Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
 
Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
Hahahaa nakumbuka kipindi Prof. Adolf Mkenda waziri wa elimu kipindi hicho akiwa mkuu wa idara ya uchumi kuna mdada mmoja alikuwa mwanafunzi Ph.D Economics kutoka Kenya aliangua kilio ofisini kwake baada kupewa stress za kutosha na supervisor wake nafikiri alikuwa Pro. Nehemia Osoro.
 
Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
Una hoja, usikilizwe
 
Kuna jamaa yangu huwa anasema anapenda awe anavaa magwanda ya kijeshi ila asichotaka ni kupitia training ya jeshi. Watu wengi wanataka vyeti toka UDSM ila kupita kwenye lile tanuru la moto wa UDSM hawataki. UDSM wakisikiliza upuuzi wa vilaza watashusha thamani yao. Hakuna mtanzania asiyetaka atunukiwe cheti toka UDSM. Kama unataka degree ya UDSM inabidi upambane.
 
Pia hata huko kuna vyuo moto unawaka. Marekani ivy league zote kupata Ph.D sio masikhara lazima uwe na kichwa cha moto sana. Uingereza vyuo vitatu moto unawaka pia Oxford, Cambridge na LSE hivyo vingine ukishindwa kumaliza ndani ya miaka 3 unakuwa umezingua mwenyewe.
Umefanya utafiti Gani kujua kuwa Uingereza Kuna vyuo vitatu tu vigumu? Unalinganisha Uingereza na Kenya au? Unajua Uingereza Kuna vyuo vikuu vingapi? Kule hakuna chuo Cha level ya yuudom Wala tumaini(ivi hiki chuo mbn Kiko kimya sana siku izi?)
 
Back
Top Bottom