Kushuka bei kwa simu za oppo kariakoo shida nini?

Kushuka bei kwa simu za oppo kariakoo shida nini?

Na redmi je zenye storage kubwa ?
Mkuu Redmi mpaka 10 series zilikuwa vizuri sana, nadra kukuta ambayo specs zake ni mbaya kwa bei.
Ila kuanzia redmi 11 series walianza na wao kutoa simu nyingiii na nyengine zikawa hazina value for money.

So ushauri angalia redmi husika kwanza na bei unayo nunua. Hasa huku kwetu Tanzania ambazo zinauzwa bei kubwa kuliko bei wanayotangaza Xiaomi wenyewe.
 
N
Mkuu Redmi mpaka 10 series zilikuwa vizuri sana, nadra kukuta ambayo specs zake ni mbaya kwa bei.
Ila kuanzia redmi 11 series walianza na wao kutoa simu nyingiii na nyengine zikawa hazina value for money.

So ushauri angalia redmi husika kwanza na bei unayo nunua. Hasa huku kwetu Tanzania ambazo zinauzwa bei kubwa kuliko bei wanayotangaza Xiaomi wenyewe.
Niliishia kwenye Note 10 Pro ni simu nzuri sana kwa bei yake. Nimekaa nayo sana nikaiacha ikiwa clean, charging ni superby na battery life nzuri. Tatizo kidogo kwenye WiFi ilikuwa inabagua.

Nikitaka niende kwenye Mi ila nadhani Mi 11 Ultra sio global, hizi zilizofuatia hasa Mi13 Ultra sipendi camera bump yake kama ya Huawei P series.

Redmi bongo zinauzwa ghali ila hazipo kwa wingi. Oppo ndio simu zenye bei kubwa nashangaa wadau humu wanadai zina bei ndogo kisa A83, A37 na F1s refub. Wakiisikia Find X 6 Pro je, nayo ina camera bumb mbaya.
 
N

Niliishia kwenye Note 10 Pro ni simu nzuri sana kwa bei yake. Nimekaa nayo sana nikaiacha ikiwa clean, charging ni superby na battery life nzuri. Tatizo kidogo kwenye WiFi ilikuwa inabagua.

Nikitaka niende kwenye Mi ila nadhani Mi 11 Ultra sio global, hizi zilizofuatia hasa Mi13 Ultra sipendi camera bump yake kama ya Huawei P series.

Redmi bongo zinauzwa ghali ila hazipo kwa wingi. Oppo ndio simu zenye bei kubwa nashangaa wadau humu wanadai zina bei ndogo kisa A83, A37 na F1s refub. Wakiisikia Find X 6 Pro je, nayo ina camera bumb mbaya.
Note 13 series pengine zikarudisha hadhi ya redmi, so far zimezinduliwa za China zipo vyema, Tusubirie tuone review za Kimataifa.
 
Mkuu kwa kuwa we ni mtaalamu ni vyema ukanisaidia kuichambua kidogo.
Ni nzuri kati ya hizo mbili ila still nayo ina processor dhaifu,

Hio tecno ina core 4 za cortex A7 (core za mwaka 2011) ambazo zishapitwa na wakati na zipo slow.

Hio Oppo ina core 8 za cortex A53 ambazo ni za around 2014 hiza zina uafadhali ila still nazo ni dhaifu.

Cortex A7, A53, A55 na A510 hizi ni core ndogo na zimetengenezwa kuchukua eneo dogo na kula umeme mdogo kazi yake ni kuzisaidia core kubwa, kuzitumia zenyewe kifaa kinakua dhaifu.

Core kubwa kama A73, A73, A75, A76, A78, A710, A715, X1, X2 etc hizi ndio zinapiga kazi kwa nguvu.

Kwa simu ya kisasa yenye perfomance nzuri inakua na angalau core 2 kupanda kubwa na core kadhaa hizo ndogo kwa ajili ya kutunza chaji.

Hivyo kama unanunua simu used ama hata mpya vyema hakikisha ina core kubwa, itakusaidia kwenye matumizi ya kila siku.
 
Usithubutu kununua hakuna simu humo hiyo A kuna mwanangu alinunua mwezi wa pili now haisomi laini zote na simu inazima zima[emoji706]
 
Ni nzuri kati ya hizo mbili ila still nayo ina processor dhaifu,

Hio tecno ina core 4 za cortex A7 (core za mwaka 2011) ambazo zishapitwa na wakati na zipo slow.

Hio Oppo ina core 8 za cortex A53 ambazo ni za around 2014 hiza zina uafadhali ila still nazo ni dhaifu.

Cortex A7, A53, A55 na A510 hizi ni core ndogo na zimetengenezwa kuchukua eneo dogo na kula umeme mdogo kazi yake ni kuzisaidia core kubwa, kuzitumia zenyewe kifaa kinakua dhaifu.

Core kubwa kama A73, A73, A75, A76, A78, A710, A715, X1, X2 etc hizi ndio zinapiga kazi kwa nguvu.

Kwa simu ya kisasa yenye perfomance nzuri inakua na angalau core 2 kupanda kubwa na core kadhaa hizo ndogo kwa ajili ya kutunza chaji.

Hivyo kama unanunua simu used ama hata mpya vyema hakikisha ina core kubwa, itakusaidia kwenye matumizi ya kila siku.
Vipi mkuu kuhusu Y16 processor yake iko je?
 
N

Niliishia kwenye Note 10 Pro ni simu nzuri sana kwa bei yake. Nimekaa nayo sana nikaiacha ikiwa clean, charging ni superby na battery life nzuri. Tatizo kidogo kwenye WiFi ilikuwa inabagua.

Nikitaka niende kwenye Mi ila nadhani Mi 11 Ultra sio global, hizi zilizofuatia hasa Mi13 Ultra sipendi camera bump yake kama ya Huawei P series.

Redmi bongo zinauzwa ghali ila hazipo kwa wingi. Oppo ndio simu zenye bei kubwa nashangaa wadau humu wanadai zina bei ndogo kisa A83, A37 na F1s refub. Wakiisikia Find X 6 Pro je, nayo ina camera bumb mbaya.
Mkuu nauliza Camera bump ni nini?
 
Back
Top Bottom