Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

[emoji2][emoji2] unaweza kufa kabisa Kwa depression hafu ukija makazini unaona chuoni ulikuwa una soma ujinga. Nawashauri watu wasi rely kwenye haya madesa yetu wawe wanaingia online au YouTube kusoma classes ya mambo Yao ili wawe deep, hii ya udsm watakupa stress na kitu ambacho relevance yake kazini ni ndogo mno
Kwahiyo walitaka kukuua presha
Ukataka hadi ujiue🤣🤣🤣🤣

Lakini hizi complications ni vyuo vyote vya Tanzania..
Hasa vya serikali..
Wanaona raha kumkomoa mwanafunzi.
 
Staki kukumbuka jinsi shule ya udsm ilivonitesa na hyo research walimu wamekumbatia ujinga nusu nijiue hafu kuja kazini aisee research ya huko rahisi waweza enda hata wilaya within short time na report ikakamilika. Udsm wabadilike waache ushenzi
... duh; pole sana hadi kuwaza hivyo seems waliku-harass sana! Hilo li-supervisor litaje vyombo husika vilifungulie kesi ya ku-harass jinsia. Mbaya sana.
 
Dear usicheke udsm ni washenzi hawajali time management unasoma masters yako Hadi unapata depression unavohangaika kusafiri kutoka mkoani na kulia Lia ndio furaha zao. Huku extension fee kubwa, shoga angu Hadi nusu mimba imuue kisa stress.
So udsm sio swala la akili Kuna tatizo la wahadhiri kukaa na kazi yako hata miezi minne no one cares
Sure..
Naona wengi wanambeza jamaa kwamba ni kilaza.


Mimi ndugu yangu undergraduate amesoma hapohapo.
Na postgraduate pia,,ila hiyo postgraduate hadi ameipata ni amesoma🤣,almost 4 yrs.

Unampelekea kazi supervisor mara hayupo,mara amesafiri,yaani excuses kibao.
Na mtu anasoma hapo ana familia,,,unazidi mpotezea Muda.
 
Sure..
Naona wengi wanambeza jamaa kwamba ni kilaza.


Mimi ndugu yangu undergraduate amesoma hapohapo.
Na postgraduate pia,,ila hiyo postgraduate hadi ameipata ni amesoma[emoji1787],almost 4 yrs.

Unampelekea kazi supervisor mara hayupo,mara amesafiri,yaani excuses kibao.
Na mtu anasoma hapo ana familia,,,unazidi mpotezea Muda.
Wengi hawajui hicho mtu postgraduate anajua anachokifanya kabisa na wengi hukesha library tatizo ni wahadhiri. Sasa mtu anakaa na kazi miezi miwili akurudishie Tena ufanye kukurudishia Tena mwezi mda unakuwa unaenda tu wao hawajali Wala Nini, na ukiwa mkoani ukituma softcopy wasaishe online wahadhiri wengine hawajui wanataka kazi ya paper tu. In short pale swala sio ukilaza ni jinsi ya udsm ikificha research wahadhiri hawana mda wanafunzi wanakuwa ka yatima. Nenda pale uone watu wanavolia Tena watu wazima wenye familia zao na chuo hawana mda.
 
Kwahiyo walitaka kukuua presha
Ukataka hadi ujiue[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Lakini hizi complications ni vyuo vyote vya Tanzania..
Hasa vya serikali..
Wanaona raha kumkomoa mwanafunzi.
Nilichoka kweli yani hafu saa nyingine ilisharekebishwa yule mtu hasemi anakurudishia tu haijaguswa ili usumbuke.
Watanzania tupunguze kutesana tuwe problem solver if you can help someone please rahisisheni maisha.
Hafu ma classmate wangu niliwaacha wanateseka mpaka Leo wake zao kulia tu. Huyo mmoja alitakiwa aongeze elimu apande cheo mpaka Leo hola Huwa anajipigia zake bia [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Kule hakufai na ni complicator mno hawatoi urahisi Kwa wanafunzi. Uzuri walitutafta tutoe maoni waboreshe Nini kwenye mitaala ya vyuo vikuu.
Hafu pia naona ukifanya na wAzungu Raha ni waelewa hata ka hujui wanakusaidia Hawa ma Dr na prof wanakuzalilisha tu Yani ni kero
Mbna naogopaa, maana nataka kuunga moja kwa moja
 
Nilichoka kweli yani hafu saa nyingine ilisharekebishwa yule mtu hasemi anakurudishia tu haijaguswa ili usumbuke.
Watanzania tupunguze kutesana tuwe problem solver if you can help someone please rahisisheni maisha.
Hafu ma classmate wangu niliwaacha wanateseka mpaka Leo wake zao kulia tu. Huyo mmoja alitakiwa aongeze elimu apande cheo mpaka Leo hola Huwa anajipigia zake bia [emoji2][emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie mnanitishaa mbna nataka kuunga moja kwa moja, uwiiiiih
 
Mimi nipo mbioni kuanza hapohapo..
Ila hili la usumbufu ni kweli.


Dada yangu amesoma hapo postgraduate,alikiona cha moto..
Na hapo angalau yeye alikuwa na afadhali, Supervisor wake alikuwa na ubinadamu yule Baba.
Wenzie waliosimamiwa na wengine ni miaka minne wamesota sana hadi kumaliza🙌,wengine wakaamua kuacha.
Sasa shule gani ya kifala hivi kama unatafuta ufalme wa mbinguni, kumbe li cheti la hapo jalalani.

Wakati graduate wao na ma_prof/drs hamna maajabu wanafanya huku mtaani, yaani impact zero.
 
... na huo ujingaa upo zaidi kwa supervisors wa kiume; ukimpata profesa jinsia ya kike at least wana nafuu.
Shida pale kazi yako ikienda Kwa internal wa kiume in short wameweka usumbufu usio na tija. Taasisi ikiona mambo hayaendi why msiite mwanafunzi aeleze changamoto na ni wapi afanye amalize.
Ardhi university wao wanajitahidi mwanafunzi ukilega wanakuuliza tatizo ni Nini na wanakupa back up umalize mapema.
 
Mimi nipo mbioni kuanza hapohapo..
Ila hili la usumbufu ni kweli.


Dada yangu amesoma hapo postgraduate,alikiona cha moto..
Na hapo angalau yeye alikuwa na afadhali, Supervisor wake alikuwa na ubinadamu yule Baba.
Wenzie waliosimamiwa na wengine ni miaka minne wamesota sana hadi kumaliza[emoji119],wengine wakaamua kuacha.
Anza tu usiogope Wala Nini utatoboa ila waliotoka vyuo vingine huteseka kuanzia assignments si mchezo,mwaka mmoja wa course work ni sawa na miaka 3 ya undergraduate. Assignment zote ni wewe na desa nilikuwaga silali.
So nenda ukiamini utatoboa
 
Back
Top Bottom