Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
Wazee wa Marathon na GAWIO enzi za JiweUsijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha. Dunia ya Leo imejaa Statistcial analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
wanabahatisha???? Kivipi????Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha. Dunia ya Leo imejaa Statistcial analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
Pole chiefUsijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha. Dunia ya Leo imejaa Statistcial analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
Umeeleza ukweli mtupu. Niliwahi kupata nafasi ya kuongea na maafisa wa TCU nikawaambie kwasasa Elimu ya Tanzania inaharibiwa na nyie wasimamizi ya Elimu ya juu.Taasisi za elimu za Tanzania katika uendeshaji wake wa kitaaluma huwa zinaamini katika kumbana mwanafunzi na kumdhibiti asionyeshe uwezo wake personally ambao anao katika hiyo principle anayosomea...
Sasa nini kifanyike maana modules tuu na kukariri madesa ndio elimu yetu halafu mtuu anatoka hapo mnasema ana degrees sijui masterUmeeleza ukweli mtupu. Niliwahi kupata nafasi ya kuongea na maafisa wa TCU nikawaambie kwasasa Elimu ya Tanzania inaharibiwa na nyie wasimamizi ya Elimu ya juu. ...
Ha ha ha ha ,unashangaa mtu ana degree ya miaka 4 ya uhandisi lakini ukimwambie mambo anashindwa. Mimi nalia na TCU wabadilishe mifumo hiiSasa nini kifanyike maana modules tuu na kukariri madesa ndio elimu yetu halafu mtuu anatoka hapo mnasema ana degrees sijui master
Kama vipi kasome PhD ya Kiswahili SUZAUsijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha. Dunia ya Leo imejaa Statistcial analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
SUZA Unguja Main campus?Kama vipi kasome PhD ya Kiswahili SUZA