Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

Kushiriki chakula na familia: Ushauri kutoka kwa Teamo

NDOA ZINA RAHA YAKE JAMANI!

Hata iweje leo mimi 'familia na kibua kwanza'

Unalipia shkamooooo............hahahahahahah
hahahaha!
we kijana usijitafutie kisingizio cha kumiss kikao
 
Ngoja nikaongee na Mkoloni.

Leo ni family Day. Nna siku nyingi sijapiga makande na Matesha wangu.

Kwaherini watoto.
 
Wizi mtupu ili upate sababu ya kupita kingstar jioni sio??? Ha ha ha wanawake kazi tunayo
ha ha ha!

sijawekeza pale miye

ofkoz leo tutakuwa pale na bigirita tuna mission pale ya kufanya for some days
 
Sababu nyingine ya kutokula wali na familia.
aisee asprine umetumia ndege yako ya BOEING 737/STRLT kuja job?naomba kama hujarusha hiyo ndege kuna tukutuku pale sinza ukalichukue nikupe malekezo.lipo gereji pale mijamaa inaforce nikaichukue
 
Sasa mkuu, huo wali unakula saa ngapi na mamaG? By the time tunaachana pale King Staa anakuwa bado kulala?
ofkoz....

saa mbili usiku bado sana kulala.

tunalala saa nne hivi baada ya kuangalia taarifa za habari na vipindi maalumu itv
 
aisee asprine umetumia ndege yako ya BOEING 737/STRLT kuja job?naomba kama hujarusha hiyo ndege kuna tukutuku pale sinza ukalichukue nikupe malekezo.lipo gereji pale mijamaa inaforce nikaichukue

Boeing iko hapa....takamata mama matesha pale kwenda kula chakula ya jioni kabla ya kunywa biya za usiku..
 
Mipango yote ni mm, na ww ni mipango yooote kwangu.

usisikile kiumbe mwingine.
assume MIPANGO=wali mararagwe,kwa nyama ya ng'ombe,na glasi ya maji na ndizi
 
Back
Top Bottom