Kushtua gari ya automatic

Lege hebu tueleze kiufundi jinsi ta kustua manual gearbox naona post yako kama ulicop na kupast kutoka somewhere.
 
Lege hebu tueleze kiufundi jinsi ta kustua manual gearbox naona post yako kama ulicop na kupast kutoka somewhere.

hahahah sio kweli mkuu sijacopy mahala hiii.pitia comment zangu zote uone
 
Hiyo issue ya wiring mimi ndio early career yangu na bado nipo ktk hiyo fan na engine na gearbox humo mote natembea ila uzi wako uliuleta ktk mazingira ya kiubishi.
 
Hiyo issue ya wiring mimi ndio early career yangu na bado nipo ktk hiyo fan na engine na gearbox humo mote natembea ila uzi wako uliuleta ktk mazingira ya kiubishi.

hahahaha kwahiyo mkuu bado unasema haiwezekani ?? mm kama FUNDI umeme najua vyote vinawezekana tukipata mzunguko wa flywheel tuu.ili sensor za kuwashia Gali ziweze kutoa signal gali lazima itawaka tuu.
 
Mafundi wetu hawa! Mkuu unamiliki gari? Au majaribio unafanyia kwenye magari ya wateja wako?

hapana mkuu nilijaribu kwenye Kigali changu but katika ubishi watu walitoa MAGARI yao tofauti tukajaribia pia.
 
Ukiniuliza haiwezekani itakuwa kama issue ya Palestine-Israel sasa engineer mwenzangu sijui nikujibu nini manake matajiri washaanza kutuuliza tunayo magari au tunatumia magari ya watu.
 
Wazungu wapo mbali sana haitakaa tuwafikie walipo amua kutengeneza automatic transmission walijua kuna uwezekano mtu akapiga satart ikiwa kwenye gear baadae ikaleta shida wakaamua gari yoyote ya automatic transmission isiwake ikiwa kwenye gia maana ukiweka kwenye gia unadisconet na switch ya ukiweka N au P unaunganishwa na switch sasa wewe unasema uliwashia katika gear naona ilikuwa gari ya majaribio
 

Mkuu, yaonekana ulikuwa katika manual car, yaani automatic ipo katika D kisha ukiwasha iwake? Apo kidogo tuache tupumue.... Inapokuwa katika D, ufunguo mpaka uzungishe mpaka uukate basi gari haiwaki. Usitudanganye kabisaaa.
 
Ili gari iwake kwa maana ya ignition ni lazima uwe kwenye P au N sasa umewasha gari automatic ikiwa kwenye D kwanza ulizima gari ikiwa kwenye D? Au tuambie aina ya gari labda
 
Mkuu, yaonekana ulikuwa katika manual car, yaani automatic ipo katika D kisha ukiwasha iwake? Apo kidogo tuache tupumue.... Inapokuwa katika D, ufunguo mpaka uzungishe mpaka uukate basi gari haiwaki. Usitudanganye kabisaaa.

Atuambie aina ya gari
 

Unajua maana ya neutral safety?
 
Kabla sijapost hapa nimesoma mabishano hapo👆
Sasa basi iwapo gari la automatic linaweza kuwashwa kwa kusukumwa....

Tuangalie tatizo la kusababisha kusukumwa

Mfano. Battery ipo down now tutakapolisukuma lets say to that speed ya 40km/h wakati huo bettry ipo down litawaka???

Pili, swala la kuwasha gari likiwa kwenye D, labda kama gearbox ni mbovu naweza kubali but kama ni nzima ???? Nina doughts kwani hiyo gx100 mimi nilishawahi jisahau haikuwaka!!

Kingine mbona huwa inatokea mtu yupo anaendesha gari ya automatic but ghafla linazima why??
Wakati huo likizima inamaana bado linakuwa switch on and not off????

Nitoe huo ukungu
 
Labda iwe made in Tz..... Asitupakie bureeee.... Gari uwashe kwenye D? Mi aweke dau na huo ubishi wake aniwashie yangu kwenye D....

mkuu kama umenisoma vizuri kwenye hiyo post ya kuwashia Gari kwenye D na umenielewa hakika huto bisha.

kama unataka tuwekeane kidau tangaza ww tuwekeane sh ngapi ngapi?? mm nije niichezee selector kidogo harafu nakuwashia Gari kwenye D na inachapa mwendo kama kawaida .kama kutakuwa na FUNDI UMEME huko hatoweza bisha hili
 
Mkuu, yaonekana ulikuwa katika manual car, yaani automatic ipo katika D kisha ukiwasha iwake? Apo kidogo tuache tupumue.... Inapokuwa katika D, ufunguo mpaka uzungishe mpaka uukate basi gari haiwaki. Usitudanganye kabisaaa.

labda mkuu nikuulize na niwaulize kwani kinacho Fanya Gari ishindwe kuwaka ikiwa kwenye D or R 2 L ni kitu gani??

kama hiyo switch itaharibika au itawekwa direct inamaana Gari itawaka sehem yoyote ile iwe kwenye gear au isiwe kwenye gear.nadhani hasa hamkunielewa why nilizungumzia suala la kuwasha Gari ikiwa kwenye D na ikatembea nilikuwa najitahidi kumfahamisha mdau 1 aliyekuwa anabisha kuwa engine ndio huendesha gearbox na gearbox haiwezi kuendesha engine kbs kupitia tairi ndio nikatolea mfano huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…