Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Unajua hata kusali tunaweza kusalia nyumbani, ila msikitini na kanisani kuna raha yake

Tukienda ZERO pub tunahudumiwa na Eliza, kwanza bia inakuwa tamu zaidi, halafu tunakuwa tumetoa ajira kwa Eliza na mangi wa jikoni

hii ni kisera zaidi

Ukizingatia prezidaa aliahidi ajira kwa mamilioni.

Kunywa bia, tengeneza ajira.....piga vita umasikini.
 
aisee hapo juu where is DENA AMSI?
mi na yeye hatujamalizana
 
NIMEIPENDA SANA HIYO....!hahahahahahahaha

mapenzi ni maridhiano

Alafu wewe muheshimiwa Teamo umeshaanza kutekeleza hichi kipengele kipya cha katiba ama unataka ujaze sahihi za kukuunga mkono kwanza?
 
Alafu wewe muheshimiwa Teamo umeshaanza kutekeleza hichi kipengele kipya cha katiba ama unataka ujaze sahihi za kukuunga mkono kwanza?
Asprin nisaidie kudadavua hapa..........napata maana nyingi sana.
 
Alafu wewe muheshimiwa Teamo umeshaanza kutekeleza hichi kipengele kipya cha katiba ama unataka ujaze sahihi za kukuunga mkono kwanza?
hii tayari ipo kwenye utekelezaji mkuu....!

trust me,huu mwaka lazima kuwe na some surprises
 
Alafu wewe muheshimiwa Teamo umeshaanza kutekeleza hichi kipengele kipya cha katiba ama unataka ujaze sahihi za kukuunga mkono kwanza?

Unajua baada ya sikukuu za mwisho wa mwaka, tarehe kama hizi ni vema tu ukajiwhia nyumbani kula na familia, kwakweli hua ni tarehe ngumu sana...na hapo ndipo ninapouchukia mshahara

I wish kungekuwa na 'BABY COME BACK' ya mshahara

Bia tamu kushinda mshahara jamani
 
hahaha wewe nakumbuka nilishawai kurudi na home boy wangu, wife wake akatufungulia...dah chakula mezani yaani hakuna cha vijiko viwili alitusimamia mpaka tukamaliza achana na vijiko vilwili bana..lol

Hahahah..mjeshi wa ukweli huyo!
 
Unajua baada ya sikukuu za mwisho wa mwaka, tarehe kama hizi ni vema tu ukajiwhia nyumbani kula na familia, kwakweli hua ni tarehe ngumu sana...na hapo ndipo ninapouchukia mshahara

I wish kungekuwa na 'BABY COME BACK' ya mshahara

Bia tamu kushinda mshahara jamani

ahahahahahahahaha

ayayyayayayayayayayayayayayayayayaya MAMA YANGU yani ninavokwambia hapa yani SIKU NYINGI SANA YANI HABARR YANGU BINAFSI BANAA

si unajuanga yaani lalalalalalalalalalalalala

ACHACHACHACHACHACHACHACAHCAHA
 
Orait..........naona wewe ni genius........unarudi home ukiwa na bia kichwani na kongoro tumboni.
Ukiingia tu, unawahi castle ya kopo kwa fridge....then unakaa mezani, unapiga story tu, huli wala nn.
Castle na kibua wapi na wapi?

Alafu wewe bwana...kuonja lazima ili usifie kidogo!
 
Alafu wewe muheshimiwa Teamo umeshaanza kutekeleza hichi kipengele kipya cha katiba ama unataka ujaze sahihi za kukuunga mkono kwanza?

Asprin nisaidie kudadavua hapa..........napata maana nyingi sana.

Yaani hapo Lizzy hana imani na shetani mzee.

Kwa kifupi katiba ameipenda lakini Teamo ni kikwazo cha moyo wake.
 
Unajua baada ya sikukuu za mwisho wa mwaka, tarehe kama hizi ni vema tu ukajiwhia nyumbani kula na familia, kwakweli hua ni tarehe ngumu sana...na hapo ndipo ninapouchukia mshahara

I wish kungekuwa na 'BABY COME BACK' ya mshahara

Bia tamu kushinda mshahara jamani

Kuna binadamu yeyote mwenye jinsia ya kiume ambaye ameipinga hiyo kauli so far?

Kama hakuna aliyeipinga hii inamaanisha:

Vibua tunavipenda lakini bia ni dawa ya moyo........ Teamo usinitafute leo...we ni MSALITI wa BIA.
 
Kuna binadamu yeyote mwenye jinsia ya kiume ambaye ameipinga hiyo kauli so far?

Kama hakuna aliyeipinga hii inamaanisha:

Vibua tunavipenda lakini bia ni dawa ya moyo........ Teamo usinitafute leo...we ni MSALITI wa BIA.
AHAHAHAHAHAHAH!
angalia inbox ya simu yako sasa hivi

PARE PAREEEEEE
 
hii tayari ipo kwenye utekelezaji mkuu....!

trust me,huu mwaka lazima kuwe na some surprises

Hapo sawa!Nlidhani unataka wenzako wapunguze tripu ili ufaidi mwenyewe mnavyopataga huko!
 
AHAHAHAHAHAHAH!
angalia inbox ya simu yako sasa hivi

PARE PAREEEEEE

Mabadiliko ya tabia nchi yametufanya sasa tubadili mfumo wetu wa maisha uwe hivi

From: ORDINARY PLACE, DRINKING ORDINARY DRINKS WITH ORDINARY PEOPLE

To: ORDINARY HOME, EATING THEM ORDINARY KIBUA WITH THE ORDINARY FAMILY
 
Back
Top Bottom