na parachichi.assume MIPANGO=wali mararagwe,kwa nyama ya ng'ombe,na glasi ya maji na ndizi
Bigie atachukia!...Mchungaji atanipa talaka na baada ya muda wewe utanitosa!Kwahiyo bora nitulie hapa hapa!
Skulimeti
Leyla bado hajaingia, sasa zile bia tano nimwagize nani? Emmy?
Nipo hapa King Star tayari, TANESCO wamechukua umeme, kwahiyo nina "excuse" ya mpaka saa tano usiku!
hahahaha!Skulimeti
Leyla bado hajaingia, sasa zile bia tano nimwagize nani? Emmy?
Nipo hapa King Star tayari, TANESCO wamechukua umeme, kwahiyo nina "excuse" ya mpaka saa tano usiku!
Mipango yote ni mm, na ww ni mipango yooote kwangu.
usisikile kiumbe mwingine.
Hahahaha!So na mimi nakua mpango wa kando ama?Babu hajui kutosa....give it a try.
hehehehe!
hommie HABBARR YAKO BINAFSI BANAAA
Leo huna mamlaka ya kunifanya patrol officer wa King Star......
hahahaha!
mkuu huyo leila mbona tulikubaliana na skulmet ako kuwa ni WANGU?au nimesharukwa jamani?
Nshapiga valuu zangu, nakutana na wali kwa samaki aliyeungwa kwa nazi.
Kutapika mbele ya watoto ni heshima mbaya kwa mzazi.
Ushauri wako mzuri, binafsi ntauzingatia kwa msaada wako kama ifuatavyo:
Usiwe unanipigia simu na kuniuliza "Leo hutoki"?
Mwambie Baba Enock asiwe ananipa salamu za Emmy
Mwambie Generation Y asiwe ananitafutia sababu kwa maswali ya kichokozi kama "bia na mshahara kipi kitamu"
Listi itaendela shortly....
Leo Babu umeamua kunichekesha kupita kiasi nimecheka mpaka nimezimia kwa hii post
Habari zenu binafsi?!....
Awali ya yote napenda sana kumshukuru sana MAANANI,kwani ni yeye pekee anaetuweka mimi na wewe DUNIANI.Natumia Fursa hii adimu kuwashukuru sana wetu mimi na wewe WAZAZI,kwa kazi ngumu ya kutuleta sisi DUNIANI
STRAIGHT KWENYE HOJA:
TEAMO anawashauri wakina baba wenye familia zenu kujijengea tabia ya KUSHIRIKI chakula cha pamoja na FAMILIA walau mara nne kwa wiki (MSISITIZO:walau mara nne kwa wiki).Wikileaks imegundua kwamba manung'uniko ya hapa na pale ya WAKE ZETU yanachangiwa sana na ''ushiriki finyu'' wa chakula cha pamoja na familia.
TEAMO anawapenda sana na anazijali sana ndoa zenu ndio maana anasema kupunguza kutokuelewana kwa hapa na pale katika familia tujaribu kushiriki pamoja na mama na watoto walau hata DINNER tatu kwa wiki na LUNCH moja weekend.
TEAMO anaamini kwamba wakati mwingine MAPENZI NA FAMILIA ZETU huamshwa na kuanzia mezani.kwa kufanya hivi tutajipunguzia possibilities za kujilimbikizia infiiz ''unnecessarily''.Tutawafanya wake zetu kuwa MIPANGO YOTE,yaani mpango mzima na mpango wa kando anakuwa yeye mwenyewe...
TEAMO IS STANDING TO BE CORRECTED
Yours' Sincerely,
TEAMO aka BABA G
Now this is what i'm talking mahusiano ya "kawaida"