geofrey senyagwa
Member
- May 9, 2014
- 57
- 46
Mkuu Hizo ni fabricated sio Original niliwah kuiangalia moja alinunua mtu akanionyesha kwanza picha linaanza ina Operation system similar to IOS halafu yenyewe ni Android ROM ni 32 na sio 128 hizo zimeandikwa tu ila ukitaka kujua ijaze 32GB storage utaona utamu wake itakuambia low Internal storage kifupi ni fabreshabari zenu wana JF, hivi karibuni nimeshuhudia poromosheni kubwa ya simu za kampuni ya oppo hasa zile za A series , unakuta internal storage 128, RAM 6, Qualcomm and octa core processor , ambapo simu zenye specifications hizo ziliuzwa bei kubwa sana lakini sasa zinauzwa 95,0000 hadi 100,000 je tatizo nini na kuna mapungufu gani katika simu hizo? Kwa wataalamu tujuzeni tuelewe.
Natanguliza shukrani zenu wakuu uzi utembee huu
🤣🤣🤣🤣 Jamaa anasimu Zenye Dot kibao na zingine mbovuKama ni kwa Zahoro Matelephone sawa hata elfu 45 unapata.
Ni 3-4Ghabari zenu wana JF, hivi karibuni nimeshuhudia poromosheni kubwa ya simu za kampuni ya oppo hasa zile za A series , unakuta internal storage 128, RAM 6, Qualcomm and octa core processor , ambapo simu zenye specifications hizo ziliuzwa bei kubwa sana lakini sasa zinauzwa 95,0000 hadi 100,000 je tatizo nini na kuna mapungufu gani katika simu hizo? Kwa wataalamu tujuzeni tuelewe.
Natanguliza shukrani zenu wakuu uzi utembee huu
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] bwana zahoro matelephone sijui mzigo anauchukulia wap?Kama ni kwa Zahoro Matelephone sawa hata elfu 45 unapata.
Hiyo ni kweli hata mimi nimeanza kudharau Oppo kwa sasa na kuona bora hata Infinix ,maana kuna mtu nilimkuta na Oppo specifications zake za hadhi ya juu ila bei ya mboga gadi nikashangaa.Elfu 95? Yani 95,000/=? Yaani 95k?
Nipe location ya hilo duka nami niende kujichukulia changu mapema[emoji736]
Huyo mwamba atengwe naona matangazo yake Smart bei rahisi kabisa.[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] bwana zahoro matelephone sijui mzigo anauchukulia wap?
Nidhawahi Ingia chaka na simu zake[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] bwana zahoro matelephone sijui mzigo anauchukulia wap?
Oppo sijui kimewakuta nini ,hata rafiki yangu anauza simu nilitaka simu alivyonitajia bei ya Oppo na kulinganisha RAM pamoja na storage nikaona kitonga sana ila akanishauri nisichukue zitanibumia.habari zenu wana JF, hivi karibuni nimeshuhudia poromosheni kubwa ya simu za kampuni ya oppo hasa zile za A series , unakuta internal storage 128, RAM 6, Qualcomm and octa core processor , ambapo simu zenye specifications hizo ziliuzwa bei kubwa sana lakini sasa zinauzwa 95,0000 hadi 100,000 je tatizo nini na kuna mapungufu gani katika simu hizo? Kwa wataalamu tujuzeni tuelewe.
Natanguliza shukrani zenu wakuu uzi utembee huu
Hiyo ni kweli hata mimi nimeanza kudharau Oppo kwa sasa na kuona bora hata Infinix ,maana kuna mtu nilimkuta na Oppo specifications zake za hadhi ya juu ila bei ya mboga gadi nikashangaa.
Kigoma[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] bwana zahoro matelephone sijui mzigo anauchukulia wap?
Ukikuta Iphone toleo jipya tena mpya unapata kwa elfu themanini au laki tatu hautoona ajabu ?Mkuu kwani bei ndio kigezo pekee cha ubora wa simu?
Maana umeandika umeidharau iliposhuka bei
Ukikuta Iphone toleo jipya tena mpya unapata kwa elfu themanini au laki tatu hautoona ajabu ?
Kuna vitu vinajulikana mfano simu mpya RAM 4 na Internal 64 karibia zote kampuni kama Vivo ,Xiomi ,Infinix nk haiwi chini ya 250K sasa unakuta Oppo 4 RAM storage 128 kwa laki mbili tu ndio maana nikastuka.Halafu baada ya kuuliza baadhi wakasema hazina ubora simu za namna hiyo.
Yah ,Oppo nilikuwa naichukulia kwa uzito mkubwa japo sikuwahi kutumia ila sasa nimezishusha vyeo baada ya kuona simu kubwa zinapatikana kwa bei rahisi sana .Mkuu umezidharau kwasababu ya ubora wake au bei yake?
Inaonekana kama wakati zinatoka ulikua unaziheshimu bila kujali specifications zake
Last year gugo px 4a 5g nmechkua hata mwezi hujaisha ikazima tu. Kurudisha uzuri jamaa tunajuana, hiyo nayo mwezi hujaisha ikazima tena....hapa nayeye akanigeuka sema nkachkulia poa tu....ila hizi refub ni kama zinazngua sijui au niajeBwasheee chukua tu Google,! Utanishukuru baadaye