Kushuka bei kwa simu za oppo kariakoo shida nini?

Kushuka bei kwa simu za oppo kariakoo shida nini?

Ni nzuri kati ya hizo mbili ila still nayo ina processor dhaifu,

Hio tecno ina core 4 za cortex A7 (core za mwaka 2011) ambazo zishapitwa na wakati na zipo slow.

Hio Oppo ina core 8 za cortex A53 ambazo ni za around 2014 hiza zina uafadhali ila still nazo ni dhaifu.

Cortex A7, A53, A55 na A510 hizi ni core ndogo na zimetengenezwa kuchukua eneo dogo na kula umeme mdogo kazi yake ni kuzisaidia core kubwa, kuzitumia zenyewe kifaa kinakua dhaifu.

Core kubwa kama A73, A73, A75, A76, A78, A710, A715, X1, X2 etc hizi ndio zinapiga kazi kwa nguvu.

Kwa simu ya kisasa yenye perfomance nzuri inakua na angalau core 2 kupanda kubwa na core kadhaa hizo ndogo kwa ajili ya kutunza chaji.

Hivyo kama unanunua simu used ama hata mpya vyema hakikisha ina core kubwa, itakusaidia kwenye matumizi ya kila siku.
[emoji120][emoji120][emoji120]
 
Kwanza mkuu Oppo ni waanzilishi wa kuweka ram kubwa na storage Kubwa pamoja na viprocessor vidogo.

Mfano wa simu hizo za Bei rahisi ni kama Oppo A83 unakuta storage 128GB lakini processor ni Helio P23 ambayo ni kimeo. Kama wewe ni wale ambao kigezo cha ubora wa simu ni ukubwa wa storage umeenda na maji.

Pili storage zinakuwa sio za kisasa, ukiangalia hio hio Oppo A83 inatumia Emmc storage.

Tatu specs nyengine za kawaida vitu kama Display unakuta ni 720p tu.

Hivyo toka mwanzo hio simu ni lowend iliwekwa tu memory kubwa kudaka watu wasioelewa simu, sasa hivi imekua used ndio maana imeshuka sana thamani.
Na uzi ufungwe kwa comment hii, umemaliza Chief.
 
Ni nzuri kati ya hizo mbili ila still nayo ina processor dhaifu,

Hio tecno ina core 4 za cortex A7 (core za mwaka 2011) ambazo zishapitwa na wakati na zipo slow.

Hio Oppo ina core 8 za cortex A53 ambazo ni za around 2014 hiza zina uafadhali ila still nazo ni dhaifu.

Cortex A7, A53, A55 na A510 hizi ni core ndogo na zimetengenezwa kuchukua eneo dogo na kula umeme mdogo kazi yake ni kuzisaidia core kubwa, kuzitumia zenyewe kifaa kinakua dhaifu.

Core kubwa kama A73, A73, A75, A76, A78, A710, A715, X1, X2 etc hizi ndio zinapiga kazi kwa nguvu.

Kwa simu ya kisasa yenye perfomance nzuri inakua na angalau core 2 kupanda kubwa na core kadhaa hizo ndogo kwa ajili ya kutunza chaji.

Hivyo kama unanunua simu used ama hata mpya vyema hakikisha ina core kubwa, itakusaidia kwenye matumizi ya kila siku.
Kuna mahali nimeona wanauza kwa laki na 20 kwa hiyo bei si inaendana kabisa na specifications zake ausio?

Nahitaji nimchukulie wife kwa matumizi ya hapa na pale
 
Mkuu nauliza Camera bump ni nini?
Sehemu ya camera iliyojitokeza. Ile unaona watu wanaita iPhone macho matatu, lile umbo la uvimbe pale nyuma yaliyo hayo macho matatu. Kwingine simu inakuwa smooth.
Pane_for_Camera_Bumps_-_Camera_Bump_Protector_for_Samsung_Galaxy_-_Curved_Edges_1400x.jpg
 
Kuna mahali nimeona wanauza kwa laki na 20 kwa hiyo bei si inaendana kabisa na specifications zake ausio?

