Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Shida pale kazi yako ikienda Kwa internal wa kiume in short wameweka usumbufu usio na tija. Taasisi ikiona mambo hayaendi why msiite mwanafunzi aeleze changamoto na ni wapi afanye amalize.
Ardhi university wao wanajitahidi mwanafunzi ukilega wanakuuliza tatizo ni Nini na wanakupa back up umalize mapema.
... tena mwanafunzi wa kike upewe supervisor lilevi au limalaya dah; imekula kwako kwa kweli. Utaumia sana.
 
Dear usicheke udsm ni washenzi hawajali time management unasoma masters yako Hadi unapata depression unavohangaika kusafiri kutoka mkoani na kulia Lia ndio furaha zao. Huku extension fee kubwa, shoga angu Hadi nusu mimba imuue kisa stress.
So udsm sio swala la akili Kuna tatizo la wahadhiri kukaa na kazi yako hata miezi minne no one cares
Bado tuna wahadhiri sadist kwenye hii nchi wasumbufi ,sio UD tu Hayo mambo Nadhani African lecturers mfano my friend hapo Kenya alisoma masters yrs Mpk ana graduate alisumbuka mnooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Bado tuna wahadhiri sadist kwenye hii nchi wasumbufi ,sio UD tu Hayo mambo Nadhani African lecturers mfano my friend hapo Kenya alisoma masters yrs Mpk ana graduate alisumbuka mnooo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kumbe sio Tanzania tu Hadi Kwa jirani ni mwendo wa kunyooshana tu. Wa Africa ni ma sadist wengi they feel happy wanapoona wengine wanaumia
 
Wengi hawajui hicho mtu postgraduate anajua anachokifanya kabisa na wengi hukesha library tatizo ni wahadhiri. Sasa mtu anakaa na kazi miezi miwili akurudishie Tena ufanye kukurudishia Tena mwezi mda unakuwa unaenda tu wao hawajali Wala Nini, na ukiwa mkoani ukituma softcopy wasaishe online wahadhiri wengine hawajui wanataka kazi ya paper tu. In short pale swala sio ukilaza ni jinsi ya udsm ikificha research wahadhiri hawana mda wanafunzi wanakuwa ka yatima. Nenda pale uone watu wanavolia Tena watu wazima wenye familia zao na chuo hawana mda.
Aseehhh ...umentisha hapa mwakani nilitaka nifanye master's ila baasi Naona Open inanihusu au SAUT Dar Mimi kero siwezi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sure..
Naona wengi wanambeza jamaa kwamba ni kilaza.


Mimi ndugu yangu undergraduate amesoma hapohapo.
Na postgraduate pia,,ila hiyo postgraduate hadi ameipata ni amesoma[emoji1787],almost 4 yrs.

Unampelekea kazi supervisor mara hayupo,mara amesafiri,yaani excuses kibao.
Na mtu anasoma hapo ana familia,,,unazidi mpotezea Muda.
Wana roho mbaya

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wengi wetu ile heshima kwamba ameunga UD hadi mwisho..
Na wengine ambao hatukubahatika kusoma hapo undergraduate,ndio sasa mtu anaenda timiza ndoto zake kusoma hapo postgraduate...
Matokeo Yake sasa ni majuto..
Heri vyuo vya private.

Gvt kuna kutesana sana.
Wahadhiri wa bongo wana ulimbukeni mwingi sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe sio Tanzania tu Hadi Kwa jirani ni mwendo wa kunyooshana tu. Wa Africa ni ma sadist wengi they feel happy wanapoona wengine wanaumia
Balaa...Yaani halafu alikua lecturer muda wa Shule umeisha anaambiwa arudi KAZI akapewa mwaka mmoja ,akaambiwa akishindwa kugraduate anasimamishwa KAZI
Akakomaaa mnoo ila Hana hamu Tena na Kenya
Maprofesa wa kiafrica Wana roho mbaya sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Huyu jamaa Abdallah_Kichwaz ni chawa au yuko kitengo cha kutafuta masoko Udom kwa kuangalia nyuzi zake za nyuma yeye humwambii kitu kuhusu Udom, sasa hali hiyo inapelekea awe na chili kubwa dhidi ya UDSm .

Binafsi mimi Elimu nzima yaTz asilimia kubwa naona kukariri na kusoma vitu ambavyo havina faida, inaweza kuwa mtaala mzuri Pamoja na vitabu mfano A_level Biological science lakini unakuta practicals za mule na vitu vingine hazifundishwi na hata hivyo kuna uhaba wa vitendea kazi na walimu wengi wenye uzoefu kwenye masomo yanayohitajia hivyo vitu.

Mimi nikiwa na pesa kama nikitaka kujiendeleza sitosoma bongo hata wanangu.
 
Back
Top Bottom