Kushuka bei kwa simu za oppo kariakoo shida nini?

Kushuka bei kwa simu za oppo kariakoo shida nini?

Hamna kitu mkuu unless unaipata kwa bei chini ya laki 7.

Poco siku hizi zina value kuliko redmi, Poco F5 (redmi note 12 turbo), Poco X6 na X6 pro zote nzuri kwa bei zake.

Na kama budget inafika laki 7 ama kuzidi kidogo tafuta simu ya Snapdragon 7 gen 3, bonge la soc ni all arounder kuanzia perfomance, ukaaji chaji, camera etc ipo vizuri. So far kuna simu kama tatu, Vivo V30, Oneplus Nord CE4 na honor 100 ila nyengine kibao zinakuja.
Note 13 pro+ inacheza 1.2-1.4m kama sikosei.

Hizo nyingine shida kubwa ni upatikanaki wake hapa Bongo.
 
Hamna kitu mkuu unless unaipata kwa bei chini ya laki 7.

Poco siku hizi zina value kuliko redmi, Poco F5 (redmi note 12 turbo), Poco X6 na X6 pro zote nzuri kwa bei zake.

Na kama budget inafika laki 7 ama kuzidi kidogo tafuta simu ya Snapdragon 7 gen 3, bonge la soc ni all arounder kuanzia perfomance, ukaaji chaji, camera etc ipo vizuri. So far kuna simu kama tatu, Vivo V30, Oneplus Nord CE4 na honor 100 ila nyengine kibao zinakuja.
Mkuu nadhani kinachofanya uone Redmi Note 13 Pro+ hamna kitu ni kwa sababu unaangalia sana performance kuliko vitu vingine
Kwa matumizi ya Watanzania wengi AnTuTu score ya 600000 inawatosha kabisa kwa sababu wengi wao sio real heavy gamers kama Wahindi so 600000 score inawatosha wengi sana
Kwa matumizi ya Watanzania wengi vitu ambavyo vina make sense kwenye simu ni display, camera, speakers and just an okay performance na Redmi Note 13 Pro Plus imetimia kote huko
Mfano simu za Poco unaweza kuta ina performance kubwa sana kuliko Redmi za bei sawa Ila inapokuja kwenye camera unakuta wanazingua, so kwa Mtanzania atakuwa disappointed licha ya kupata performance ya more than 900K AnTuTu score, shida ni camera
That's why I think Redmi Note 13 Pro+ ni simu ambayo Watanzania wengi watafurahi kuitumia kuliko Poco F5 licha ya gap kubwa kwenye performance. Wengi hawana matumizi ya kuhitaji such powerful processors on Poco phones ila wengi wanayo matumizi ya kuhitaji such powerful cameras and displays on Redmi phones.
Plus Poco phones kuzipata Bongo ni mtihani
Kumbuka Samsung Galaxy A54 ilipendwa sana licha ya kuuzwa kwa laki 9 na performance ilikuwa very average ila cameras, display, etc viliteka mioyo ya wengi
Mi naona hivyo
1712327817446.jpg
 
Hamna kitu mkuu unless unaipata kwa bei chini ya laki 7.

Poco siku hizi zina value kuliko redmi, Poco F5 (redmi note 12 turbo), Poco X6 na X6 pro zote nzuri kwa bei zake.

Na kama budget inafika laki 7 ama kuzidi kidogo tafuta simu ya Snapdragon 7 gen 3, bonge la soc ni all arounder kuanzia perfomance, ukaaji chaji, camera etc ipo vizuri. So far kuna simu kama tatu, Vivo V30, Oneplus Nord CE4 na honor 100 ila nyengine kibao zinakuja.
Chief vipi Xiaomi 14 plain vs Samsung S24 plain ipi nzuri hapo
 
Mkuu Hizo ni fabricated sio Original niliwah kuiangalia moja alinunua mtu akanionyesha kwanza picha linaanza ina Operation system similar to IOS halafu yenyewe ni Android ROM ni 32 na sio 128 hizo zimeandikwa tu ila ukitaka kujua ijaze 32GB storage utaona utamu wake itakuambia low Internal storage kifupi ni fabres
wahuni hawajawahi kuwa watu wazuri walahi haahaa hio nidio karibu daslamu inaitwa vijana wanaenda kulia.
 
