Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Mkuu mi naona udsm wanasimamia standard vizuri
R.i.p
prof. Y. Bwatwa, Asante Mwenyezi Mungu Kwa kunikutanisha na Huyu gwiji,
Research methodologies lazima zokukae kichwani.....

A.P.A Style LAZIMA tu 😊☺️ itakukaa kichwani prof. Y . Bwatwa hakua na masiala

Yaan,
Hakuna kudesa Kuna Ant_plagiarism software sikuizi 😊😊☺️☺️
 
R.i.p
prof. Y. Bwatwa, Asante Mwenyezi Mungu Kwa kunikutanisha na Huyu gwiji,
Research methodologies lazima zokukae kichwani.....

A.P.A Style LAZIMA tu [emoji4][emoji3526] itakukaa kichwani prof. Y . Bwatwa hakua na masiala

Yaan,
Hakuna kudesa Kuna Ant_plagiarism software sikuizi [emoji4][emoji4][emoji3526][emoji3526]
Mbona hizo APA udsm wanatumia kuanzia undergraduate Tena inaanza first year, Tena hyo anti plagiarism ndio kipaumbele haswa, shida ni supervisor kuwa busy na mambo Yao na kufanya kazi za wanafunzi ka extra duty isiyo na msingi
 
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.

Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).

NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
😄😄😄Mkuu komaaa tu utagraduate Hakuna kitu kisicho na mwsho.
 
Mbona hizo APA udsm wanatumia kuanzia undergraduate Tena inaanza first year, Tena hyo anti plagiarism ndio kipaumbele haswa, shida ni supervisor kuwa busy na mambo Yao na kufanya kazi za wanafunzi ka extra duty isiyo na msingi
Unajua kwanini watu wengi hawapendi na hawajui (majority) kufanya tafiti..

Kufundishwa APA ni jambo Moja kutumia ni jambo lingine...

Wengi wetu hatujui kanuni za kufanya utafiti.....Na ndio maana mtu yupo tayar kufanyiwa utafiti wake na mtu yeye akaenda ku present....
 
Haya maoni yako utafikiria ulikuwa kichwani mwangu kabisa, hata udsm walivotutafta tutoe maoni ya kubadili niliwaambia maoni ka haya uliyoandika kuhusu hata masomo ya reflect ku solve matatizo ya jamii pia Kwa kushirikiana na mashirika na taasisi ni sehemu ipi iwe na focus ili taasisi kupitia wanafunzi na tafiti ipatikane solution, shida Yao wameridhika hawafikirii nje ya box pia wahadhiri hawataki mawazo mapya wanataka vilivyomo vichwani mwao.
I told them huko makazini na mlivotufundisha applicability yake ndogo and you have to learn new things. Sasa hii mitala yetu ukifanya kwenye international organization inabidi ku learn vipya tofauti na madesa ya ku cremisha, hafu sikuhizi vitu vinabadilika huku vyuoni wanatumia desa lile lile zaidi ya miaka Kumi.
I think pia ni mda wa kuanza kuajiri wahadhiri ambao tayari wanauzoefu na kazi ya anachofundisha sio mtu ana gpa kubwa anafundisha tu huku hajawahi kukifanyia kazi. Ukija kitaa vitu ni irrelevant. Udsm wanasumbua Kwa research ila kazini research haichukui mda na tatizo linajulikana na kuwa solved tofauti na ma dissertation ya udsm yaliyo kosa msaada Kwa jamii
Kukremu anakremu wewe sio wote

Usije sema UDSM ni kukremisha,kukremisha ni ubongo binafsi wa mtu kuna wanaoelewa vizuri sana
 
Sir

e hakuna kitu nilichukia kama ufundishaji wa statistics pale Mlimani. Ni kama ulivyosema lecture anakomalia historia ya statistics na nadharia nyingi na kufanya statistics kuonekana ngumu mno.

Hakuna matumizi ya modern statistics softwares tena nashangaa kama bado watu hawafundishwi softwares kama R, Matlab, SPSS, nk! Ufundishaji wa hovyo sana huo na haunsaidii mwanafunzi.
Professor sio kazi yake kukufundisha jinsi ya kutumia software

Software ni TOOL na zinatoka kila siku kila developer anapojisikia

Wanadamu kila mtu ajifundishe kutumia hiyo software maana zipo nyingi ulimwenguni,ni kazi yako kujifunza wewe binafsi kama tool ya kukusaidia.Zinauzwa na makampuni binafsi ya kibiashara sio kazi ya professor kugeuka marketing executive wa hiyo kampuni,ni kazi yako wewe kuinunua na kujifunza binafsi yako kama TOOL..na zipo mamilioni!

Professor kazi yake ni kukufundisha fundamentals za concepts nzima nzima (wewe unaita theory na kukremisha)....

Yeye anakufundisha concept kukupa picha hiyo software/tool imejengwa kwa misingi ipi na imetokana na basic concept zipi underlaying mpaka ikatokea hiyo tool kiasi kwamba wewe binafsi unaweza jenga yako

Kazi ya professor ni kuweka wazi major underlaying concepts nzima nzima....

Softwares ni maandazi yapo sokoni kama maandazi mengine unaweza nunua popote

Mitoto ya siku hizi ina akili ndogo sana...UDSM haikufai
 
Utakuwa lecturer mbaya na hapa ndipo Tanzania tunapoangukia! Tunafikiri kuwa lecturer hapaswi kuwafundisha wanafunzi wake jinsi ya kutumia statistical softwares?!

Wanafunzi wanafanya practicals za statistics kivipi kama lecturer haingii lab nao na kuwaongoza? Kwanini unafikiri kazi ya lecturer ni kutoa nadharia tu? Unajua kwanini Tanzania wasomi wetu hawawezi kujiajiri na wana elimu za nadharia pekee? Ni kwasababu wanafanya kama unavyofikiri.

University of Glasgow in Scotland wana policy kwamba kila mwanafunzi ajue na atumie R statistical software katika kazi zake hasa wanafunzi wa science. Software hiyo inafundishwa kwa 90% practicals na 10% ndio theory. Huku kwetu ni kinyume. Ujinga una gharama kubwa!
 
Utakuwa lecturer mbaya na hapa ndipo Tanzania tunapoangukia! Tunafikiri kuwa lecturer hapaswi kuwafundisha wanafunzi wake jinsi ya kutumia statistical softwares?!

Wanafunzi wanafanya practicals za statistics kivipi kama lecturer haingii lab nao na kuwaongoza? Kwanini unafikiri kazi ya lecturer ni kutoa nadharia tu? Unajua kwanini Tanzania wasomi wetu hawawezi kujiajiri na wana elimu za nadharia pekee? Ni kwasababu wanafanya kama unavyofikiri.

University of Glasgow in Scotland wana policy kwamba kila mwanafunzi ajue na atumie R statistical software katika kazi zake hasa wanafunzi wa science. Software hiyo inafundishwa kwa 90% practicals na 10% ndio theory. Huku kwetu ni kinyume. Ujinga una gharama kubwa!
Nimejifunza kitu hapa,

Umeeleza vyema kabisa na Mimi na cement 😊
Mfno.
Mtu anafundishwa kuvua samaki Kwa kutumia ndoano...
Kwa theory...
Mwalimu; Hii ndio ndoano anawaonyesha wanafunzi wake......Ina pini na boya na kamba.

Mwalimu; ndoano inawekewa chambo (mnyoo)

Mwalimu; Inatoswa kwenye maji inaweza kua bwawa,ziwa, bahari,mto N.k

Mwalimu; ukiona boya linacheza cheza jua umekamata windo lako...........

All in all,
Kufundishwa Kwa namna hii nadharia (theory)
Na Kuna watu wenyewe wanaenda kabisa na vifaa (practical)
Lazima wanao fanya mafunzo Kwa vitendo....
"LEARNING WITHOUT IMPLEMENTATION IS PURE WASTE"
 
Unajua kwanini watu wengi hawapendi na hawajui (majority) kufanya tafiti..

Kufundishwa APA ni jambo Moja kutumia ni jambo lingine...

Wengi wetu hatujui kanuni za kufanya utafiti.....Na ndio maana mtu yupo tayar kufanyiwa utafiti wake na mtu yeye akaenda ku present....
Ni complication tu za vyuoni huku makazini study zinafanyika in simple way na kuja na solution na mambo yanaenda huko wako busy na kothari sijui ni kitu Gani kuzunguka zunguka
 
Kupinga ndio kazi yangu

Wewe unataka mpite tu kiulaini...ni lazima tufanye heavy scrutiny!
Nani kasema tupite kiurahisi hujaona hoja nyingine zakubadilisha na za msingi ni mjinga tu anayefikiri kuweka ugumu wa mambo au huduma ndio ubora kumbe ni ujinga na kukosa problem solving skills ambayo watanzania 98% hawana wanaamini kusumbua watu ndio ubora wa mambo, hovyo kabisa.
 
Ni complication tu za vyuoni huku makazini study zinafanyika in simple way na kuja na solution na mambo yanaenda huko wako busy na kothari sijui ni kitu Gani kuzunguka zunguka
Research Methodology: Methods and Techniques
Book by C. R. Kothari

Huyu kothari ndio wanazuoni wengi humu quote...
Nakumfanyia citation 🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂🤣🤣🤣😂
 
Research Methodology: Methods and Techniques
Book by C. R. Kothari

Huyu kothari ndio wanazuoni wengi humu quote...
Nakumfanyia citation [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
[emoji28][emoji28][emoji28] ndio huyo Kila corner kothari anapendwa kweli
 
Nani kasema tupite kiurahisi hujaona hoja nyingine zakubadilisha na za msingi ni mjinga tu anayefikiri kuweka ugumu wa mambo au huduma ndio ubora kumbe ni ujinga na kukosa problem solving skills ambayo watanzania 98% hawana wanaamini kusumbua watu ndio ubora wa mambo, hovyo kabisa.
Ma lecturer wengi wenye exposure na walio soma mbele (Abroad)....

Hupenda Kila mwanafunzi wake afaulu ndio hujivunia ila huku third world countries... Lecturer anatamani awakamate SUP na DISCO ndio ajione mwanazuoni......
 
Nani kasema tupite kiurahisi hujaona hoja nyingine zakubadilisha na za msingi ni mjinga tu anayefikiri kuweka ugumu wa mambo au huduma ndio ubora kumbe ni ujinga na kukosa problem solving skills ambayo watanzania 98% hawana wanaamini kusumbua watu ndio ubora wa mambo, hovyo kabisa.
Shida ndio hii

Utafiti unaonesha wanaopata marks ndogo masomoni ndio wanaongoza kulalamikia mifumo ya elimu

Sisi ambao masomo yanayotushinda ndio hua tunakuja hapa kulalamika kama hivi

No matter what is done to accomodate wenye akili ndogo ambao infact ndio majority ya jamii hawataacha kulalamika

Haya tufanye walale nyumbani siku ya graduation waende kupewa degrees zao,still watalalamika on something!

Tufanyeje sasa kama nchi?
 
Back
Top Bottom