cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Wee dear sitaweza mie, khaaahUna komaa kibishi bishi hivo hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee dear sitaweza mie, khaaahUna komaa kibishi bishi hivo hivo
Wengi wetu ile heshima kwamba ameunga UD hadi mwisho..Sasa shule gani ya kifala hivi kama unatafuta ufalme wa mbinguni, kumbe li cheti la hapo jalalani.
Wakati graduate wao na ma_prof/drs hamna maajabu wanafanya huku mtaani, yaani impact zero.
Yaani acha tu[emoji1787]Nilichoka kweli yani hafu saa nyingine ilisharekebishwa yule mtu hasemi anakurudishia tu haijaguswa ili usumbuke.
Watanzania tupunguze kutesana tuwe problem solver if you can help someone please rahisisheni maisha.
Hafu ma classmate wangu niliwaacha wanateseka mpaka Leo wake zao kulia tu. Huyo mmoja alitakiwa aongeze elimu apande cheo mpaka Leo hola Huwa anajipigia zake bia [emoji2][emoji2][emoji2]
Unga tu Coca wetu,Mbna naogopaa, maana nataka kuunga moja kwa moja
Hapanaaa kwa kweli, 3 had 4?Unga tu Coca wetu,
Maisha ndo hayahaya
Ila Tenga miaka mingine kuanzia mitatu hadi minne ya stress.
Wakati mzuri ni sasaAnza tu usiogope Wala Nini utatoboa ila waliotoka vyuo vingine huteseka kuanzia assignments si mchezo,mwaka mmoja wa course work ni sawa na miaka 3 ya undergraduate. Assignment zote ni wewe na desa nilikuwaga silali.
So nenda ukiamini utatoboa
Wewe utatoboa mapema sana[emoji1787].Hapanaaa kwa kweli, 3 had 4?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
The best University of statistics ❌️Don't worry bro..tutafute tukufundishe software zote za statistics becoz the best University of statistics is UDOM
Mzee wa KULA TIGO na wewe umesoma UDSM?Kwa aliyezoea kubebwa vyuo vingine akifika UDSM lazima alalamike aone anaonewa
Rafiki yangu cocastic kumbe upo UDSM?Mbna naogopaa, maana nataka kuunga moja kwa moja
Hahaha. Duh.Unga tu Coca wetu,
Maisha ndo hayahaya
Ndo niko semester ya mwisho kwa level ya Degree, niko hapa aseeeh.Rafiki yangu cocastic kumbe upo UDSM?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mnanitishaa mnoo, hadi nawaza nijitulize kwan.Wewe utatoboa mapema sana[emoji1787].
Ila Ndugu yangu, na huyo Cariha wote wamesoma kuanzia undergraduate hapohapo.
Na Bado Cha moto wakakiona.
Ko usiwasikilize wanaosingizia kwamba ukilaza.
Nenda ujionee watu wanavyohustle.
Nimeanzia palepale na GPA yangu nzuri tu na vingi nilianzia palepale, so swala sio ukilaza ni mitala tu ukiritimba Mimi Dr wangu wa undergraduate alisoma master's miaka 4 na Leo kashakuwa prof so Huwa Kuna kiukiritimba waliomkomoa kashawaacha mbali na ana project nyingi. Roho nzuri ilimsaidia yule baba aiseeWewe utatoboa mapema sana[emoji1787].
Ila Ndugu yangu, na huyo Cariha wote wamesoma kuanzia undergraduate hapohapo.
Na Bado Cha moto wakakiona.
Ko usiwasikilize wanaosingizia kwamba ukilaza.
Nenda ujionee watu wanavyohustle.
Mimi nilipumzikaga mwaka mmoja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie mnanitishaa mnoo, hadi nawaza nijitulize kwan.
Nenda kabla stress hazijawa nyingi za maisha aisee, ingekuwa Sasa hivi nisingejaribuWakati mzuri ni sasa
Majukumu ya familia yakishaanza inakuwa ngumu sana kumanage mambo
Wee ulipumzika daaah, mbna hatarii hii.Mimi nilipumzikaga mwaka mmoja
Wacha kabisa nilipataga tatizo Hadi la ku........ Tu kisa hyo mambo full kulia ofisini hata hawajali, Tena wanakwambia kwanini umalize shule umri huu sisi tumesota kweli hamna shida ukichelewa [emoji2][emoji2][emoji2]Dunia Ina mashetani nyie hii ingawa iliumbwa nzuriYaani acha tu[emoji1787]
Tunachowaza wabongo ni kukomeshana.
Ilibidi nifanye hivoWee ulipumzika daaah, mbna hatarii hii.
hiyo ndiyo UD, katafute vyuo vyako vya mitaani utapata hivyo vyeti unavyovihitaji hata usipoingia darasaniUsijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.
Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).
NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.