Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Kusoma Postgraduate (Master/PhD) UDSM majanga

Shida ndio hii

Utafiti unaonesha wanaopata marks ndogo masomoni ndio wanaongoza kulalamikia mifumo ya elimu

Sisi ambao masomo yanayotushinda ndio hua tunakuja hapa kulalamika kama hivi

No matter what is done to accomodate wenye akili ndogo ambao infact ndio majority ya jamii hawataacha kulalamika

Haya tufanye walale nyumbani siku ya graduation waende kupewa degrees zao,still watalalamika on something!

Tufanyeje sasa kama nchi?
Hujajibu hoja iliyoko mezani nikituhimu tu mara akili ndogo au kubwa Yani mtu afaulu kuanzia la kwanza mpaka masters coursework useme Hana akili?
Hafu akili kubwa ni ile inayo solve changamoto kwenye jamii Kwa uharaka zaidi
 
Ma lecturer wengi wenye exposure na walio soma mbele (Abroad)....

Hupenda Kila mwanafunzi wake afaulu ndio hujivunia ila huku third world countries... Lecturer anatamani awakamate SUP na DISCO ndio ajione mwanazuoni......
Exposure ni janga wengi hawana uzoefu hata wa kazi ya anachofundisha zaidi tu alitoka na GPA kubwa na hawajui uhalisia wa mambo huku nje.
Wahadhiri wazuri ni wale ambao walishafanya kazi kwenye hyo field na wanajua uhalisia hata akielekeza Ina make sense na Hawa ni nadra kusumbua sumbua.
 
Shida ndio hii

Utafiti unaonesha wanaopata marks ndogo masomoni ndio wanaongoza kulalamikia mifumo ya elimu

Sisi ambao masomo yanayotushinda ndio hua tunakuja hapa kulalamika kama hivi

No matter what is done to accomodate wenye akili ndogo ambao infact ndio majority ya jamii hawataacha kulalamika

Haya tufanye walale nyumbani siku ya graduation waende kupewa degrees zao,still watalalamika on something!

Tufanyeje sasa kama nchi?
Mfumo wetu wa ELIMU ni wakumpima mtu anae weza kukumbuka vitu vilivyo fundishwa na ukiwa na uwezo mkubwa wa kukariri unaitwa una akili.....

Nimebadilisha mtazamo kuhusu ELIMU na AKILI ni vitu viwili tofaut akili ni Zaid ya hizi certificate zetu tunazo jinasibu nazo humu...................

ELIMU sahihi ni Ile itakayo mfanya binadamu akaweza kuyatawa maisha yake...
 
R.i.p
prof. Y. Bwatwa, Asante Mwenyezi Mungu Kwa kunikutanisha na Huyu gwiji,
Research methodologies lazima zokukae kichwani.....

A.P.A Style LAZIMA tu 😊☺️ itakukaa kichwani prof. Y . Bwatwa hakua na masiala

Yaan,
Hakuna kudesa Kuna Ant_plagiarism software sikuizi 😊😊☺️☺️
Hii ipo na watu tulikua tunadesa kama kawaida
 
Tatizo ni mfumo wetu wa Elimu haujakaa sawa bado. Kwa postgraduate studies nikianza na Masters wanatakiwa wawe attached kwenye research projects za taasisi ama za department. Ni lazima taasisi kupitia idara zao wawe na projects zinazohusiana na degree programs wanazotoa. Hatuwezi kua na wanafunzi kila mmoja ana title yake bila hata kujali kama ina potential yoyote kwa taasisi husika, jamii na taifa kwa ujumla. Ina maana idara kupitia wataalamu wao Doctors & Professors wanatakiwa kua na miradi ambayo wata attach wanafunzi hiyo itarahisisha usimamizi na wanafunzi kumaliza haraka maana wakati mwingine mwanafunzi anakuja na title ambayo hata supervisor wake haielewi vizuri au hana interest nayo so inasababisha mvutano na mwanafunzi wake na kupelekea kuchelewa kumaliza kwa wakati. Lakini pia kupitia hizo projects wanafunzi wa PhD watawasaidia wa Masters na Bachelor degree kwasababu wanashare the same idea so itapunguza mzigo kwa supervisors. Sasa hapa tatizo ni wataalamu wetu ni wavivu wa kufikiria katika angle tofauti maana wanatakiwa waandike proposals kutoka kwenye funding organizations domestically and internationally ili kupata pesa za kuanzisha na kuendeleza miradi hii. Wao wamekalia kushindana kuandika papers ili wapande vyeo tu na kupata mishahara mikubwa wakati hizo papers hatuoni impact yake kwenye kutatua changamoto za jamii. Natamani nikutane na Rais pamoja na waziri wa Elimu nimshauri kitu kuhusu mfumo wa uendeshaji wa postgraduate studies kwa vyuo vyetu hasa kwa programs za science, engineering and technology. Hakuna muunganiko kati ya Elimu inayotolewa vyuoni na technology inayotumika viwandani. Huwezi kua na maendeleo ya technology kwenye viwanda kama hakuna hiyo connection. Research zinazofanyika vyuoni lazima ziliflect challenges kwenye sector ya viwanda ili tuweze kupiga hatua. Ni lazima kila chuo kiwe na industrial center ambayo itahusisha research, innovation na majaribio mbalimbali ya technology katika sector husika. Ina maana viwanda vitashirikiana moja kwa moja na vyuo kwenye hizo tafiti na zitatoa funds pia kusapot tafiti na majaribio hayo ya technology hapo itakua rahisi hata mwanafunzi kuajirika hata nje ya nchi baada ya masomo yake. Anyways niishie hapa kwa leo!!
Ukikutana na rais enhee?? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Ukitoka hapo watakao takiwa kumshauri ni hao hao waandikaji wa machapisho kwaajili ya kupandishwa vyeo vyao.

Nazan swala la elimu kuwa bora, ni vingi tubadilishe kuanzia mifumo ya makuz na malezi ya watoto, mifumo ya siasa maana huwez kuwa na mbunge darasa la saba utegemee akajenge hoja yakueleweka bungen???? [emoji1] [emoji1]. Chunguza education level ya viongozi wako ucheke ufeee, vyuo vinanunuliwa na kutoa udaktari tuu wa ajabu ajabu.

Nasemaje sisi pamoja na viongozi wote tupo hoi bin taabani shimon, afu humo ndan ya shimo wanasiasa tuna tegemea watujuze yanayojiri nje ya shimo [emoji23]. Masikin wanatudanganya na tunaamin kweli wanaona ya njeee!

Ili tutoke kwenye hili shimo ni mapinduzi makubwa yanatakiwa, sis tupinduke juuu na shimo chin. Over
 
Mfumo wetu wa ELIMU ni wakumpima mtu anae weza kukumbuka vitu vilivyo fundishwa na ukiwa na uwezo mkubwa wa kukariri unaitwa una akili.....

Nimebadilisha mtazamo kuhusu ELIMU na AKILI ni vitu viwili tofaut akili ni Zaid ya hizi certificate zetu tunazo jinasibu nazo humu...................

ELIMU sahihi ni Ile itakayo mfanya binadamu akaweza kuyatawa maisha yake...
Una hoja usikilizwe
 
Ma lecturer wengi wenye exposure na walio soma mbele (Abroad)....

Hupenda Kila mwanafunzi wake afaulu ndio hujivunia ila huku third world countries... Lecturer anatamani awakamate SUP na DISCO ndio ajione mwanazuoni......
ila huku third world countries... Lecturer anatamani awakamate SUP na DISCO ndio ajione mwanazuoni......🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom