Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

TEAMO baby hajambo?Naona BABU kasema kila kitu usichoke kuendelea kuwakumbusha ndugu zako
 
Kama kisingizio ni kupikiwa vibua na mchuzi ya nyama na tembele ndo maana mnaishia bar, shirikini na wake zenu kutengeneza ratiba ya chakula kwa kila mwezi kitakachowawezesha kuvutiwa kula home, na mchangie ipasavyo financially, siyo unataka kula kuku wa kienyeji huku unaacha buku mbili home, matokeao yake unapikiwa tembele au unasepa kula vilivyokaangwa bar. shame.
 
ninyi vijana bana jaribuni kumuelewa dada pale juu

familia ni familia tu

pale home lazima kuna mtu au watu utakuwa unaish nao tu (be it beki tatu,house boy,mtoto wa brazaako au anybody)...consider them as your kids na wapelekeeni soda

ninyi mnatafsiri tofauti sana kuhusu watoto

chkulia hao wote hawapo, then familia ni wewe na mpango mzima sio, haya mnachukuzana haoooo kibila, mnapiga ndovu kopozzzz na ugali kokoto, je hiyo nayo ni kula na familia?
 
ninyi vijana bana jaribuni kumuelewa dada pale juu

familia ni familia tu

pale home lazima kuna mtu au watu utakuwa unaish nao tu (be it beki tatu,house boy,mtoto wa brazaako au anybody)...consider them as your kids na wapelekeeni soda

ninyi mnatafsiri tofauti sana kuhusu watoto
Yani issue ni soda?
 
Hata mimi msinitafute, nimuwahi mwanangu, mama yake na kibua

Mimi ntakuwa nakula nao ijumaa, jumamosi na jumapili
hahahahahahahahahah!

CCM NDIOO CHAAMAAAAAAAAAAAAAAAAA,CCM YAJENGA NCHIIIIII
MAPINDUZII TUONGOZEEEEEEEEEEEEEEEEE,CCM YAJENGA NCHIIIIII
 
Hata mimi msinitafute, nimuwahi mwanangu, mama yake na kibua

Mimi ntakuwa nakula nao ijumaa, jumamosi na jumapili

Mimi Jumatatu, jumanne na Ijumaa.... zimebaki siku ngapi hapo? halafu kaka yangu pale TBL akikosa mshahara, si ntalaaniwa?
 
Hata mimi msinitafute, nimuwahi mwanangu, mama yake na kibua

Mimi ntakuwa nakula nao ijumaa, jumamosi na jumapili
Yani kibua na tembele ni sehemu ya familia.
Bia na eliza sio sehemu ya familia?
 
Kama kisingizio ni kupikiwa vibua na mchuzi ya nyama na tembele ndo maana mnaishia bar, shirikini na wake zenu kutengeneza ratiba ya chakula kwa kila mwezi kitakachowawezesha kuvutiwa kula home, na mchangie ipasavyo financially, siyo unataka kula kuku wa kienyeji huku unaacha buku mbili home, matokeao yake unapikiwa tembele au unasepa kula vilivyokaangwa bar. shame.

Hata mkishirikiana vipi kupata supu ya kongoro nyumbani ngumu banaaaa....au ugali kokoto
 
Kama kisingizio ni kupikiwa vibua na mchuzi ya nyama na tembele ndo maana mnaishia bar, shirikini na wake zenu kutengeneza ratiba ya chakula kwa kila mwezi kitakachowawezesha kuvutiwa kula home, na mchangie ipasavyo financially, siyo unataka kula kuku wa kienyeji huku unaacha buku mbili home, matokeao yake unapikiwa tembele au unasepa kula vilivyokaangwa bar. shame.
ewaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!
mamaaa la carmel I SECOND YOU
 
hahahahahah!
kwenye hiyo statement kuna utata mkubwa sana kama ifuatavyo:

1-mimi ni SHETANI,which means ASPRIN,ST RR,BIGIRITA,GY,DA na MMU WENGINE WOTE WANAOPINGANA NA HII MAKITU NI MASHETANI..

2-kwamba mimi ni SHETANI niliezeeka na nimeandagoo mutation nimekuwa malaika

MY TAKE:mimi sio SHETANI,na viongozi wangu hapo kati HAWAWEZI KUWA MASHETANI.hapa tunabishana kwa hoja na kutofautiana misimamo tu...nakupa dakika kumi ukaisahihishe kauli yako

Sorry, kwa mfano huo haina maana sisi ni SHETANI.
Asante kwa kunisamehe!

Lakini ilikuwa namaana kwamba, hata kama inaonekana maneno haya ni tofauti na matendo yetu ya jana.
Leo tumebadilika, kwa maneno na matendo pia.
 
Yani kibua na tembele ni sehemu ya familia.
Bia na eliza sio sehemu ya familia?

Umeona eh? wakati tumeambiwa tuwapende mpaka maadui zetu, tuwatembelee yatima na wajane..... Hivi kula na Eliza si kula na familia?
 
Hata mkishirikiana vipi kupata supu ya kongoro nyumbani ngumu banaaaa....au ugali kokoto
Mkubwa umenikumbusha.........kuna siku nilirudi home na kitu cha miguu ya mbuzi na kichwa kizima....nikasema dinner langu liwe supu ya hii makitu! nikaambiwa si ukanywe huko bar?
Sababu nyingine.
 
Baada ya kusoma bandiko lako Teamo nimelifanyia utafiti wa KIINTELIJENSIA na kugundua kuwa familia maana yake ni BMW-BABA MAMA NA WATOTO. Ijulikane kuwa meza/dinner inapomkosa yeyote kati ya hao basi lazima wanaobakia wajiulize yuko wapi, especially kama sababu za kukosekana huko haziko bayana au hazitoshelezi...tunayo nafasi ya kuondoa masononeko yasiyo ya lazima kwa naniliu wetu..

You are right BUT economically wrong. Baa zinawahitaji sana kina baba muda na saa zile zile za Dinner
 
Umeona eh? wakati tumeambiwa tuwapende mpaka maadui zetu, tuwatembelee yatima na wajane..... Hivi kula na Eliza si kula na familia?
Hawa jamaa ni wabaguzi sana. makabaila wa familia.
 
Back
Top Bottom