Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Tafta chuo ambacho hakitakupa stress na maisha haya, ila wengi hupenda udsm ila jiandae supervisor akiwa active you will enjoy na kumaliza mapema
[emoji2][emoji2]wee...unavonitisha hvyoo Bado nije Hapo hapo tenaa
Mimi naogopa mamaa,nilivo na hasira ntatukana mtu nifeli

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wengi wanasema ukisoma udsm ni advantage cause ni chuo kinachoheshimika ndo maana wengi wanakimbilia pale. Wifi yangu kasoma masters hapo, kuna siku nilimshudia analia mpaka akaamua kuondoka. Alirudi baadae ndo akamalizia!
 
Haki za wanafunzi ziainishwe. Wengi hulia hilo tatizo la mhadhiri kukaa muda mrefu na andiko bila kulifanyia, haki na wajibu wa mwalimu na mwanafunzi zianishwe katika hili. Taasisi haiwezi kuendeshwa jinsi wanavyotaka watu.
 
Au mtu ana soma accountancy Hadi ana maliza hajui software yoyote inayotumika na wahasibu
Au mtu ana maliza dissertation Ali cremisha tu kothari huku hajui ku create software za data collection, Kuna zile za data analysis kama stata, Kuna nvivo, spss Sasa Hilo somo linakuwa halina maana na hata mhadhiri hazijui hizo.
We need to change wallah
Kama ni kweli basi wanazingua
Mzumbe ukimalizia undergraduate STATA, SPSS unazijua na mnafundishwa
 
... ha ha ha! Haya bhana ringa na K yako wenzio wanaruka na distinctions ndani ya muda mfupi sana.
Staki hizo distinctions Kwa kweli kikubwa nimepata cheti changu nchi yetu hii Kila corner ni changamoto kwetu wanawake Hadi maofisini Sasa utavulia wangapi?
 
Kama ni kweli basi wanazingua
Mzumbe ukimalizia undergraduate STATA, SPSS unazijua na mnafundishwa
Mzumbe wanaandikiwa sana Kuna Dr namfahamu hufanya hyo kazi hasa campus ya Dar.
Ile stata, sijui nvivo labda Sasa previous zilikuwa hamna
 
Kumbe kuna watu bado wanasoma kwa kuhudhuria vipindi ndani ya kuta nne?(darasani)
 
Nyie WaTz acheni upumbav, level ya Masters sio ya kusoma ni kuinjoi exposure tu, ni kama kwenda live band kuinjoi mziki na kunywa bia kwa mbali ukitazama mishangaz ikicheza mziki... Lengo la kusoma Master ni kupata Managerial Exposure sio vinginevyo... Ni upumbav wenu tu wakuchukulia shule/elimu serious ili mkaringishie wenzenu kijijini kwenu...
Acha uongo lengo la master's degree sio kupata managerial exposure. Lengo ni mwanafunzi aweze kumasta field yake( kuwa mahiri). Phd mwanafunzi anatakiwa kucontribute new knowledge kwenye body of knowledge.
 
Naongelea undergraduate hiyo ya dar haina undergraduate
Mzumbe tokea undergraduate wanafanya research
Hata udsm undergraduate research ipo ila sio serious kama postgraduate, hyo ya mzumbe wa Dar wengi ni postgraduate niliona wakiandikiwa
 
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.

Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).

NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
Andika HivI " kama wewe ni kilaza usilogwe kusomma UDSM"
 
cariha umetoa mengi ya moyoni, usikilizwe.


NB: Tutafute hela shule hazisotewi hivi, wabunge wanapata Masters na PhD wakiwa busy na mambo mengine[emoji3][emoji3][emoji3]
[emoji28][emoji28][emoji28]umeona eeh ka mheshimiwa flani alitoa milion hamsini kasoro akaandikiwa dissertation ya PhD hafu Huwa ana jimwambafai kweli kweli.
Ukitaka upate urahisi uwe na cheo serikalini utamaliza mapema
 
Back
Top Bottom