cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
50m mlongo??We unatoa hyo inarudi at very short time ujue
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
50m mlongo??We unatoa hyo inarudi at very short time ujue
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Itabidi iwe hivyo.
Hujajibu hoja iliyoko mezani nikituhimu tu mara akili ndogo au kubwa Yani mtu afaulu kuanzia la kwanza mpaka masters coursework useme Hana akili?Shida ndio hii
Utafiti unaonesha wanaopata marks ndogo masomoni ndio wanaongoza kulalamikia mifumo ya elimu
Sisi ambao masomo yanayotushinda ndio hua tunakuja hapa kulalamika kama hivi
No matter what is done to accomodate wenye akili ndogo ambao infact ndio majority ya jamii hawataacha kulalamika
Haya tufanye walale nyumbani siku ya graduation waende kupewa degrees zao,still watalalamika on something!
Tufanyeje sasa kama nchi?
Exposure ni janga wengi hawana uzoefu hata wa kazi ya anachofundisha zaidi tu alitoka na GPA kubwa na hawajui uhalisia wa mambo huku nje.Ma lecturer wengi wenye exposure na walio soma mbele (Abroad)....
Hupenda Kila mwanafunzi wake afaulu ndio hujivunia ila huku third world countries... Lecturer anatamani awakamate SUP na DISCO ndio ajione mwanazuoni......
Mfumo wetu wa ELIMU ni wakumpima mtu anae weza kukumbuka vitu vilivyo fundishwa na ukiwa na uwezo mkubwa wa kukariri unaitwa una akili.....Shida ndio hii
Utafiti unaonesha wanaopata marks ndogo masomoni ndio wanaongoza kulalamikia mifumo ya elimu
Sisi ambao masomo yanayotushinda ndio hua tunakuja hapa kulalamika kama hivi
No matter what is done to accomodate wenye akili ndogo ambao infact ndio majority ya jamii hawataacha kulalamika
Haya tufanye walale nyumbani siku ya graduation waende kupewa degrees zao,still watalalamika on something!
Tufanyeje sasa kama nchi?
Hii ipo na watu tulikua tunadesa kama kawaidaR.i.p
prof. Y. Bwatwa, Asante Mwenyezi Mungu Kwa kunikutanisha na Huyu gwiji,
Research methodologies lazima zokukae kichwani.....
A.P.A Style LAZIMA tu 😊☺️ itakukaa kichwani prof. Y . Bwatwa hakua na masiala
Yaan,
Hakuna kudesa Kuna Ant_plagiarism software sikuizi 😊😊☺️☺️
Tunguu, Unguja kusiniSUZA Unguja Main campus?
Kasome UDSM, UDSM ni pazuri sana.Wakuu nilikuwa natamani nifanye masters of taxation, hapo udsm.
Ila kwa hizi comments, mbona mnanitisha
Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Software haiongopi mkuu..sema itakua haikuchakatwa kwenye software maana ukifanya plagiarism.... Software lazima ita report.😊😊Hii ipo na watu tulikua tunadesa kama kawaida
Ukikutana na rais enhee?? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
Una hoja usikilizweMfumo wetu wa ELIMU ni wakumpima mtu anae weza kukumbuka vitu vilivyo fundishwa na ukiwa na uwezo mkubwa wa kukariri unaitwa una akili.....
Nimebadilisha mtazamo kuhusu ELIMU na AKILI ni vitu viwili tofaut akili ni Zaid ya hizi certificate zetu tunazo jinasibu nazo humu...................
ELIMU sahihi ni Ile itakayo mfanya binadamu akaweza kuyatawa maisha yake...
🤓🤓Una hoja usikilizwe
KazifireDr yupi huyo... [emoji41]
Ndio mwenyewe aiseeSio fire huyu kweli mkuu 😂😂😂
Dah yaani we jamaa wewe😆Kupinga ndio kazi yangu
Wewe unataka mpite tu kiulaini...ni lazima tufanye heavy scrutiny!
ila huku third world countries... Lecturer anatamani awakamate SUP na DISCO ndio ajione mwanazuoni......🤣🤣🤣🤣🤣Ma lecturer wengi wenye exposure na walio soma mbele (Abroad)....
Hupenda Kila mwanafunzi wake afaulu ndio hujivunia ila huku third world countries... Lecturer anatamani awakamate SUP na DISCO ndio ajione mwanazuoni......
Nipo ndugu yangu...Dah yaani we jamaa wewe😆
Ulipotelea wapi?, Naona umerudi tena.
🤓🤓🤓🤓ila huku third world countries... Lecturer anatamani awakamate SUP na DISCO ndio ajione mwanazuoni......🤣🤣🤣🤣🤣
Hahahaha....usijali usijali dearNenda utatoboa Wacha uoga siku ukimaliza unialike
Aseehhh...Ilikuwa PhD siunajua awamu ya mwendazake Kila mtu alikimbilia kupata PhD ili ateuliwe