Mkuu nadhani kinachofanya uone Redmi Note 13 Pro+ hamna kitu ni kwa sababu unaangalia sana performance kuliko vitu vingine
Kwa matumizi ya Watanzania wengi AnTuTu score ya 600000 inawatosha kabisa kwa sababu wengi wao sio real heavy gamers kama Wahindi so 600000 score inawatosha wengi sana
Kwa matumizi ya Watanzania wengi vitu ambavyo vina make sense kwenye simu ni display, camera, speakers and just an okay performance na Redmi Note 13 Pro Plus imetimia kote huko
Mfano simu za Poco unaweza kuta ina performance kubwa sana kuliko Redmi za bei sawa Ila inapokuja kwenye camera unakuta wanazingua, so kwa Mtanzania atakuwa disappointed licha ya kupata performance ya more than 900K AnTuTu score, shida ni camera
That's why I think Redmi Note 13 Pro+ ni simu ambayo Watanzania wengi watafurahi kuitumia kuliko Poco F5 licha ya gap kubwa kwenye performance. Wengi hawana matumizi ya kuhitaji such powerful processors on Poco phones ila wengi wanayo matumizi ya kuhitaji such powerful cameras and displays on Redmi phones.
Plus Poco phones kuzipata Bongo ni mtihani
Kumbuka Samsung Galaxy A54 ilipendwa sana licha ya kuuzwa kwa laki 9 na performance ilikuwa very average ila cameras, display, etc viliteka mioyo ya wengi
Mi naona hivyoView attachment 2954681
Mkuu redmi note 13 pro plus ni bei gani? Masoko mengine inafika dola 300 sometime hadi 400 ama zaidi, hii ni bei ya upper midrange, redmi note series zilikua hata $200 hazifiki, huku kwetu unanunua laki 5 ama 6 sasa hivi zinafika milioni. Hio bei ni kubwa sana kwa unachokipata mtuu, ndio maana nchi ambazo ni Budget conscious kama India Mauzo ya Redmi yameshuka sana.

Assume wewe ni average user na unapenda Camera, 8MP ultra wide na 2Mp macro ni gimmicks, na hata hio 200Mp sio best kwenye class, kuna simu kama Oppo Reno series, realme, Infinix, etc wanaweka hadi telephoto.

Pia sd 7 gen 3 ni mziki mwengine angalia hii comparison ya ukaaji chaji.

Screenshot_20240405-182512_Pixel Launcher.png


Hio vivo ina sd 7 gen 3 imeipita kila idara 13 pro+ hivi ni vitu watu wa kawaida wanaangalia, kampuni zote hadi hao Xiaomi wenyewe wanaanza kutoa Gen 3 series za Cpu, hakuna haja ya kukomaa na Dual core soc 2024.

Pia camera ukiwa na soc nzuri ndio rahisi kupata result nzuri kwenye Gcam, maana computational photography Inategemea sana Isp ya soc.
 
Chief vipi Xiaomi 14 plain vs Samsung S24 plain ipi nzuri hapo
Zote Kali mkuu, Flagship level, zote ni visimu vidogo compact, zote same generation, angalia tu unaponunulia na bei utakayopata na Mapenzi ya brand.

Kikawaida Samsung zinapata updates kwa Wingi, miaka 7 na utapata Artifical intelligence features bure kwa miaka kama miwili hivi. Kwenye soko la kimataifa S24 itakua bei rahisi zaidi, Ubaya wake ni version ya 128GB haina ufs 4.0.

