Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Siku hizi wana online supervision tracking system. Kama kuna mtu amalizi bado tatizo haliwezi kuwa la wasimamizi tu. It's very easy kufanya tracking ya supervision. Kila kitu ni online, unamtumia kazi supervisor kwenye mfumo ambao kila mtu anaweza kuona lini ulituma na supervisor anasoma na kurejesha feedback kwa mfumo huo huo ambao uko tracked. Bila shaka hili litakuwa limeondoa shida ya supervisors hawasomi kazi. cariha rudi tena, huwezi kukaa sana haha
 
Sasa mkuu huoni hapo kuna tatizo? Yaani hujui alafu unampa mtu akufanyie tena? Sasa chuo unaenda kufanya nini kama sio kujifunza hayo?
 
Mie enzi nahangaika hakukuwa na hii online supervision nadhani imeanza Haina hata miaka mitatu maana hii changamoto ya supervisor ilikuwa kero Kwa kweli kutokujali Kuna Dr wa pale alinambia wamekuwa strictly Kwa wasimamizi hapo ukichelewa ni wewe
 
🤣🤣🤣🤣🤣
Njoo basi utoe maoni yudizim waboreshe mazingira watu tuchukue shahada zetu kiurahisi.

Au hutaki tumalize shule?😂

Nilivyo low-key nikija waweza nistukia nikiwa naongea Kingereza changu cha America,utanistukia tu!

Sikanyagiiii

Mi nshamalizaga miaka hiyo Engineering inaitwa CoET miaka ya Luhanga alitufundisha Circuit Systems

Wee komaa tu mama,hamna namna!

Siku hizi si nasikia bwerereeeee

.....kuraaaa chuma hichooo.... 😂
 
Kwahiyo Mkuu unataka na sisi tusote kama mlivyosota😆

Kumbe wewe Engineer kabisa 😊
Lisu akiwa Rais tutakupa Uwaziri wa teknolojia😂.

Hebu tuma voicenote ya kimalkia tuone., lazima kalafudhi ka kimachame kamo ndani yake.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Njoo basi utoe maoni yudizim waboreshe mazingira watu tuchukue shahada zetu kiurahisi.

Au hutaki tumalize shule?[emoji23]
Leo nimekaa na watu nazungumzia kuhusu Masters, mmoja kadakia, "yaan kwa ugumuu na tabu hii ya bachelor bado unawaza kusoma postgraduate hapa tena hivi karibuni??"

Watu tumechekaa leo, UD ni kisangaa kwa kukomoa wanafunzi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Heri uunganishe kuliko kupumzika.
Ukipumzika akili inapoa,

Ukiunga sasahivi ubongo unakuwa active.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…