Nahitaji nimchukulie wife kwa matumizi ya hapa na pale
Kwa Sony/Sharp unaweza pata flagship ya Zamani kwa hio bei, kama hajali umbo la simu. Ila kama hana matumizi mengi hata hizo core ndogo sio mbaya kwa hio bei,
 
Kwanza mkuu Oppo ni waanzilishi wa kuweka ram kubwa na storage Kubwa pamoja na viprocessor vidogo.

Mfano wa simu hizo za Bei rahisi ni kama Oppo A83 unakuta storage 128GB lakini processor ni Helio P23 ambayo ni kimeo. Kama wewe ni wale ambao kigezo cha ubora wa simu ni ukubwa wa storage umeenda na maji.

Pili storage zinakuwa sio za kisasa, ukiangalia hio hio Oppo A83 inatumia Emmc storage.

Tatu specs nyengine za kawaida vitu kama Display unakuta ni 720p tu.

Hivyo toka mwanzo hio simu ni lowend iliwekwa tu memory kubwa kudaka watu wasioelewa simu, sasa hivi imekua used ndio maana imeshuka sana thamani.
Naunga mkono hoja 👍👏
 
habari zenu wana JF, hivi karibuni nimeshuhudia poromosheni kubwa ya simu za kampuni ya oppo hasa zile za A series , unakuta internal storage 128, RAM 6, Qualcomm and octa core processor , ambapo simu zenye specifications hizo ziliuzwa bei kubwa sana lakini sasa zinauzwa 95,0000 hadi 100,000 je tatizo nini na kuna mapungufu gani katika simu hizo? Kwa wataalamu tujuzeni tuelewe.

Natanguliza shukrani zenu wakuu uzi utembee huu
Betri baba utakuta ni kimeo mfano ukute betri ina 3000mah au 2700mah hapo lazima iuzwe bei hiyo harafu ukute ni used ya mwaka 2016 au 2017 au haya 2018
 
N

Niliishia kwenye Note 10 Pro ni simu nzuri sana kwa bei yake. Nimekaa nayo sana nikaiacha ikiwa clean, charging ni superby na battery life nzuri. Tatizo kidogo kwenye WiFi ilikuwa inabagua.

Nikitaka niende kwenye Mi ila nadhani Mi 11 Ultra sio global, hizi zilizofuatia hasa Mi13 Ultra sipendi camera bump yake kama ya Huawei P series.

Redmi bongo zinauzwa ghali ila hazipo kwa wingi. Oppo ndio simu zenye bei kubwa nashangaa wadau humu wanadai zina bei ndogo kisa A83, A37 na F1s refub. Wakiisikia Find X 6 Pro je, nayo ina camera bumb mbaya.
Mkuu, Xiaomi ana simu nyingi tu nzuri, sio lazima ununue Ultra series. Usipopenda mwonekano wa 13 Ultra, tafuta nyingine
Kuna simu zao nyingi tu zisizo na camera bump kubwa kama Mi 13 Ultra. Mfano
*Xiaomi 13
*Xiaomi 13 Pro
*Xiaomi 12T
*Xiaomi 12T Pro
*Xiaomi 13T
*Xiaomi 13T Pro
*Xiaomi 12S
*Xiaomi 12S Pro
*Xiaomi Redmi Note 12 Turbo/Poco F5
*Xiaomi Redmi Note 13 Pro
*Xiaomi Redmi Note 13 Pro+, nk

Hapo Xiaomi 14 na Xiaomi 14 Pro zinakuwa released globally mwakani. Sidhani katika simu zote hizo za Xiaomi utakosa inayokufaa
 
Hiyo ni kweli hata mimi nimeanza kudharau Oppo kwa sasa na kuona bora hata Infinix ,maana kuna mtu nilimkuta na Oppo specifications zake za hadhi ya juu ila bei ya mboga gadi nikashangaa.
Hapo umeconsider low end tu
Ukija kwenye flagship Infinix hagusi hata nusu ya Oppo
 
Kwanza mkuu Oppo ni waanzilishi wa kuweka ram kubwa na storage Kubwa pamoja na viprocessor vidogo.

Mfano wa simu hizo za Bei rahisi ni kama Oppo A83 unakuta storage 128GB lakini processor ni Helio P23 ambayo ni kimeo. Kama wewe ni wale ambao kigezo cha ubora wa simu ni ukubwa wa storage umeenda na maji.