Kwa Xiaomi inaanza na 512GB storage, ila bei ndefu soko la kimataifa na bei rahisi sana kwa China.
 
Ukikuta simu ilikuwa bei juu ikapungua sana bei,mara nyingi zinakuwa kwenye mtandao wa 3G/4G .Sasa upgrade ni 5G kwa hiyo wanaziondoa sokoni kiaina!
Hiyo sio sababu. Iphone 11 kushuka ni 4g lakin huwez kuta kwa bei hiyo, samsung a series na hata s series za nyuma huwez kuta wanauza bei hiyo licha hazina 5g
 
Last year gugo px 4a 5g nmechkua hata mwezi hujaisha ikazima tu. Kurudisha uzuri jamaa tunajuana, hiyo nayo mwezi hujaisha ikazima tena....hapa nayeye akanigeuka sema nkachkulia poa tu....ila hizi refub ni kama zinazngua sijui au niaje
Kitu kikisha kuwa refub hakina uhakika ndo maana mnunuzi wa kwanza alikirudisha. Sometimes wanarekebisha kinakua kizuri lakini wakati mwingine wanarekebisha ila bado matatizo yanaendelea. So refub una nunua at your own risk. Ndo maana waauzaji wengi wa refub wasio penda shida watakuambia kabisha hii ni refub na haina guarantee
 
Mkuu redmi note 13 pro plus ni bei gani? Masoko mengine inafika dola 300 sometime hadi 400 ama zaidi, hii ni bei ya upper midrange, redmi note series zilikua hata $200 hazifiki, huku kwetu unanunua laki 5 ama 6 sasa hivi zinafika milioni. Hio bei ni kubwa sana kwa unachokipata mtuu, ndio maana nchi ambazo ni Budget conscious kama India Mauzo ya Redmi yameshuka sana.

Assume wewe ni average user na unapenda Camera, 8MP ultra wide na 2Mp macro ni gimmicks, na hata hio 200Mp sio best kwenye class, kuna simu kama Oppo Reno series, realme, Infinix, etc wanaweka hadi telephoto.

Pia sd 7 gen 3 ni mziki mwengine angalia hii comparison ya ukaaji chaji.

View attachment 2954705

Hio vivo ina sd 7 gen 3 imeipita kila idara 13 pro+ hivi ni vitu watu wa kawaida wanaangalia, kampuni zote hadi hao Xiaomi wenyewe wanaanza kutoa Gen 3 series za Cpu, hakuna haja ya kukomaa na Dual core soc 2024.

Pia camera ukiwa na soc nzuri ndio rahisi kupata result nzuri kwenye Gcam, maana computational photography Inategemea sana Isp ya soc.
Mkuu Oppo Reno series, Realme na Infinix sio Poco, hapo nilikuwa naelezea advantage za Redmi over Poco. Kwa dola 450 kama mtu anataka kamera nzuri anaweza pata hata Xiaomi 13T ila sikuitaja kwa sababu nilikuwa naongelea Poco vs Redmi. Mfano Redmi Note 13 Pro bei inakuwa juu kuliko Poco X6 kwa sababu ya kamera, Poco X6 unaipata kwa bei nzuri na performance sawa na Redmi Note 13 Pro ila una sacrifice kamera, that's why unaona Wahindi wanakimbilia Poco
India wananunua sana Poco kwa sababu wengi wana value sana performance.

