Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haswaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]YUDIZIMU haijawahi kuwa rafiki kwa wazembe na Vilaza. Pita hukuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23]Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]YUDIZIMU haijawahi kuwa rafiki kwa wazembe na Vilaza. Pita hukuuuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
[emoji3][emoji3][emoji3]Haswaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli eti, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3]
Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
100%correct.YUDIZIMU haijawahi kuwa rafiki kwa wazembe na Vilaza. Pita hukuuuu
Hakuna lolote, mmejaa mavilaza tu pale kama vyuo vingine nchini.100%correct.
UDSM sio chuo cha kata, pale ukienda kusoma hata certificate ujipange.
Hahahaa nakumbuka kipindi Prof. Adolf Mkenda waziri wa elimu kipindi hicho akiwa mkuu wa idara ya uchumi kuna mdada mmoja alikuwa mwanafunzi Ph.D Economics kutoka Kenya aliangua kilio ofisini kwake baada kupewa stress za kutosha na supervisor wake nafikiri alikuwa Pro. Nehemia Osoro.Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
Pia hata huko kuna vyuo moto unawaka. Marekani ivy league zote kupata Ph.D sio masikhara lazima uwe na kichwa cha moto sana. Uingereza vyuo vitatu moto unawaka pia Oxford, Cambridge na LSE hivyo vingine ukishindwa kumaliza ndani ya miaka 3 unakuwa umezingua mwenyewe.Masters phD sio za kusomea bongo
Una hoja, usikilizweTatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
Umefanya utafiti Gani kujua kuwa Uingereza Kuna vyuo vitatu tu vigumu? Unalinganisha Uingereza na Kenya au? Unajua Uingereza Kuna vyuo vikuu vingapi? Kule hakuna chuo Cha level ya yuudom Wala tumaini(ivi hiki chuo mbn Kiko kimya sana siku izi?)Pia hata huko kuna vyuo moto unawaka. Marekani ivy league zote kupata Ph.D sio masikhara lazima uwe na kichwa cha moto sana. Uingereza vyuo vitatu moto unawaka pia Oxford, Cambridge na LSE hivyo vingine ukishindwa kumaliza ndani ya miaka 3 unakuwa umezingua mwenyewe.