni kitu ambacho hakiwezekani kabisa.

Maovu yooote yanayoendelea kufanywa ktk utawala huu yana baraka ya rais na anaamini kwamba ndio njia inayoweza kumfanya aendelee kuwa na uhakika wa kudumu mamlakani.

Akiamua maovu haya yasitokee ni siku hiyo hiyo yatatoweka. Ila tatizo rais amekubuhu kwa unafiki, anahubiri maji huku yeye akinywa whisky...!!!
 
Back
Top Bottom