Sure Vivo, Poco, Realme nk wanaoffer better specs than Redmi at the same price ila Tanzania unazitoa wapi hizo simu? Tena hizo Vivo V-series hata AliExpress unazitafuta kwa tochi. Na Realme nazo ni kuagiza China, kitu ambacho wengi hawapendelei

Halafu sometimes kuwa na SoC ambayo ni power efficient haimaanishi na battery nayo itakuwa vizuri sana kwenye chaji. Achana na hiyo Poco X6 Pro au Redmi Note 13 4G, angalia midrange nyingi za sasa za Redmi na Poco mfano Poco X6 na Redmi Note 13 Pro zenye Snapdragon 7s gen 2, au Redmi Note 13 5G yenye MediaTek Dimensity 6080, zote hizi zina SoC nzuri ila hazijafanya vyema kama inavyotakiwa kwenye kutunza chaji. Achana na midrange njoo kwenye flagship, Xiaomi 14 Ultra ina Snapdragon 8 Gen 3 ila ukaaji wa chaji ni mbovu kama Google Pixel tu. Bora tuache reviews ndio zi-determine simu ipi inakaa na chaji ila sio kuangalia SoC
Unaweza hukimbilia simu yenye SoC fulani ukiamini kuwa ina performance kubwa na inadumu kwa chaji ukaambulia performance tu halafu kwenye chaji ukabaki unashangaa
 
Niko na Oppo Reno 5 Iko vizuri sana, Wala Haina Tatizo mpaka Leo
Kule China kina viwanda Kanjanja wanazalisha Fake Versions hadi za Samsung. Nina wasi wasi na hizo kampuniz zingine wamevamia.

Wafanya biashara wasio waminifu wanasubiri Toleo original likimaribia kuisha sokoni wanaenda kuzoa hizo mbovu wanaleta kwa bei kitonga......wanatupiga sana
 
Mkuu Oppo Reno series, Realme na Infinix sio Poco, hapo nilikuwa naelezea advantage za Redmi over Poco. Kwa dola 450 kama mtu anataka kamera nzuri anaweza pata hata Xiaomi 13T ila sikuitaja kwa sababu nilikuwa naongelea Poco vs Redmi. Mfano Redmi Note 13 Pro bei inakuwa juu kuliko Poco X6 kwa sababu ya kamera, Poco X6 unaipata kwa bei nzuri na performance sawa na Redmi Note 13 Pro ila una sacrifice kamera, that's why unaona Wahindi wanakimbilia Poco
India wananunua sana Poco kwa sababu wengi wana value sana performance.

Sure Vivo, Poco, Realme nk wanaoffer better specs than Redmi at the same price ila Tanzania unazitoa wapi hizo simu? Zaidi ni kuagiza China kitu ambacho wengi hawapendelei

Halafu sometimes kuwa na SoC ambayo ni power efficient haimaanishi na battery nayo itakuwa vizuri sana kwenye chaji. Achana na hiyo Poco X6 Pro au Redmi Note 13 4G, angalia midrange nyingi za sasa za Redmi na Poco mfano Poco X6 na Redmi Note 13 Pro zenye Snapdragon 7s gen 2, au Redmi Note 13 5G yenye MediaTek Dimensity 6080, zote hizi zina SoC nzuri ila hazijafanya vyema kama inavyotakiwa kwenye kutunza chaji. Achana na midrange njoo kwenye flagship, Xiaomi 14 Ultra ina Snapdragon 8 Gen 3 ila ukaaji wa chaji ni mbovu kama Google Pixel tu. Bora tuache reviews ndio zi-determine simu ipi inakaa na chaji ila sio kuangalia SoC
Unaweza hukimbilia simu yenye SoC fulani ukiamini kuwa ina performance kubwa na inadumu kwa chaji ukaambulia performance tu halafu kwenye chaji ukabaki unashangaa
Dimensity 6080 ni soc ya kizamani kweli imekuwa tu rebranded na 7S imetengenezwa na Samsung node, haiwezi fikia Tsmc 4nm, zote core zake sio as Efficient as D7200.

Pia Ukumbuke mkuu D7200 ina core 2 tu kubwa na core 6 ndogo in theory ilitakiwa iwe top kwenye ukaaji chaji. So kupitwa na 7 gen 3 in thoery haimake sense na inaonesha jinsi gani Qualcomm walivyo I optimize.