Pili storage zinakuwa sio za kisasa, ukiangalia hio hio Oppo A83 inatumia Emmc storage.

Tatu specs nyengine za kawaida vitu kama Display unakuta ni 720p tu.

Hivyo toka mwanzo hio simu ni lowend iliwekwa tu memory kubwa kudaka watu wasioelewa simu, sasa hivi imekua used ndio maana imeshuka sana thamani.
Nje ya mada
Hivi mkuu huoni kama sikuhizi Samsung kwenye foldables anapitwa na Wachina. Mfano nimeona Oppo Find N3 (China) au One Plus Open (Global) zina kamera nzuri zaidi kushinda Z Fold 5, bei rahisi zaidi, design nzuri, utunzaji wa chaji mzuri kushinda Z Fold 5 na unique software ambayo imefanikiwa ku-utilize matumizi ya screen kubwa.
Hapo bado kuna Vivo X Fold 2 na Xiaomi Mix Fold 3 ambazo kwa sasa zipo China tu

Samsung ndio kaanza kutengeneza haya mambo, Wachina wameanza juzijuzi tu ila nashangaa naona kama foldable za China ni bora kuliko za Samsung, shida itakuwa nini
 
Nje ya mada
Hivi mkuu huoni kama sikuhizi Samsung kwenye foldables anapitwa na Wachina. Mfano nimeona Oppo Find N3 (China) au One Plus Open (Global) zina kamera nzuri zaidi kushinda Z Fold 5, bei rahisi zaidi, design nzuri, utunzaji wa chaji mzuri kushinda Z Fold 5 na unique software ambayo imefanikiwa ku-utilize matumizi ya screen kubwa.
Hapo bado kuna Vivo X Fold 2 na Xiaomi Mix Fold 3 ambazo kwa sasa zipo China tu

Samsung ndio kaanza kutengeneza haya mambo, Wachina wameanza juzijuzi tu ila nashangaa naona kama foldable za China ni bora kuliko za Samsung, shida itakuwa nini
kila mtu ana materials yake
 
Nje ya mada
Hivi mkuu huoni kama sikuhizi Samsung kwenye foldables anapitwa na Wachina. Mfano nimeona Oppo Find N3 (China) au One Plus Open (Global) zina kamera nzuri zaidi kushinda Z Fold 5, bei rahisi zaidi, design nzuri, utunzaji wa chaji mzuri kushinda Z Fold 5 na unique software ambayo imefanikiwa ku-utilize matumizi ya screen kubwa.
Hapo bado kuna Vivo X Fold 2 na Xiaomi Mix Fold 3 ambazo kwa sasa zipo China tu

Samsung ndio kaanza kutengeneza haya mambo, Wachina wameanza juzijuzi tu ila nashangaa naona kama foldable za China ni bora kuliko za Samsung, shida itakuwa nini
Release circle, flagship zinazotoka Sasa zinatoka na tech mpya, Soc mpya, display mpya, Camera mpya etc subiria Mwezi mmoja Samsung naye akitoa flagship zake mpya utafanya comparison nzuri.

Pia toka zamani Samsung sio Kampuni ambayo inakupa Kila kitu Cha Hali ya juu, Hawa jamaa ni all arounder, wanakupa vitu vingi kuliko kitu kimoja kwa Quality ya juu.
 
duh aseeeeeeeeeeeeeeeee sasa mamlaka za serikali haziliono hili tatizo au mpaka madhara yanekane
 
Vipi Redmi Note 13 Pro+ unaionaje kwa bei yake?!
Hamna kitu mkuu unless unaipata kwa bei chini ya laki 7.

Poco siku hizi zina value kuliko redmi, Poco F5 (redmi note 12 turbo), Poco X6 na X6 pro zote nzuri kwa bei zake.

Na kama budget inafika laki 7 ama kuzidi kidogo tafuta simu ya Snapdragon 7 gen 3, bonge la soc ni all arounder kuanzia perfomance, ukaaji chaji, camera etc ipo vizuri. So far kuna simu kama tatu, Vivo V30, Oneplus Nord CE4 na honor 100 ila nyengine kibao zinakuja.
 
Back
Top Bottom