Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.

Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).

NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
Hasa hasa postgraduate za computer! Ni uhuni mtupu! Mtu unamaliza Masters au PhD ya computer hujui kuandika hata code program ya kuomba maji??? Shame on you!
 
Sir
Usijichanganye kusoma Masters au PhD UDSM utajuta hizo course za Research sijui Methodology walimu wanabahatisha.

Dunia ya Leo imejaa Statistical analysis tools/software Ila mtu kutwa kakomaza fuvu kuelezea historia ya Standard Deviation by Kothari (2004).

NB Postgraduate office wao wanajua kugawa majoho tu.
e hakuna kitu nilichukia kama ufundishaji wa statistics pale Mlimani. Ni kama ulivyosema lecture anakomalia historia ya statistics na nadharia nyingi na kufanya statistics kuonekana ngumu mno.

Hakuna matumizi ya modern statistics softwares tena nashangaa kama bado watu hawafundishwi softwares kama R, Matlab, SPSS, nk! Ufundishaji wa hovyo sana huo na haunsaidii mwanafunzi.
 
Ofcoz UDSM katika maswala mazima ya statistics hawako vizuri becoz wao wanafundisha theory tu ila practical hawatoi kwamfano....mwanafunzi anahitimu bachelor in statistics lakin hajui kutumia software yoyote ile....naaman hajui STATA au R au SPSS..SAS. so unategemea atajiliwa na nan kama hujui hivy vitu.
 
Hahahaa nakumbuka kipindi Prof. Adolf Mkenda waziri wa elimu kipindi hicho akiwa mkuu wa idara ya uchumi kuna mdada mmoja alikuwa mwanafunzi Ph.D Economics kutoka Kenya aliangua kilio ofisini kwake baada kupewa stress za kutosha na supervisor wake nafikiri alikuwa Pro. Nehemia Osoro.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna jamaa yangu huwa anasema anapenda awe anavaa magwanda ya kijeshi ila asichotaka ni kupitia training ya jeshi. Watu wengi wanataka vyeti toka UDSM ila kupita kwenye lile tanuru la moto wa UDSM hawataki. UDSM wakisikiliza upuuzi wa vilaza watashusha thamani yao. Hakuna mtanzania asiyetaka atunukiwe cheti toka UDSM. Kama unataka degree ya UDSM inabidi upambane.
Ndiyoooooo
 
Sir

e hakuna kitu nilichukia kama ufundishaji wa statistics pale Mlimani. Ni kama ulivyosema lecture anakomalia historia ya statistics na nadharia nyingi na kufanya statistics kuonekana ngumu mno.

Hakuna matumizi ya modern statistics softwares tena nashangaa kama bado watu hawafundishwi softwares kama R, Matlab, SPSS, nk! Ufundishaji wa hovyo sana huo na haunsaidii mwanafunzi.
Don't worry bro..tutafute tukufundishe software zote za statistics becoz the best University of statistics is UDOM
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Sishauri mtu kusoma postgraduate udsm ni wasumbufu mno wahadhiri wako busy na mambo Yao una print unapeleka na kufanya follow up siku unayoenda kumuona mhadhiri ka miezi mitatu alishapoteza u print Tena na hawataki utume softcopy.
Udsm badilikeni muache ushenzi wa kupotezea watu mda
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Dear usicheke udsm ni washenzi hawajali time management unasoma masters yako Hadi unapata depression unavohangaika kusafiri kutoka mkoani na kulia Lia ndio furaha zao. Huku extension fee kubwa, shoga angu Hadi nusu mimba imuue kisa stress.
So udsm sio swala la akili Kuna tatizo la wahadhiri kukaa na kazi yako hata miezi minne no one cares
 
Dear usicheke udsm ni washenzi hawajali time management unasoma masters yako Hadi unapata depression unavohangaika kusafiri kutoka mkoani na kulia Lia ndio furaha zao. Huku extension fee kubwa, shoga angu Hadi nusu mimba imuue kisa stress.
So udsm sio swala la akili Kuna tatizo la wahadhiri kukaa na kazi yako hata miezi minne no one cares
Duuuh hapo sasa wanakosea sanaaa, daaah
 
Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
Haya maoni yako utafikiria ulikuwa kichwani mwangu kabisa, hata udsm walivotutafta tutoe maoni ya kubadili niliwaambia maoni ka haya uliyoandika kuhusu hata masomo ya reflect ku solve matatizo ya jamii pia Kwa kushirikiana na mashirika na taasisi ni sehemu ipi iwe na focus ili taasisi kupitia wanafunzi na tafiti ipatikane solution, shida Yao wameridhika hawafikirii nje ya box pia wahadhiri hawataki mawazo mapya wanataka vilivyomo vichwani mwao.
I told them huko makazini na mlivotufundisha applicability yake ndogo and you have to learn new things. Sasa hii mitala yetu ukifanya kwenye international organization inabidi ku learn vipya tofauti na madesa ya ku cremisha, hafu sikuhizi vitu vinabadilika huku vyuoni wanatumia desa lile lile zaidi ya miaka Kumi.
I think pia ni mda wa kuanza kuajiri wahadhiri ambao tayari wanauzoefu na kazi ya anachofundisha sio mtu ana gpa kubwa anafundisha tu huku hajawahi kukifanyia kazi. Ukija kitaa vitu ni irrelevant. Udsm wanasumbua Kwa research ila kazini research haichukui mda na tatizo linajulikana na kuwa solved tofauti na ma dissertation ya udsm yaliyo kosa msaada Kwa jamii
 
Hahahaa nakumbuka kipindi Prof. Adolf Mkenda waziri wa elimu kipindi hicho akiwa mkuu wa idara ya uchumi kuna mdada mmoja alikuwa mwanafunzi Ph.D Economics kutoka Kenya aliangua kilio ofisini kwake baada kupewa stress za kutosha na supervisor wake nafikiri alikuwa Pro. Nehemia Osoro.
[emoji2][emoji2] unaweza kufa kabisa Kwa depression hafu ukija makazini unaona chuoni ulikuwa una soma ujinga. Nawashauri watu wasi rely kwenye haya madesa yetu wawe wanaingia online au YouTube kusoma classes ya mambo Yao ili wawe deep, hii ya udsm watakupa stress na kitu ambacho relevance yake kazini ni ndogo mno
 
Ofcoz UDSM katika maswala mazima ya statistics hawako vizuri becoz wao wanafundisha theory tu ila practical hawatoi kwamfano....mwanafunzi anahitimu bachelor in statistics lakin hajui kutumia software yoyote ile....naaman hajui STATA au R au SPSS..SAS. so unategemea atajiliwa na nan kama hujui hivy vitu.
Au mtu ana soma accountancy Hadi ana maliza hajui software yoyote inayotumika na wahasibu
Au mtu ana maliza dissertation Ali cremisha tu kothari huku hajui ku create software za data collection, Kuna zile za data analysis kama stata, Kuna nvivo, spss Sasa Hilo somo linakuwa halina maana na hata mhadhiri hazijui hizo.
We need to change wallah
 
Sishauri mtu kusoma postgraduate udsm ni wasumbufu mno wahadhiri wako busy na mambo Yao una print unapeleka na kufanya follow up siku unayoenda kumuona mhadhiri ka miezi mitatu alishapoteza u print Tena na hawataki utume softcopy.
Udsm badilikeni muache ushenzi wa kupotezea watu mda
Mimi nipo mbioni kuanza hapohapo..
Ila hili la usumbufu ni kweli.


Dada yangu amesoma hapo postgraduate,alikiona cha moto..
Na hapo angalau yeye alikuwa na afadhali, Supervisor wake alikuwa na ubinadamu yule Baba.
Wenzie waliosimamiwa na wengine ni miaka minne wamesota sana hadi kumaliza🙌,wengine wakaamua kuacha.
 
Back
Top Bottom