Kushtua gari ya automatic

Mimi league za watu wafupi siziwezi ,wewe na ubishi wako umeshindwa kueleza unashtua vipi gari automatic kaja wa kueleza hilo haliwezekani mnasema hajui kujieleza ,labda ungesema maelezo yawe kwenye format ya CV

hahahaha mkuu ubishi unasaidia na ubishi huwa unasaidia pia kupanua uelewa naamini MTU mbishi akikuelezea mpaka ukaelewa na kukushindwa KWA hoja kwanza lazima atakuwa na hoja na uelewa wa hicho kitu zaidi yako wewe.hili suala nimelileta huku KWA wataalamu ili lijadiliwe kitaalamu na kwa hoja za kitaalamu pia.

huyo niliyemjibu hapo juu sijasema hawezi kujieleza Bali kaandika vitu vingi na sensor nyingi ambazo hufanya kazi kwenye engine kwaajili ya kuwasha Gari na zinatumika kwenye engine.

hapa kikubwa cha kujadili kwenye Gari automatic ni vipi tunaweza tukapata mzunguko wa engine kutoka kwenye flywheel kwa njia ya gearbox?? kupitia matairi?? ukifanikiwa hili lazima Gari itawaka KWA kuwa starter kwenye Gari kazi yake kubwa ni hiyo tuu na vile vile unapostua gari ya manually unacholitafuta au kifanya nikupata mzunguko WA engine kupitia kwenye tairi.

sibishani ili nishinde Bali tunaelekezana mkuu
 
LEGE sijui ulitakata kujiita Reggae!! yaonekana we ni mbishi toka utotoni ....

tueleze uliweza stua vipi..?
 
Mimi league za watu wafupi siziwezi ,wewe na ubishi wako umeshindwa kueleza unashtua vipi gari automatic kaja wa kueleza hilo haliwezekani mnasema hajui kujieleza ,labda ungesema maelezo yawe kwenye format ya CV

umejuaje mkuu kuwa mm nimfupi?? hapa hakuna ligi ya ubishi ligi ya ubishi ulikuwa huko ambako watu niliwaambia inawezekana na KWA kuwa niliwaeleza lakini bado walibisha ndio ikabidi tuwekeane kidau.
 
LEGE sijui ulitakata kujiita Reggae!! yaonekana we ni mbishi toka utotoni ....

tueleze uliweza stua vipi..?

mkuu soma maelezo yangu ya posti hizo hapo juu then rudi tena ukiwa umeyanote mawazo yangu then ndio tuendelee na mada yetu.mm sio mbishi aisee.sema wazo langu lilipingwa na wengi na ukitegemea kuna mafundi watu wazima ndio nilikuwa nabishana nao na wao ndio waka Fanya vijana wote wa gereji wawe upande wao kwa kuwa ni mafundi wao
 

Haha sasa mkuu kwa elimu hii kwanini ulianza kwa ubishi ,kumbe wewe uliweza kushtua gari automatic umepata mzunguko kutoka kwenye flywheel kwa njia ya gearbox kupitia kwenye matairi ,basi tufahamishe na sisi tusiojua
 
umejuaje mkuu kuwa mm nimfupi?? hapa hakuna ligi ya ubishi ligi ya ubishi ulikuwa huko ambako watu niliwaambia inawezekana na KWA kuwa niliwaeleza lakini bado walibisha ndio ikabidi tuwekeane kidau.

Hahah kwani hujui asili ya ubishi mkuu alafu isitoshe nakufahamu fika
 
Kuna chombo kinaitwa battery buster. Unakicherge kwenye umeme kikiwa full unakitumia kuconnect kwenye battery yako.
Itawaka straight. Ila sina uhakika kama kinapatikana hapa nchini.
 

Hivi kuweka ON si ndio kuwasha kwenyewe au?
 
Reactions: cpt
Sababu kubwa ni kuwa, auto tranny haina kiunganishi cha moja kwa moja kati ya engine na matairi (tranny), tofauti na ilivyo kwenye manual. Kwenye auto kinacho unganisha hivyo viwili ni torque converter ambayo huwa imejaa kimimnika (fluid). Engine inatakiwa ku run angalau kwenye idle ili iweze kutengeneza msukumo (kwenye torque converter) wa kufanya matairi (tranny) yazunguke.

Sasa kinyume chake, unapo sukuma gari hutengenezi msukumo wa kutosha kuzungusha torque converter hatimaye engine, kwa hiyo gari haiwezi kuwaka.
 

Kama wewe ni mbishi basi mbisha hata Syria hakuna vita.
 

labda nikuulize mkuu kwa nini ukiwasha Gari ya automatic kwenye gear inatembea kama kawaida?? hilo nalo naongelea kwa kuwa nimelifanya mm mwenyewe KWA mkono wangu nikiwa gereji mpaka nikagonga kwa kuwa Gari iliwakia kwenye gear niliwasha ikiwa kwenye D.

humbu tetea hoja yako kwa hili .na nishawahi fungua converter kwa kuweka D nakuzungusha matairi na converter ikawa inazunguka
 
Sasa wewe mleta mada unazungumzia kustua kwa aina hiyo? mimi nikajua gari haitaki kuwaka watu wanaisukuma weee halafu inawashwa kama vile magari manual yanavyofanywa,,,

mkuu hata hiyo inawezekana nimetoa mfano huo kwa kuwa unaweza kuujaribu hata wewe ukiwa na Gari yako lakini huh wakusukumwa utahitaji watu wengi waisukume Gari hapa nilipo now namalizia kuna Gari kutengeneza nipo mwenge kuna Suzuki natengeneza nikimaliza hapa nainda kufanya jaribio la kuistua KWA kuisukuma nitafanyia majaribio pale bondeni naiweka kwenye D naizima naiweka OFF harafu naiacha ishuke ikifika mpaka chini kbs naiweka switch ON lazima iwake.tuuu hata wewe ruksa nenda kajaribu tuu mkuu
 

hongera ni pm namba yakovya cm unisaidie kitu
 
For safety reasons gari inatakiwa kuwaka ikiwa kwenye Neutral au Park kama yako imewaka kwengine basi inamatatizo.

humbu tetea hoja yako kwa hili .na nishawahi fungua converter kwa kuweka D nakuzungusha matairi na converter ikawa inazunguka
Converter gani unayoiongelea?
 
For safety reasons gari inatakiwa kuwaka ikiwa kwenye Neutral au Park kama yako imewaka kwengine basi inamatatizo.


Converter gani unayoiongelea?

yap mkuu hiyo Gari nilikuwa nimeiweka direct selector ilikuwa mbovu.

converter linalokuwa kwenye gear box mkuu
 
nishawahi fungua converter kwa kuweka D nakuzungusha matairi na converter ikawa inazunguka
Unapokuwa umeinyanyua gari (matairi hewani) ni rahisi kuzungusha tranny kwa kutumia TC kwasababu, unakuwa umeondoa uzito wa gari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…