Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndo maanake mpwa....!
saa si ndo maana nikarusha hio sredi sasa?
Ukipata mimba usirudi hapa kulialia......
Bigi kaka yangu bwana haya ni mautani tu!Hatuwezi kuharibu familia kiivyo!
ha ha ha!
sijawekeza pale miye
ofkoz leo tutakuwa pale na bigirita tuna mission pale ya kufanya for some days
wali lazima nile bana wee,
A MUST DO
aisee asprine umetumia ndege yako ya BOEING 737/STRLT kuja job?naomba kama hujarusha hiyo ndege kuna tukutuku pale sinza ukalichukue nikupe malekezo.lipo gereji pale mijamaa inaforce nikaichukueSababu nyingine ya kutokula wali na familia.
ofkoz....Sasa mkuu, huo wali unakula saa ngapi na mamaG? By the time tunaachana pale King Staa anakuwa bado kulala?
aisee asprine umetumia ndege yako ya BOEING 737/STRLT kuja job?naomba kama hujarusha hiyo ndege kuna tukutuku pale sinza ukalichukue nikupe malekezo.lipo gereji pale mijamaa inaforce nikaichukue
Labda kama unataka kua mpango wa kando!Orait....ahsante kwa ufafanuzi.
Twenzetu PM basi. Kaka hakosi shemeji...!
Usimsikilize huyooo babu!Bigi kaka yangu bwana..haya ni mautani tu!Hatuwezi kuharibu familia kiivyo!
Mipango yote ni mm, na ww ni mipango yooote kwangu.Labda kama unataka kua mpango wa kando!
Labda kama unataka kua mpango wa kando!
Nlikua naangalia opsheni zangu!Mi naangalia tu...ulianza na mimi, ukahamia kwa Masa naona sasa unaelekea mwelekeo wa Kimara.
Bigie atachukia!...Mchungaji atanipa talaka na baada ya muda wewe utanitosa!Kwahiyo bora nitulie hapa hapa!Kuna tatizo lolote tukifanya baby come back?