Mr Spider
JF-Expert Member
- Feb 28, 2020
- 1,773
- 3,201
Umenena kweli mkuu. Kuna Prof mmoja aliwahi kutuambia hili jambo waziwazi tukiwa venue.Masters phD sio za kusomea bongo
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umenena kweli mkuu. Kuna Prof mmoja aliwahi kutuambia hili jambo waziwazi tukiwa venue.Masters phD sio za kusomea bongo
😅😅😅Ila Dunia ina viumbe wengi.
Kuna uhusiano gani wa udsm, kukaza fuvu na statistical analysis instruments?....
..............................
Duuuh mbna hatariii hii, khaaahSi alikuwa waziri yuko busy na mishe ikabidi atoe hyo hela. Yani uwe full time waziri na PhD una maliza haraka ndani ya mda loh
[emoji1][emoji1][emoji4][emoji1][emoji1][emoji1]nimesoma udsm degree ya kwanza, ya pili nilisoma nje. ndugu zangu kadhaa wamesoma mzumbe na tumaini. assessment niliyoifanya ni kwamba, udsm hapafai hata kusoma degree ya kwanza. ni sehemu ya kipumbavu kuliko vyuo vyote vya nchi hii na waalimu huwa hawafundishi mtu afaulu, wanafundisha kumkomoa na asiopofanikiwa kimaisha wanafurahi tu.
Duuuh hadi nachoka dear.Unga usiogope
Kutafuta joho afu ajira Sasa weeeEti kweli jaman, 4 ya degree, na 4 ya masters.
8yrs kutafuta nn?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
unga if possible itainjoi sanaaaKo niunge moja kwa moja??
Hapanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Niliyeishia la pili ei naweka kambi kwa ajili ya kusoma koment za wasomView attachment 2618258
Wacha nijitosee tyuuu, kitaeleweka huko huko.
Ye anataka titles ya masters na teuzi zisimpite so lazima afanye hvyoo.. hyo anajua inarudi within a week only50m kuandikiwaa Dissertation?? Kuna watu wana hela za kuchezea eeeh?? Khaaaaaah
Bora wengine tuje kusoma etiKila ntu na zali zake Sasa hivi supervisor wanafatiliwa
We unatoa hyo inarudi at very short time ujueHapanaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Komaa dogo weka 3 yrs mbeleWacha nijitosee tyuuu, kitaeleweka huko huko.
Pale kuna totoz miaka yote tumepigana sana exile kupishana kuzigegeda, wengine magetoni Msewe, Mwenge na Sinza. Pisi za Kinyarwanda ziliwamaliza sana pesa wanadah, kisima cha totoz hichi
niliwala kwa macho tu
Mkuu una madini sana, usemayo yakizingatiwa taifa letu litapiga hatua.Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
aisee, mlifaidi sana, Nyeto nilianzia CoET aisee, maana madem wananuka midomo, sura kama yanguTotoz za Kinyarwanda ziliwamaliza sana pesa wana
Lile tanuru la kutoa nanililiu..hukupitishwaaa???Wacha kabisa nilipataga tatizo Hadi la ku........ Tu kisa hyo mambo full kulia ofisini hata hawajali, Tena wanakwambia kwanini umalize shule umri huu sisi tumesota kweli hamna shida ukichelewa [emoji2][emoji2][emoji2]Dunia Ina mashetani nyie hii ingawa iliumbwa nzuri
Hahaa CoET huwa inatia huruma sana huwa hamnaga pisi kali wengi sura za babaaisee, mlifaidi sana, Nyeto nilianzia CoET aisee, maana madem wananuka midomo, sura kama yangu
[emoji28][emoji28] Mimi huchomoa aisee siweziLile tanuru la kutoa nanililiu..hukupitishwaaa???