Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

nimesoma udsm degree ya kwanza, ya pili nilisoma nje. ndugu zangu kadhaa wamesoma mzumbe na tumaini. assessment niliyoifanya ni kwamba, udsm hapafai hata kusoma degree ya kwanza. ni sehemu ya kipumbavu kuliko vyuo vyote vya nchi hii na waalimu huwa hawafundishi mtu afaulu, wanafundisha kumkomoa na asiopofanikiwa kimaisha wanafurahi tu.
[emoji1][emoji1][emoji4][emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
Mkuu una madini sana, usemayo yakizingatiwa taifa letu litapiga hatua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wacha kabisa nilipataga tatizo Hadi la ku........ Tu kisa hyo mambo full kulia ofisini hata hawajali, Tena wanakwambia kwanini umalize shule umri huu sisi tumesota kweli hamna shida ukichelewa [emoji2][emoji2][emoji2]Dunia Ina mashetani nyie hii ingawa iliumbwa nzuri
Lile tanuru la kutoa nanililiu..hukupitishwaaa???
 
Back
Top Bottom