Hebu chukua Poco X6 pro mkuu ambayo bado ni rahisi kuliko hio redmi note 13 pro+

1. Kama nilivyoeka juu inakaa na Chaji zaidi
2. Dimensity 8300 is way powerfull zaidi ya mara 2 ya Dimensity 7200
3. Poco X6 pro inatumia ufs 4.0 very fast storage itakua smooth day to day compare na
4. Simu zote mbili zinatumia display moja
5. Tu assume Poco X6 pro camera yake ina lose kwa 13p+

Is worth it kulipia 13P+ for slightly better camera na ku ignore mambo mengine?
 
Dimensity 6080 ni soc ya kizamani kweli imekuwa tu rebranded na 7S imetengenezwa na Samsung node, haiwezi fikia Tsmc 4nm, zote core zake sio as Efficient as D7200.

Pia Ukumbuke mkuu D7200 ina core 2 tu kubwa na core 6 ndogo in theory ilitakiwa iwe top kwenye ukaaji chaji. So kupitwa na 7 gen 3 in thoery haimake sense na inaonesha jinsi gani Qualcomm walivyo I optimize.

Hebu chukua Poco X6 pro mkuu ambayo bado ni rahisi kuliko hio redmi note 13 pro+

1. Kama nilivyoeka juu inakaa na Chaji zaidi
2. Dimensity 8300 is way powerfull zaidi ya mara 2 ya Dimensity 7200
3. Poco X6 pro inatumia ufs 4.0 very fast storage itakua smooth day to day compare na
4. Simu zote mbili zinatumia display moja
5. Tu assume Poco X6 pro camera yake ina lose kwa 13p+

Is worth it kulipia 13P+ for slightly better camera na ku ignore mambo mengine?
Poco X6 Pro ni simu nzuri sana kuliko Redmi Note 13 Pro+ nakuelewa, ila shida hizo simu utazitolea wapi Bongo hii?

Sisemi Redmi Note 13 Pro+ ni bora kuliko Poco X6 Pro ila pia usiseme "Is it worth it kulipia Note 13 Pro for slightly better camera na ku-ignore mambo mengine?" maana hii statement inakaa kama vile Redmi Note 13 Pro+ ukitoa camera haina kitu mbele ya Poco X6 Pro
  • Redmi N13P+ ni waterproof (IP68) Poco ni
  • Redmi inasupport 120W charging, Poco ni 67W
  • Display ya Redmi 12% brighter than Poco X6 Pro
  • Redmi Note 13 Pro Plus inasupport eSIM
  • Ukaaji wa chaji, yeah Poco iko juu ila marks za gsmarena tests ni kulingana na namna yao tu ya kucalculate ndio results zinakuwa hivyo, ukija kwenye SOT sidhani kama hizo simu zinapishana parefu hivyo

Ila Of course sababu za kufanya Poco X6 Pro kuwa better than Redmi Note 13 Pro Plus ni nyingi sana kuliko z Redmi kuwa better than Poco, ila Kariakoo utazipata wapi? Redmi Note 13 Pro Plus zimejaa kila kona. Labda Redmi watke model ambayo ita rebrand Poco X6 Pro ndio utazikuta zimejaa Kariakoo and that's so unlikely to happen.

Poco, Realme, Vivo V Series na wachina wengine wana better specs than Redmi at the same price ila zina make sense kama utanunua kutoka China, hapa Tz tuna machaguo machache sana
 
Poco X6 Pro ni simu nzuri sana kuliko Redmi Note 13 Pro+ nakuelewa, ila shida hizo simu utazitolea wapi Bongo hii?

