Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Tulipita UDBS kuona kama yaliyomo yamo kwenye accountingMzee wa KULA TIGO na wewe umesoma UDSM?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulipita UDBS kuona kama yaliyomo yamo kwenye accountingMzee wa KULA TIGO na wewe umesoma UDSM?
Alright.Tulipita UDBS kuona kama yaliyomo yamo kwenye accounting
... tena mwanafunzi wa kike upewe supervisor lilevi au limalaya dah; imekula kwako kwa kweli. Utaumia sana.Shida pale kazi yako ikienda Kwa internal wa kiume in short wameweka usumbufu usio na tija. Taasisi ikiona mambo hayaendi why msiite mwanafunzi aeleze changamoto na ni wapi afanye amalize.
Ardhi university wao wanajitahidi mwanafunzi ukilega wanakuuliza tatizo ni Nini na wanakupa back up umalize mapema.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji85]Hivi kuna watu bado wanasoma mpaka vyuoni?
Bado tuna wahadhiri sadist kwenye hii nchi wasumbufi ,sio UD tu Hayo mambo Nadhani African lecturers mfano my friend hapo Kenya alisoma masters yrs Mpk ana graduate alisumbuka mnoooDear usicheke udsm ni washenzi hawajali time management unasoma masters yako Hadi unapata depression unavohangaika kusafiri kutoka mkoani na kulia Lia ndio furaha zao. Huku extension fee kubwa, shoga angu Hadi nusu mimba imuue kisa stress.
So udsm sio swala la akili Kuna tatizo la wahadhiri kukaa na kazi yako hata miezi minne no one cares
Ni changamoto lazima aweke kauzibe ili utoe chochote tu... tena mwanafunzi wa kike upewe supervisor lilevi au limalaya dah; imekula kwako kwa kweli. Utaumia sana.
Kumbe sio Tanzania tu Hadi Kwa jirani ni mwendo wa kunyooshana tu. Wa Africa ni ma sadist wengi they feel happy wanapoona wengine wanaumiaBado tuna wahadhiri sadist kwenye hii nchi wasumbufi ,sio UD tu Hayo mambo Nadhani African lecturers mfano my friend hapo Kenya alisoma masters yrs Mpk ana graduate alisumbuka mnooo
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Aseehhh ...umentisha hapa mwakani nilitaka nifanye master's ila baasi Naona Open inanihusu au SAUT Dar Mimi kero siweziWengi hawajui hicho mtu postgraduate anajua anachokifanya kabisa na wengi hukesha library tatizo ni wahadhiri. Sasa mtu anakaa na kazi miezi miwili akurudishie Tena ufanye kukurudishia Tena mwezi mda unakuwa unaenda tu wao hawajali Wala Nini, na ukiwa mkoani ukituma softcopy wasaishe online wahadhiri wengine hawajui wanataka kazi ya paper tu. In short pale swala sio ukilaza ni jinsi ya udsm ikificha research wahadhiri hawana mda wanafunzi wanakuwa ka yatima. Nenda pale uone watu wanavolia Tena watu wazima wenye familia zao na chuo hawana mda.
dah, kisima cha totoz hichiUDBS
Wana roho mbayaSure..
Naona wengi wanambeza jamaa kwamba ni kilaza.
Mimi ndugu yangu undergraduate amesoma hapohapo.
Na postgraduate pia,,ila hiyo postgraduate hadi ameipata ni amesoma[emoji1787],almost 4 yrs.
Unampelekea kazi supervisor mara hayupo,mara amesafiri,yaani excuses kibao.
Na mtu anasoma hapo ana familia,,,unazidi mpotezea Muda.
We Bado mdogo soma tu my mlongoooMbna naogopaa, maana nataka kuunga moja kwa moja
Unasoma Tena bachelor [emoji2]Hapanaaa kwa kweli, 3 had 4?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tafta chuo ambacho hakitakupa stress na maisha haya, ila wengi hupenda udsm ila jiandae supervisor akiwa active you will enjoy na kumaliza mapemaAseehhh ...umentisha hapa mwakani nilitaka nifanye master's ila baasi Naona Open inanihusu au SAUT Dar Mimi kero siwezi
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Lakini Kila mtu na interest zakeKama hufanyi kazi za kitafiti au kufundisha vyuo vikuu hakuna haja ya kusoma zaidi ya ngazi ya shahada (degree). Elimu ya shahada ni kubwa sana zaidi ya hapo ni kupoteza muda.
Wahadhiri wa bongo wana ulimbukeni mwingi sana.Wengi wetu ile heshima kwamba ameunga UD hadi mwisho..
Na wengine ambao hatukubahatika kusoma hapo undergraduate,ndio sasa mtu anaenda timiza ndoto zake kusoma hapo postgraduate...
Matokeo Yake sasa ni majuto..
Heri vyuo vya private.
Gvt kuna kutesana sana.
Balaa...Yaani halafu alikua lecturer muda wa Shule umeisha anaambiwa arudi KAZI akapewa mwaka mmoja ,akaambiwa akishindwa kugraduate anasimamishwa KAZIKumbe sio Tanzania tu Hadi Kwa jirani ni mwendo wa kunyooshana tu. Wa Africa ni ma sadist wengi they feel happy wanapoona wengine wanaumia
Vipi wanaotaka managerial positions?Kama hufanyi kazi za kitafiti au kufundisha vyuo vikuu hakuna haja ya kusoma zaidi ya ngazi ya shahada (degree). Elimu ya shahada ni kubwa sana zaidi ya hapo ni kupoteza muda.