Kang
JF-Expert Member
- Jun 24, 2008
- 5,655
- 2,506
Hizi ads ni za Xiomi ambazo zinatokea kwenye UI yao sio kwenye Apps.Ads? Unaweza kuzidisable. Kama Kuna app zinakuletea ads unaweza pia kuzizuia kutumia internet. Ni kitu cha dakika 2 tu na hutoona tena ads
Siwezi kuamini kampuni inayoweka ads kwenye UI disable or not, hata hiyo option ya kudisable wanaweza kuamua kuifuta.