Sisemi Redmi Note 13 Pro+ ni bora kuliko Redmi Note 13 Pro+ ila pia usiseme "Is it worth it kulipia Note 13 Pro for slightly better camera na ku-ignore mambo mengine?" maana hii statement inakaa kama vile Redmi Note 13 Pro+ ukitoa camera haina kitu mbele ya Poco X6 Pro
  • Redmi N13P+ ni waterproof (IP68) Poco ni
  • Redmi inasupport 120W charging, Poco ni 67W
  • Display ya Redmi 12% brighter than Poco X6 Pro
  • Redmi Note 13 Pro Plus inasupport eSIM
  • Ukaaji wa chaji, yeah Poco iko juu ila marks za gsmarena tests ni kulingana na namna yao tu ya kucalculate ndio results zinakuwa hivyo, ukija kwenye SOT sidhani kama hizo simu zinapishana parefu hivyo

Ila Of course sababu za kufanya Poco X6 Pro kuwa better than Redmi Note 13 Pro Plus ni nyingi sana kuliko z Redmi kuwa better than Poco, ila Kariakoo utazipata wapi? Redmi Note 13 Pro Plus zimejaa kila kona. Labda Redmi watke model ambayo ita rebrand Poco X6 Pro ndio utazikuta zimejaa Kariakoo and that's so unlikely to happen.

Poco, Realme, Vivo V Series na wachina wengine wana better specs than Redmi at the same price ila zina make sense kama utanunua kutoka China, hapa Tz tuna machaguo machache sana
Kwani mkuu redmi note 13p+ ipo official kabisa? Si wafanyabiashara tu wanaleta? Xiaomi Tanzania unapata Tu zile lowend Tigoshop otherwise upigwe na wafanyabiashara ama uagizishie mwenyewe online.

Test mpya ya Gsmarena ina SOT, na simu zote mbili zina display moja hadi max Brightness ni moja.
 
Kwani mkuu redmi note 13+ ipo official kabisa? Si wafanyabiashara tu wanaleta? Xiaomi Tanzania unapata Tu zile lowend Tigoshop otherwise upigwe na wafanyabiashara ama uagizishie mwenyewe online.
Sasa Poco hata hao wafanyabiashara hawazileti
 
Hizo note takataka ,simu ni Samsung ,Apple ,Sony na Nokia
Ungetaja models badala ya kampuni ningeona umeongea kitu cha maana

Sony leo hii anaachwa mbali na makampuni ya kichina, kisa umeona Redmi Note 13 Pro Plus imekuwa dissed ndio unasema Note hamna kitu? Unaijua Redmi Note 12 Turbo? Kwa bei yake unapata Sony gani kuizidi?

Halafu Nokia???? Seriously? Nokia (HMD) leo hii anapitwa hadi na Tecno na Infinix kwa kutoa simu nzuri. Kama huko kwao Finland hazipo hata top 5 ya simu zinazotumika sana nchini humo ndio ataiweza international competition? Product za Nokia sio competitive hata kidogo.

Redmi Note zinakuwa challenged na midrange za Poco ambao nao ni Xiaomi wenyewe na Wachina wenzake, maybe na Samsung A series ila sio Sony wala Nokia

Apple atakuwa juu ukiongelea flagships ila kwenye midrange naye anapuyanga tu. iPhone SE zinakuja na outdated design, horrible 60Hz displays na very uncompetitive pricing. Apple abaki kwenye flagship tu, huku kwenye midrange kumemshinda
 
Xiaomi sio kampuni ya kuiamini wanachomeka matangazo kwenye UI yao ovyo kabisa, hardware ni nzuri ila siwezi kuwaamini tena haichelewi kuingia update inayoleta matangazo.
 
Xiaomi sio kampuni ya kuiamini wanachomeka matangazo kwenye UI yao ovyo kabisa, hardware ni nzuri ila siwezi kuwaamini tena haichelewi kuingia update inayoleta matangazo.
Ads? Unaweza kuzidisable. Kama Kuna app zinakuletea ads unaweza pia kuzizuia kutumia internet. Ni kitu cha dakika 2 tu na hutoona tena ads
 
Back
Top Bottom