Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu kama umenisoma vizuri kwenye hiyo post ya kuwashia Gari kwenye D na umenielewa hakika huto bisha.
kama unataka tuwekeane kidau tangaza ww tuwekeane sh ngapi ngapi?? mm nije niichezee selector kidogo harafu nakuwashia Gari kwenye D na inachapa mwendo kama kawaida .kama kutakuwa na FUNDI UMEME huko hatoweza bisha hili
yap mkuu hiyo Gari nilikuwa nimeiweka direct selector ilikuwa mbovu.
converter linalokuwa kwenye gear box mkuu
Kwa hiyo ni gari mbovu tu ndio huwaka kwa mtindo huu mkuu, au ?.
Coz kama ilivyosemwa kuwa gari hutakiwa kuwaka ikiwa either N au P kama ikiwaka kwingineko hiyo gari sio nzima.
Je, kwa gari iliyo nzima itawezaje kuwaka / kushtuka ilhali ni automatic transmission ndugu ?.
Kwa hiyo ni gari mbovu tu ndio huwaka kwa mtindo huu mkuu, au ?.
Coz kama ilivyosemwa kuwa gari hutakiwa kuwaka ikiwa either N au P kama ikiwaka kwingineko hiyo gari sio nzima.
Je, kwa gari iliyo nzima itawezaje kuwaka / kushtuka ilhali ni automatic transmission ndugu ?.
Mpaka liwe bovu ndugu ndo litashtuka.... Likiwa zima tafuta betri kwa mtu uwashe gari lako....
Mkuu, yaonekana ulikuwa katika manual car, yaani automatic ipo katika D kisha ukiwasha iwake? Apo kidogo tuache tupumue.... Inapokuwa katika D, ufunguo mpaka uzungishe mpaka uukate basi gari haiwaki. Usitudanganye kabisaaa.
Nami ndo nashangaa kwa kweli!
Wewe naona unataka kurefusha mada tu toa maelekezo unafanyaje kushtua gari ya auto bila kuchokonoa chochote, sio kulet hadith coz naona hutoi maelekezo yenye kutoa elimu cha kufanya zaid ya kusubiri watu waendelee kukubishia uwajibu, wewe kama lengo ni kutoa elimu elewesha watu nini km nafanyika kushtua gari ya auto bila kuchokonoa chochote, ila kama ili iwake lazim uchokonoe selector kwanza basi hujafanya lolote coz tayar utakuwa umetutoa kwenye uhalisia wa gari yenyewe. Wewe toa maelekezo ambayo hata mke wangu akikwama huko aweze kushtua sio hadi ichokonolewe ndio ikubali.kinachokushangaza ni kipi hasa?? ungesoma comment zote hakika usingesha shangaa chochote harafu kumbuka hii sio mada kuu.
kuna MTU alikuwa anaelekezwa kitu ndio ikachomekewa na mnasahau kuwa niliwaambia kuwa selector ilikuwa mbovu ndio maana Gari ikawaka ikiwa kwenye D.
usikubali mkuu kukubali kila kitu unachoambiwa hakiwezekani?? jaribu kujiuliza kwanini hakiwezekani?? ni wapi hasa ndio wameficha siri yao ili pasiwezekane??
Wewe naona unataka kurefusha mada tu toa maelekezo unafanyaje kushtua gari ya auto bila kuchokonoa chochote, sio kulet hadith coz naona hutoi maelekezo yenye kutoa elimu cha kufanya zaid ya kusubiri watu waendelee kukubishia uwajibu, wewe kama lengo ni kutoa elimu elewesha watu nini km nafanyika kushtua gari ya auto bila kuchokonoa chochote, ila kama ili iwake lazim uchokonoe selector kwanza basi hujafanya lolote coz tayar utakuwa umetutoa kwenye uhalisia wa gari yenyewe. Wewe toa maelekezo ambayo hata mke wangu akikwama huko aweze kushtua sio hadi ichokonolewe ndio ikubali.
Mm ni dereva mpya naomba kujua jinsi ya kushtua gari LA manual
Gari ya manual ni rahisi mkuu unaweka switch ON .unaweka kabisa gear namba 2 or 3 ndio wengi huwa wanastulia gia hizo baada ya hapo unakanyaga clutch na na kama kuna watu wanakusukuma au unavutwa na Gari nyingine baada ya kuvutwa au kusukumwa mpaka kwa speed flani ambayo unaridhika nayo yakawaida tuu unaachia clutch na kukanyaga accelerater Gari itawaka.
Mpaka liwe bovu ndugu ndo litashtuka.... Likiwa zima tafuta betri kwa mtu uwashe gari lako....
Itawaka tu lakini kwanza tupate mazziwa ya kuku
hayo ya kuwasha Gari kwenye D ni maada ambayo imeingilia kati na mm ndio niliianzisha baada ya kuwa na mweleza MTU kitu.
nazani tujikite hasa kwenye mada yetu husika hapo juu.
Gari hata ikiwa nzima kustua unaweza kustua.ili uweze kustua Gari ni lazima tuweze pata mzunguko wa engine??sasa je wawezaje pata mzunguko wa engine?? KWA Gari ya automatic?? ndio mm nikatoa mfano rahisi kuwa chukua Gari iendeshe ikiwa speed izime KBS ikizima tembea nayo ikiwa imezima hivyo then iweke switch ON gari itawaka tena.
inamaana hapo unakuwa unastua??
mkuu kama umenisoma vizuri kwenye hiyo post ya kuwashia Gari kwenye D na umenielewa hakika huto bisha.
kama unataka tuwekeane kidau tangaza ww tuwekeane sh ngapi ngapi?? mm nije niichezee selector kidogo harafu nakuwashia Gari kwenye D na inachapa mwendo kama kawaida .kama kutakuwa na FUNDI UMEME huko hatoweza bisha hili