OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hivi unafikiri ile kauli yake ya "LAZIMA NIHESHIMIWE" aliwekewa tu kinywani?Ni wale waliojipanga kumchafulia raisi Samia Suluhu,tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.
Ni bora Raisi Samiha naye akawabana makorodani wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Kiongozi wao ni yupi naye akamatweeView attachment 1962295
My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Mama unachemsha, jiangalie usiangukeView attachment 1962295
My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Kuna uzi ulipostiwa jana kuwa huenda tukawa na Awamu ya 7 mpaka kufikia 2025. Naona Uliondolewa hadi sasa sijui lengo au maudhui ya mleta uzi.View attachment 1962295
My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Hawawezi kufanya kitu ambacho boss wao hakipendi,ukiona yanaendelea Yale Yale ya awamu ya 5 jua boss wao wa Sasa hivi amebariki.Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.
Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Huwezi kuheshimu asiyejiheshimuHivi unafikiri ile kauli yake ya "LAZIMA NIHESHIMIWE" aliwekewa tu kinywani?
Kamati kuu nzima inakaa kujadili upumbavu kama huu badala ya kuwashughulikia wanaomuhujumu mama?Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.
Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Huyo kosa lake liko wazi kabisa maana aliandika hadi jina la mama kama watu watakuwa hawaja edit
Hapa watu walijitengenezea posho.Kamati kuu nzima inakaa kujadili upumbavu kama huu badala ya kuwashughulikia wanaomuhujumu mama?
View attachment 1962347
Watanzania waliowengi ni wanafiki wakubwa.View attachment 1962295
My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Rejea maneno ya Kikwete mwana CCM mwenzio. Tena CCM kweli kweli sio nyie mnaosubiri teuzi.Kiongozi wao ni yupi naye akamatwee
USSR
Hivi unafikiri hilo jambo limefanyika kwa bahati mbaya?Ni wale waliojipanga kumchafulia Rais Samia Suluhu, tuseme wanasaboteji utawala wake, na huzusha hili na lile ili lawama zote zielekezwe kwenye utawala wake.
Ni bora Rais Samia naye akawabana wale wanaozusha mambo ya ajabu ajabu ambayo hupelekea kuishusha nyota ya serikali yake maana kwenye kundi la mamba na mikenge imo.
Mlishabgilia kifo cha Dkt Magufuli. Mlisema ohh Mama anaupiga mwingi hahahhahahahView attachment 1962295
My Take 1.
Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7?
My Take 2.
Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
Kiongozi wao ni yupi naye akamatwee
USSR