Kushtuka kutoka usingizini usiku wa manane

Kushtuka kutoka usingizini usiku wa manane

Habari zenu wanaJF. Natumai wote ni wazima.

Mara kadhaa nimejikuta nashtuka usiku wa saa 7 au saa 8 usiku na usingizi kukata kabisa, inaweza kunichukua hata lisaa kupata usingizi tena.

Nimejaribu kuuliza hiki kitu kwa watu wa karibu wengine wanasema ni stress za maisha, wengine sina ela ntafute ela, wengine presha lakini me binafsi sina stress na kiafya hata kiuchumi niko vizuri.

Shida itakua nini sasa na kwa nini hii hali hutokea yani kwa mwezi lazima inikute mara 4 au 5 kwa wenye kujua hii hali tujuzane tafadhali.
Uislam ni mwema sana.

Waislam tukipatwa hali hiyo huwa tunaona ni neema kubwa kwani tunapata kutimiza "Kiyamu Leil", sala ziitwzo kisimamo cha usiku. Zimesisitizwa sana tuzipate japo mara moja katka maisha yetu.

"Kiyamu leil" ni salat ambayo inatakiwa uisali una[oamka usiku, siyo kuisubiria bila kulala. Ukistuka usiku, unakwenda kutawadha, unarudi kusali japo rakaa mbili, unaomba dua, unarudi kulala huku unaendelea na uradi mpaka usingizi unapokuchukuwa tena.

Raha sana.
 
Haha nakumbuka nilishika makaburi ya wazee wa zamani. Usiku wake kila ikifuka saa saba usingizi unakata kama nimeshtuliwa , silali moaka morning

Hii hali ilienda wiki nzima nikaona hapa naelekea kufa. All week nalala one hour, kumweleza mzee mmoja akaniambia chinja mbuzi itakaa sawa

Nikanunua mbuzi wawili mmoja dume laki 2, jikw laki na nusu. Zikachinjwa usiku kweli nikalala

Toka siku hiyo mpaka Leo six years has passed sijarudi kwenye ule mji.
 
Haha nakumbuka nilishika makaburi ya wazee wa zamani. Usiku wake kila ikifuka saa saba usingizi unakata kama nimeshtuliwa , silali moaka morning

Hii hali ilienda wiki nzima nikaona hapa naelekea kufa. All week nalala one hour, kumweleza mzee mmoja akaniambia chinja mbuzi itakaa sawa

Nikanunua mbuzi wawili mmoja dume laki 2, jikw laki na nusu. Zikachinjwa usiku kweli nikalala

Toka siku hiyo mpaka Leo six years has passed sijarudi kwenye ule mji.
Ilikuaje kuaje
 
Chunguza mazingira yanayo kuzunguka au historia ya ukoo wenu kuna nini!
👇👇👇👇
Mdharau asili hufa kikatili.
 
Ilikuaje kuaje
Nilienda kutembelea mji mkubwa ambapo babu yangu alizaliwa.
Babu yangu mdogo alikiwa keshafariki ndio alirithi huo mji
Ila mkewe bibi mdogo bado yupo hai. Akanambia huwezi ondoka bila kwenda kuwaombea marehemu babu mdogo na baba mkwe wake (babu mzaa baba)

Nikaenda nikapiga magoti piga sala za kikatoliki. Nikajua hapa nimemaliza

Usiki wake nililala one hour. Ikifika saba kamili naamka.

Second day the same happened.

Third day the same happened

Siku ya sita hivi, nikasema ngoja nikeshe mpaka sita na nusu. Huwezi amini nililala only 30 minutes saba kamili niko macho

Kesho yake nikaamsha. Kuna mshua mdogo mmoja nilimweleza nikamweleza na jinsi ilitokea. Akanipeleka kwa bibi mdashi mmoja akaunganisha matukio. Akanambia hapo ni sababu umegusa makaburi

Kweli nilivyokuja chinja sijawahi pata matatizo hayo tena

Mwezi unaokuja nitaelekea ule mji tena ingawa sitagusa makaburi nitaleta mrejesho
 
Hio ni insomnia tatio la kukosa usingizi mara nyingi husababishwa na stress
Fanya yafuatayo
Fanya mazoezi au shughuli zitakazouchosha mwili
Sex
Epuka vinywaji vyenye caffeine kama Energy
Punguza mawazo na kaa na wenzio i mean washkaji relax maisha ndo hayahaya mkuu
 
Back
Top Bottom