Haya maoni yako utafikiria ulikuwa kichwani mwangu kabisa, hata udsm walivotutafta tutoe maoni ya kubadili niliwaambia maoni ka haya uliyoandika kuhusu hata masomo ya reflect ku solve matatizo ya jamii pia Kwa kushirikiana na mashirika na taasisi ni sehemu ipi iwe na focus ili taasisi kupitia wanafunzi na tafiti ipatikane solution, shida Yao wameridhika hawafikirii nje ya box pia wahadhiri hawataki mawazo mapya wanataka vilivyomo vichwani mwao.
I told them huko makazini na mlivotufundisha applicability yake ndogo and you have to learn new things. Sasa hii mitala yetu ukifanya kwenye international organization inabidi ku learn vipya tofauti na madesa ya ku cremisha, hafu sikuhizi vitu vinabadilika huku vyuoni wanatumia desa lile lile zaidi ya miaka Kumi.
I think pia ni mda wa kuanza kuajiri wahadhiri ambao tayari wanauzoefu na kazi ya anachofundisha sio mtu ana gpa kubwa anafundisha tu huku hajawahi kukifanyia kazi. Ukija kitaa vitu ni irrelevant. Udsm wanasumbua Kwa research ila kazini research haichukui mda na tatizo linajulikana na kuwa solved tofauti na ma dissertation ya udsm yaliyo kosa msaada Kwa jamii